Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

Tutafuta odd 5 kila siku halafu tuwe tunabetia makampuni ya kibeberu tu 1XBET, BET360 etc hapo tutatoboa.
 
Wabunge wapewe salary ya M 3,na posho iwe laki

Fungu lingine lote liende kwa maendeleo
 
Huyo atakuwa hajitambui kidogo!!, sasa atuambie baada ya 2025, kodi hiyo itasitishwa??!!---- yaani Bunge litapelekewa Muswada wa kufuta hiyo kodi???
Hiyo haitafutwa kamwe, hapo mnapigwa geresha muizoee then watawajia na hadithi nyingine, wako hatua kadhaa mbele yenu.
Hiyo wameshamaliza na sasa wanapiga hesabu za mbele kupata vyanzo vingine, mtafinywa sana tu.
 

Makato Makubwa sana ,imagine ukitaka kumtumia mtu na ya kutolea unatwangwa kote kote ,ukituma unakatwa tozo na ile ya kutolea na yenyewe ina tozo ,ni hatari sana ,tozo muhimu ila walizoweka ni kubwa sana , imagine kwa sasa ukitaka kumtumia mtu Tsh 70,000 basi inabidi uwe na 4000 Tsh ya ziada ambayo awali haikuwepo.(2000 Tozo ya kutuma + 2000 Tozo ya kutolea) maana ukimtumia mtu elfu 70 lazima uweke na ya kutolea ili atoe 70k kama ilivyo.
 
Ura
Weka mawasiliano ya mtu wa kkupewa hizo taarifa.
 
Tuingie betting tu, mheshimiwa Spika...ukitupa bilioni 10 vijana wako wa kazi weekend moja unawezashangaa tunakuletea triliions🤣🤸🐒
 
Wabunge wapewe salary ya M 3,na posho iwe laki

Fungu lingine lote liende kwa maendeleo
Laki ya nini,madakitari na walimu wanalipwa hiyo posho?
Wabunge walipwe mshahara tu na isizidi 5ml kwa mwezi na wakatwe kodi.italeta kuwapata wabunge wazalendo hata rushwa hutasikia.Tuna wasomi wengi tu hata 2ml watakubali kulipwa.
Nchi hii tunachezeana sana Tsh 12,000,000 kwa kazi gani?
 
Huyu mzee ni mpumbavu sana.
 
Wale jamaa awajahi kuwa na hurumaa mkuu.n kusaidiana kuomba serkl wapunguzee hi kitu na iwe kiasi fulan cost Kila mhamala sio kwakutegemea unachotuma hataree...naona msg za tugopesa eendelea kutumia kama vile awaoni sijawagusa Tena Toka mamboyao
 
Bunge lifutwe maana Bunge la ndugai limetuthibitishia kuwa Tanzania haifadiki na wananchi hawafaidiki na uwepo wa Bunge hilo zaidi ya kurudia kilichosemwa na serikali na kupiga makofi!
 
Mimi naunga mkono hoja, tulipe kodi, maendeleo yana gharama yake, moja wapo ni kulipa kodi.

Alafu kodi ya miamala ni wakati unatumia miamala hiyo tu, usipotaka usitumie, tumieni ATM au Bank transfer. Tulipe kodi kwa maendeleo ya wote. Na tuna haki ya kuuliza matumizi ya kodi zetu. Tulipe kodi plz
 
Hii inanikumbusha stori ya Binti yangu wa chekechea
"Yaani namlipia ada na kilakitu pamoja na usafiri kilakitu ili apate elimu asome aweze kutatua changamoto za kielimu, lakin kila akirudi nyumbani ananipa Homework walizopewa shuleni etii nimsaidie kufanya" Sasa najiuliza nalipa ada ili iweje ikiwa homework nafanya mimi?
Wabunge tunawalìpia kilakitu ili Waje na Mawazo mbadala ya kodi lakini still wanatuambia sisi tuwasaidie hii homework. Just imagine wabunge zaidi ya 350 wa CCM wameshindwa kubuni njia nzuri zaidi wameishia kukubali kodi hii tuilipe?
 
Wabunge walipe Kodi kwenye mapato yao yote,utalii utangazwe zaidi na vivutio viwepo,madini yauzwe kwenye masoko ya ndani hata kama muuzaji hana leseni mradi anayo auze tu,tuna gesi za aina mbali mbali ziuzwe bila ujanjaunjanja kama awamu ya NNE ilivyouza gesi ya mtwara.
 
Mkuu afadhali umekemea huu upumbavu. Umejaa sana humu jukwaani haswa baada ya kifo cha JPM. Wanavyoombea watu wafe utadhani wao kwa sasa wanaishi mbinguni na duniani kwa wakati mmoja.

Ni aina fulani ya mawazo ambayo ni ya kipuuzi sana.

..Magufuli aliumiza watu na ndio maana wako baadhi ya wachangiaji hapa JF wamevunja mwiko wa Watz na kushangilia kifo chake.

..Natumaini tunachokishuhudia hapa kitakuwa funzo kwa viongozi wa sasa na wajao.

..Uongozi ni pamoja na kuheshimu UTU wa wale unawaongoza. Kiongozi hapaswi kuwa na CHUKI au VISASI haswa anapokuwa na madaraka makubwa ya kidola kama Raisi wa Tanzania.

..Sifurahishwi na hawa wanaochekelea kifo cha Magufuli. Natamani wakome muenendo huo. Lakini pia naelewa kwanini wamefikia hatua hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…