Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kherson
20221111_103834.jpg
 
Haya ni Majeshi ya Urusi yakiwa yanaretreat Kherson. Wamedai kushambuliwa na Ukraine wakati wanaretreat. 🤣🤣🤣

Yaani wanataka kutupangia ni wakati gani tuwashambulie na tushambulie wapi? Sisi tuna ratiba yetu na inaendelea kama kawa
 
Azov Regiment au unaweza kuwwita Azov Battalion, wameagizwa waelekee Kherson. Hawa ni vijana wasio na kanuni na wanaofyatua risasi za Kikatili.
 
Warusi wajinga, wanatakanga kuretreat wakati wanajeshi wao hawaja tayari. Sasa hawa wamelazimika kutembea kwa Miguu baada ya kuona Wanajeshi wa Ukriane wanakaribia. Na daraja wamelibomoa maana yake, hakuna vifaru kuvuka. Hapa ni Kherson Antonovsky
 
Warusi wajinga, wanatakanga kuretreat wakati wanajeshi wao hawaja tayari. Sasa hawa wamelazimika kutembea kwa Miguu baada ya kuona Wanajeshi wa Ukriane wanakaribia. Na daraja wamelibomoa maana yake, hakuna vifaru kuvuka. Hapa ni Kherson Antonovsky
View attachment 2413215
Wanaoondoka bila shuruti na wakiwa wanyonge😂😂😂. Wakati walivamia kwa mbwembwe.

Moral ya kupigana ni zero kabisa
 
Back
Top Bottom