Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

Zuchu hakuimbia wanafunzi. Ni jukumu la wazazi na walezi kuhakikisha hizi nyimbo haziwafikii wala kusikilizwa na watoto.
 
Mwenyewe nimeshangaa alafu nyimbo inapigwa daily , waufungie mziki ndo tutawaelewa, sio kuwaadhibisha watu kwa chuki binafsi wakati ngoma inapigwa daily na watoto wakiimba na kusikiliza kwenye televisheni na maredioni.

Waalimu warudishwe kazini.
Kwahiyo unachotetea wewe hapo ni kipi na huko kushangaa kwako mkuu? [emoji848]
 
Wanawalea kwa nidhamu ili waje kuwaongoza watoto wanaokata viuno shuleni kwenye vumbi. Watoto wa darasa la nne tayari akili ipo kingonongono, Waziri akisimama kulinda maadili wanamuita mjinga.
Yes anaonekana mjinga kwa sababu sheria na taratibu zipo za kufuata.

Yeye hayupo juu ya sheria. Kila kanuni na sheria vimeweka utaratibu wa kufikia maamuzi.

Waziri ni zao la wasomi ambao wanaamini ktk mtazamo wao pekee
 
Siyo kila nyimbo inapigwa kila mahali, watoto wanapaswa kufundishwa maadili mema, Maudhui ya ile nyimbo yanafaa watu walioko kwenye ma-bar na magenge mengine ya wahuni
Alichoongea ni sahihi. Wakati wa mikutano yao ya siasa na ziara za serikali, miziki hio hupigwa na watoto wakiwepo na hakuna anayekemea.

Kwanini leo washtuke?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Siyo kila nyimbo inapigwa kila mahali, watoto wanapaswa kufundishwa maadili mema, Maudhui ya ile nyimbo yanafaa watu walioko kwenye ma-bar na magenge mengine ya wahuni
Basi serikali ndio ina wajibu wa kusimamia maadili ya muziki..mziki unapigwa redioni, kwenye tv, kwenye maduka, kwenye mabar..

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Wapigiwa kura wakiwaadaha wapiga kura.
Alete ushahidi wa videos watoto wao wakicheza huo muziki siku ya masomo akiwa ndani ya sare za shule wanakosoma.
 
Kwa
Kwani walisimamishwa ama walivuliwa madaraka?
 
Siyo kila nyimbo inapigwa kila mahali, watoto wanapaswa kufundishwa maadili mema, Maudhui ya ile nyimbo yanafaa watu walioko kwenye ma-bar na magenge mengine ya wahuni
Labda kwakuwa wao wanapiga na kuruka sarakasi Bungeni mkuu. Wapiga kura wanaandaliwa kwa nguvu kubwa sana yaani.
 
Hawa walimu ingekuwa mimi ningewafukuza kabisa kazi. Ningekuwa tayari kupoteza uwaziri kwa sababu yao
Wana makosa gan walimu? Kama wimbo hauna maadili waufungie, maana unaweza kataza watoto wasiucheze shulen, wakaucheza mitaan ama nyumban, hapo unakuwa umesaidia nnn?
 
Siyo kila nyimbo inapigwa kila mahali, watoto wanapaswa kufundishwa maadili mema, Maudhui ya ile nyimbo yanafaa watu walioko kwenye ma-bar na magenge mengine ya wahuni
akiwa inapigwa radion wanao sikiliza wakinanani? unaweza kuniambia mwimbaji alikua ana maanisha nini?
 
Nakumbuka kuwahi kuwasikia wabunge wanawake wakati walipokuwa Rwanda kwenye michezo Fulani wakishangilia na kuomba wimbo wa Diamond uliopigwa marufuku wa nyege nyegezi.

Hawa wanasiasa nao ni tatizo kubwa. Maana kweli nyimbo zisizo na maneno mazuri huimbwa katika mikutano Yao ,haswa ya CCM.

Hawa walimu walionewa, na walipaswa tu kuelekezwa
 
Yes anaonekana mjinga kwa sababu sheria na taratibu zipo za kufuata.

Yeye hayupo juu ya sheria. Kila kanuni na sheria vimeweka utaratibu wa kufikia maamuzi.

Waziri ni zao la wasomi ambao wanaamini ktk mtazamo wao pekee
Mamlaka ya nidhamu ya walimu wa kuu wa shule ni Waziri?
 
Hawa walimu ingekuwa mimi ningewafukuza kabisa kazi. Ningekuwa tayari kupoteza uwaziri kwa sababu yao
Waziri hana mandate ya kumfukuza mtumishi wa umma.
Ajaribu aone kama hajamlipa fidia na kumrudisha kazini. Usitumie mihemko. Mtumishi akikosea Kuna utaratibu wa namna ya kumshughulikia na siyo anakuja mtu mmoja tu anamfukuza kazi.
 
Huwezi kumsimamisha mtu bila kumsikiliza. Viongozi hawajui taratibu za utumishi
 
Tatizo ni uislamu kuingizwa mashuleni serikalini kuliko anzia kwenye hijabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…