Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Wanahitajika kivipi na wakati wana kwamisha maendeleo?
Sababu wanajua hawawezi kuleta maendeleo ndyomaana wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha covid 19 wapo bungeni ili mwisho wa siku wawasingizie kuwa ndyo wanakwamisha maendeleo.
 
Sababu wanajua hawawezi kuleta maendeleo ndyomaana wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha covid 19 wapo bungeni ili mwisho wa siku wawasingizie kuwa ndyo wanakwamisha maendeleo.
[emoji3516][emoji3516]
 
Anasema hawawezi kwenda yeye kama nani?....hawa si wabunge wa chadema..yeye inamuhusu nini...hawa wanasiasa njaa wa bongo ni kichekesho sana....hahahaha
 
Mimi ndio kinacho nishangaza wao ccm hawakutaka mpinzani yoyote kwa bunge, iweje hawa waseme watawapigania kwa nguvu zote..ukiona hivyo ujue kuna mfereji wa pesa
 
[emoji16][emoji16][emoji16].Sasa hivi halima na ndugai ni MARAFIKI
nawashangaa mnaochukulia SIASA kwa u serious wa PEKEE.
 
Anasema hawawezi kwenda yeye kama nani?....hawa si wabunge wa chadema..yeye inamuhusu nini...hawa wanasiasa njaa wa bongo ni kichekesho sana....hahahaha
Ana haki ya kuwalinda..kumbuka huyu ndio bosi wao na ndio anawalipa mshahara..chadema haiwalipi hawa ila wao ndio wanailipa, chadema haikuwalipia kadi za uanachama wala ada.
 
Mnyika hawezi pambana na Covid-19
 
CHADEMA iwafukuze hao si wapiga kura.tulioibiwa Kura tupo na chadema hao wawe wabunge kwa miaka 5+ kwa nguvu za Dola haitupi shida muhimu watupishe.
 
Wamesema wanakwamisha maendeleo sisi tulitaka wabakie ccm wenyewe ili wasiwe na visingizio vya kuifanya tza kuizidi ulaya kimaendeleo.
 

Shida yao waliiba kupita kiasi hata Kama awakuwataka chadema wakongwe wangewaingiza hata chadema wapya wasio na majina angalau 40 hivi hii tabu ya vitu maalumu wasingeipata
 
Ana haki ya kuwalinda..kumbuka huyu ndio bosi wao na ndio anawalipa mshahara..chadema haiwalipi hawa ila wao ndio wanailipa, chadema haikuwalipia kadi za uanachama wala ada.
Ndio umejitoa akili kiasi hicho? Jionee huruma
 
Hapo kwe covid 19[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mimi ndio kinacho nishangaza wao ccm hawakutaka mpinzani yoyote kwa bunge, iweje hawa waseme watawapigania kwa nguvu zote..ukiona hivyo ujue kuna mfereji wa pesa
Hiyo ndiyo ccm sasa, kiongozi anapokosa maarifa ishu kama hizo lazima zitokee, angekuwa na maarifa/maono basi hili wangelijua mapema na lisingewasumbua. Siyo kwamba fisiemu wote ni wajinga au hawakulijua hili bali je nani angeweza kumshauri bwana yule asiyeshaurika.
 
Wabunge wa upinzani ni asset, bila hao serikali inapoteza zaidi ya trillion 1.7.
Mibunge ya sisiemu ni liability, haina faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…