Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

Ahsante sana (kwa Kigogo)
 
Wanaomshambulia Spika hawaitakii nchi mema... Spika kaja hadharani kututonya juu ya minyukano ndani ya ccm.
Ni wakati muafaka wa kukipumzisha chama chakavu!!
 
Zuzu bin zezeta peke yake atasema ile hospitali special ya Mirembe wasitibiwe kabila jingine kwa kuwa watu wa kabila lake tu ndio wana matatizo makubwa ya akili
Na yule Profesa majalala mwenye mijicho kama gong'ole naye ni mgogo pia ingawa aliwalaghai Kilosa akapewa ubunge na Magufuli kupitia jimbo la Kilosa.
 
Mmesahau kuwa yeye ni makamu Mwenyekiti wa Sukum gang?
 
Huyo ndo Ndugai Mgogo
 
Je anadhani angekuwa kabila gani asingeandikwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…