Keyser Söze
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 454
- 666
Huu ni upuuzi gani unaandika wewe?Hapo keshanunua pengine hata mwaka umepita, sasa siku moja wapo wakati anarudi ndio ana hicho kiasi cha 2m probably kwenye gari, wanam-tight getini wanamuibia 2m na kumtoa uhai huku akiacha mjumba huo wa wa 155m na wao wanaiba hiyo 2m, mbona maelezo yake yalikua very clear
Halipo eneo la bandari..Tukiwa wa kweli, bei ni rafiki. Eneo halikopo karibu na hizi fununu za bandari mpya?
Fukuyosi ni bara mkuu, ni kati ya bagamoyo na msataTukiwa wa kweli, bei ni rafiki. Eneo halikopo karibu na hizi fununu za bandari mpya?
Na haya ndio maeneo yatakayokuwa potential sana pindi bandari iakapokamilika...Tukiwa wa kweli, bei ni rafiki. Eneo halikopo karibu na hizi fununu za bandari mpya?
10 km kutoka fukayosi barabaraniFukuyosi ni bara mkuu, ni kati ya bagamoyo na msata
Ni mbali sana kutoka barabarani. Labda milioni kumi nije nikupeNa haya ndio maeneo yatakayokuwa potential sana pindi bandari iakapokamilika...
Sio sehemu ya mradi wa bandari
10 km kutoka fukayosi barabarani
Ahsante kwa offa mkuu...Ni mbali sana kutoka barabarani. Labda milioni kumi nije nikupe
Why do you sell it?Shamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road
shamba lina heka 15
document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote
bei ni milioni 18 tu
nauza lote sikati nusu nusu
mawasiliano 0677 818283View attachment 1893209
Nahitaji pesaWhy do you sell it?
Mkuu huyu dalaliWhy do you sell it?
Fukuyosi ni bara mkuu, ni kati ya bagamoyo na msata
SanaBasi bei ni nzuri.
Mkuu hilo shamba liko upande gani wa barabara Kama unatokea Bagamoyo kwenda Msata. Kulia au KushotoShamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road
shamba lina heka 15
document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote
bei ni milioni 18 tu
nauza lote sikati nusu nusu
mawasiliano 0677 818283
NB: Umbali wa km 10 ni wastani wa kutoka ubungo mataa mpaka mbezi mwisho.
View attachment 1893209
KushotoMkuu hilo shamba liko upande gani wa barabara Kama unatokea Bagamoyo kwenda Msata. Kulia au Kushoto
Udogo wake nn..na nyumba imeenea na parking ipo...kiwanja kidogo sana.
Kaa pembeni kidogoHuu ni upuuzi gani unaandika wewe?