Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kwema huko uliko?CCM uchwara wanaweweseka hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema huko uliko?CCM uchwara wanaweweseka hovyo
Wembe ulele ushindi, Wembe ni ulele kupita ushindi
Serikali ya CCM ndiyo Serikali hutumia magari ya gharama kupita Serikali zote Duniani hawana huruma na pesa za walipa kodi wao ni mwendo wa kula bata sanaHuu mwaka Chama cha meko kupitia kile kijamaa kinaitwa Polepole sijui , mmeamua kuongea ukweli toka mioyoni kwa kukubali kuwa nyie hampo kwa ajili ya wananchi maskini. Kamwe hamjawahi kuwa. Zaidi ni kwamba mnastahili kuondoka madarani. Mmekula mmevimbiwa, hamna UTU. Hadharani mnawatweza walalahoi walipakodi mnazofuja!
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sanaKwema huko uliko?
Bosi wako kachoka hana hamu anapiga hesabu za kukabidhi inchiMakamanda uchwara wanaweweseka hovyo. Tarehe inakaribia.
Hivi kweli wewe una akili timamu kabisa unakwenda kumpigia kura huyu jamaa aisee wazazi wako wana hasara kukusomesha hapo ulipofikiaMakamanda uchwara wamebaki kunukuu vipeperushi tu.
Ataenda wapi? Burundi au Rwanda?Bosi wako kachoka hana hamu anapiga hesabu za kukabidhi inchiView attachment 1605351
Lisu kashasema hana kisasi zaidi atamrudisha chato.Ataenda wapi? Burundi au Rwanda?
Chama cha Meko ni chama cha majambaziSerikali ya CCM ndiyo Serikali hutumia magari ya gharama kupita Serikali zote Duniani hawana huruma na pesa za walipa kodi wao ni mwendo wa kula bata sana
Makamanda uchwara wamebaki kuweka mapicha picha tu.Hivi kweli wewe una akili timamu kabisa unakwenda kumpigia kura huyu jamaa aisee wazazi wako wana hasara kukusomesha hapo ulipofikiaView attachment 1605352
Kwema huko kamanda?CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
Doto na kheri ni ndugu?..labda uwe kwenye ukoo wa kina Doto James, na Kheri James.
..vinginevyo wote tunaisoma namba.
Mmeshindwa kumnadi mgombea wenu maana hauziki kwa wana inchi umebaki makamanda daaa unatia huruma kijanaMakamanda uchwara wamebaki kuweka mapicha picha tu.
Kamanda uchwara.Mmeshindwa kumnadi mgombea wenu maana hauziki kwa wana inchi umebaki makamanda daaa unatia huruma kijana
Kalale weee huna jipya uamke kesho ukachukue buku saba yako.Kamanda uchwara.
Kamanda uchwara siku zinakaribia.Kalale weee huna jipya uamke kesho ukachukue buku saba yako.
Za kuiba kura safari hii haibiwi mtu subiri hizo siku tumezisubiri sana nadhani zimefika mshuhudie bosi wako anavyoenda kukabidhi inchiKamanda uchwara siku zinakaribia.
Kamanda uchwara siku zinakaribia.Za kuiba kura safari hii haibiwi mtu subiri hizo siku tumezisubiri sana nadhani zimefika mshuhudie bosi wako anavyoenda kukabidhi inchi