Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Huu mwaka Chama cha meko kupitia kile kijamaa kinaitwa Polepole sijui , mmeamua kuongea ukweli toka mioyoni kwa kukubali kuwa nyie hampo kwa ajili ya wananchi maskini. Kamwe hamjawahi kuwa. Zaidi ni kwamba mnastahili kuondoka madarani. Mmekula mmevimbiwa, hamna UTU. Hadharani mnawatweza walalahoi walipakodi mnazofuja!

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya CCM ndiyo Serikali hutumia magari ya gharama kupita Serikali zote Duniani hawana huruma na pesa za walipa kodi wao ni mwendo wa kula bata sana
 
Makamanda uchwara wanaweweseka hovyo. Tarehe inakaribia.
Bosi wako kachoka hana hamu anapiga hesabu za kukabidhi inchi
IMG_20200926_181306.jpeg
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, chini ya CCM Mkoloni mweusi kaburu tokea chato ndipo Nchi imezidi kurudi nyuma zaidi kwani pesa za viwanda peda za walipa kodi pesa za maendeleo zote anazitumia kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani uonevu unyanyasaji uovu mwingi bila kusahau upigaji trilion 1.5 kisha kutoa CAG kafara huku akijenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge
 
Back
Top Bottom