Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Kuwafukuza akina mdee haiwezi kuyumbisha chadema bali itaiwezesha chadema kuheshimika zaidi Duniani
Ndugai kisha sahau yaliyowapata Membe, mzee Makamba, mzee Kinana na wengine waliotangazwa hadharani na Bashiru huyuhuyu anaetaka akamfundishe Mnyika jinsi na maana ya kuwa katibu mkuu.Spika wa bunge Job Ndugai amemtaka katibu mkuu wa CHADEMA akajifunze namna ya kuwa katibu mkuu kwa Bashiru Ally ambaye ni Katibu Mkuu wa CCM...
Mpaka sasa sijaona aliyeonewa. Kama wamekwenda kihalali it's well and good. So far kuna utata hasa baada ya Katibu Mkuu kuwakana.Ila wachache kutaka kuonewa katika kiwango hiki kabla uliwahi kuona?
Lazima tutumie vyombo vya dola ili tubaki madarakani... (Bashiru, 2020)....labda akajifunze hili [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnyika akajifunze kazi kwa Dr Bashiru!
Ndugai, ebu tueleze utawalindaje?Mzee ndugai jana alikuwa akitoa kauli hizo kupitia katika kituo cha TBC mubashara akiwa amekaa kwenye kochi au sofa kubwa huku akibadilisha mikao. Ndugai alikuwa akiongea kwa upole sana kama padri hivi huku maneno yake yakiwa makali sana, Mh. alitumia muda mwingi kuwa tambua na kuwa bariki wabunge 19 wa Chadema ambao tayari alikwisha waapisha bungeni...
[emoji23] [emoji23] Mnatapa tapa sana, mfano akina Lijualikali na Mwembe walivuliwa ubunge na vyama vyao but Spika akawabakisha bungeni, kinyume kabisa na katiba ya nchi. Lakini nyie, very unfortunately you don't see that as problem, yaani mnafurahia mhimili mmoja ukivunja katiba ya nchi openly. Sasa huwa najiuliza tatizo ni umbumbumbu au kushikiwa akili?Hayo sio mambo ya CHADEMA tu,katika hilo sakata bunge linahusika moja kwa moja, hivyo yeye kama spika anayomamlaka ya kusema kitu.
Me nafikiri mbumbumbu ni wale waliomuamini mdee na Mbowe kupita kiasi.[emoji23] [emoji23] Mnatapa tapa sana, mfano akina Lijualikali na Mwembe walivuliwa ubunge na vyama vyao but Spika akawabakisha bungeni, kinyume kabisa na katiba ya nchi. Lakini nyie, very unfortunately you don't see that as problem, yaani mnafurahia mhimili mmoja ukivunja katiba ya nchi openly. Sasa huwa najiuliza tatizo ni umbumbumbu au kushikiwa akili?
Mkuu mbona unaongea pumba hivyo? Adhabu ya hao ni kufukuzwa tu na so vinginevyo halafu endapo chama kitafutwa basi nakifutwe tuanze at scratch kuliko kubaki na chama kisichokuwa na wanachama wenye di
Wewe sio mzima, unamjua Zito Kabwe na Slaa enzi wako Chadema kazi yao unaweza kuilinganisha na hao watoto?Watanzania wengi hasa wanawake weikubali chadema kwa sababu ya hao wanawakeajasiri.
Wanafukuzwa kwa sababu wamekiuka matakwa, itikadi na katiba ya chama na sio katiba ya nchi.Kuwafukuza Wabunge walioapishwa kikatiba ni kosa kubwa sana.
Kwa mujibu wa sheria ipi?Adhabu ya kuwafukuza watu waliotekeleza matakwa ya Kikatiba ni Kukifuta hicho chama.
Bahahahahahahahahahaha! Huna uwezo huo narudia huna! Chadema ipo kabla hujawa na akili timamu au pengine kuzaliwa kabisa.Nitahakikisha Chadema inafutwa kwenye Orodha ya vyama vya siasa endepo hao wabunge watafukuzwa ili eti wapoteze sifa ya kuwa wabunge.
Ungeenda ofisi za chama ukawaulize.Hivi Nyie Chadema bado mnataka kuwaumiza Watu kama CCM.
Ulichokiandika hapa unakielewa vizuri?Wabunge 20 tena wanawake kuwafukuza kwa sababu tu hawakishirikishwa kwenye nafasi za maamuzi ya kwao kama wanawake ni kuua Demokrasia.
Katiba ya Chadema inasemaje dhidi ya huu usaliti au ukiukwaji wa itikadi zake?Chama Chenye katiba na viongozi wanaopingana na matakwa ya katiba ya nchi ni chama cha Kigaidi kinapaswa kufutwa haraka sana.
Maslahi ya taifa au maslahi ya ccm?Mbowe kuwa makini na maamuzi yasoyojali maslahi ya Taifa la leo na kesho.
Labda kitafutwa na bibi yako.Makamanda Mdee na Bulaya wameshapata ajira yao kwa miaka mitano hivyo busara itumike wabaki kwenye Chama ili chama kinusurike kufutwa.
Aliyewateua ni nani? Na CHADEMA inasemaje juu ya huo uteuzi? Kama uchaguzi tu hawautambui hao wateuliwa wametoka wapi?Wameteuliwa na uongozi bila wao kujua na majina yepelekwa bila wao kujua kwa hiyo wao hawana makosa. Aliyepeleka majina ndiye wakuhojiwa.
Akafundishwe lipi kwa Bashiru? Kuimba mapambio? Kuamuabudu Jiwe? LipiSpika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.
Akafundishwe lipi kwa Bashiru? Kuimba mapambio? Kuamuabudu Jiwe? Lipi?Spika Ndugai amesisitiza kuwa Mnyika bado hajakomaa kisiasa hivyo amemshauri aende kwa Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru akafundishwe namna Katibu mkuu anavyopaswa kutenda kazi zake kwa ufanisi.
Kote kote, bashiru haijawahi kuwa mtu wa maana.Bashiru wa Katiba ya Warioba au huyu wa Tanzania ya Viwonder?
Huyu spika ameanza vibaya Bunge hili kama alivyomaliza vibaya Bunge lile dhaifu.Mnyika hakutoa hukumu. Alirudia mara mbili mbili kuwa kamati kuu ndio itakayoamua.
Mnyika hakumfokea mtu, alirudia mara nne nne kufafanua taratibu za mbunge VM kuchaguliwa....