Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yesu demu wake alikuwa yule manzi aliyemuosha miguu ila hakumuoa
Haluna alipokosea ndugai ninyi mnaolalamika ndiyo hamjui asili yenu yesu hawahusu kabisa waafrika hasa watz acheni kulishwa ujinga wa kibiblia mbwa nyie yaani ninyi ni bora atulanwe mama yenu na siyo yesu.sisi tunaanzia alipokosea anajifanya mjuaji sn
Wewe na yeye walewale.Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR
We nae wale wale.ngugai,kunakukosea .hiki ni kirundi au kimang'atikama kuna mtu hakumuelewa ngugai basi huyo mtu atakua ni fala, kwenye matamshi kunakukosea lakini dhamira ya alichokielezea kinaeleweka
Wote ndio wale wale wanywa uji wa mgojwa.ndugai awe rais .au wewe ndio ndugaihizo ndio akili za wapinzani wa Serikali. Ila wako wachache sana hawana madhara. Ndugai mi nimempenda sana anautendea haki mhimili wa bunge, angefaa hata kuwa Rais wa nchi hii awashughulikie vizuri wapuuzi km kina Gwajima. Gwajima ni hatari kwa usalama wa nchi hii kwa sasa. NNa wasiwasi hata na uraia wake. Mtu anamdharau Rais wa nchi, anasema uwongo wa wazi, anamfitini Rais na watu wake, anawachonganisha wananchi na Serikali yao. Jambo la wazi ni kwamba Gwajima ni mbaguzi, ni mkabila hakumpenda Mh. Samia awe Rais. Swali kwanini vyombo vya ulinzi na usalama vinamchekea? na Chama je? Au ni kwasababu wakuu wengi wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa?
Kumbe ni mzee wa matozo unamtetea mjinga mwezio.hamtutishi.na 2025 kitaeleweka.hakuna cha polisi wala jeshi litakaloteka kura zetu.shwainiCHADEMA huwa wanastory za kitoto Sana hii nayo ni siasa
USSR
Hvi mama yako anajisikiaje kuzaa matoto majinga kama wewe na ndugai.ni hasara sana kwa jamii na taifaCHADEMA huwa wanastory za kitoto Sana hii nayo ni siasa
USSR
Hajui.kama ndio alikuwa mshauri wa askofu mkuu wa anglikana nadhani ndio maana hili kanisa lilikubaliana na mambo ya ushoga.job ndio alimshauri askofu maana job ni kichwa majiNi ulimi kuteleza tu sidhani Kama hajui Yesu hakuwahi kuoa.
Anatakiwa kuongezwa kwenye maajabu ya dunia.ukute alishawahi ishi kipindi cha Yesu sasa Jana ndio alikuwa anatupatia ukweli wa enzi hizo[emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125]
Pale hamna kitu.tunakakikundi ka wahuni tuu.Yesu alikwenda na mke wake kuhesabiwa halafu akazaliwa yesu tena hapo bungeni meza nazo zinaskika zikipigwa makofi dah ama kwel bungeni kuna vituko
Kupitia nn.TV au tweeterKashaomba msamaha
Ujuaji mbaya sana .mpaka namuonea huruma.sijui jumapili itakuwaje!.View attachment 1918647
Safari ya kwenda kuhesabiwa Ilianzia Nazareti kwenda Bethlehemu, mji wa Daudi, na sio Nazareti kwenda Yerusalemu
Hivyo sisi wakristu na watanzania wengine bado tumekwazika, kwa kanusho kuendelea kupotosha[emoji34]
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
koteKupitia nn.TV au tweeter
Nakuambia ni shida tupu.mi mwenyewe nikajiuliza ni macho yangu au.nikawaza labda nimeshaanza kupata makengeza kesho niende hospital nikachekiwe