INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba
Hapo keshanunua pengine hata mwaka umepita, sasa siku moja wapo wakati anarudi ndio ana hicho kiasi cha 2m probably kwenye gari, wanam-tight getini wanamuibia 2m na kumtoa uhai huku akiacha mjumba huo wa wa 155m na wao wanaiba hiyo 2m, mbona maelezo yake yalikua very clear
Huu ni upuuzi gani unaandika wewe?
 
Shamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.

Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15.

Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote.

Bei ni milioni 18 tu, nauza lote sikati nusu nusu.

Mawasiliano 0677 818283


NB: Umbali wa km 10 ni wastani wa kutoka ubungo mataa mpaka mbezi mwisho.
2871776_77068433_156510039044219_446640667087601664_n.jpg
 
NB: Umbali wa km 10 ni wastani wa kutoka ubungo mataa mpaka mbezi mwisho.

Sio umbali wa kutisha kwa shughuli ya shamba...na barabara ipo vizuri
 
Shamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road
shamba lina heka 15
document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote
bei ni milioni 18 tu
nauza lote sikati nusu nusu
mawasiliano 0677 818283View attachment 1893209
Why do you sell it?
 
Shamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road
shamba lina heka 15
document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote
bei ni milioni 18 tu
nauza lote sikati nusu nusu
mawasiliano 0677 818283


NB: Umbali wa km 10 ni wastani wa kutoka ubungo mataa mpaka mbezi mwisho.
View attachment 1893209
Mkuu hilo shamba liko upande gani wa barabara Kama unatokea Bagamoyo kwenda Msata. Kulia au Kushoto
 
Back
Top Bottom