Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina chuki mkuu,ni mtazamo wangu tu.......na hatuwezi fanana kimtazamo daima,mimi nitaona hivi ila wewe utaona vile,ni hayo tu usinitafsiri vibaya,hao watu nawasikia tu redioni sasa kwanini niwachukie?na nikiwachukia napata nini?Acha roho mbaya na chuki
Hakika mkuu,lugha ni art, na kila mtu ana swaga zake za kiundashi, usiishi kwa kukrem, don't take everything serious, life is very simple, kama mimi uandishi wake unanipa attention ya kusoma na tukaelewana, hilo ndiyo dhumuni la lugha, hayo ma grammar yako peleka kwa wanafunzi wako shuleni, humu watu wamesoma tena huyo unayemkosoa si ajabu akawa profesa wa kilimo somewhere, acha ujuaji.
Kiundashi ndio nini?lugha ni art, na kila mtu ana swaga zake za kiundashi,
Kukrem ni nini?usiishi kwa kukrem,
Super disheartening Sir kwangu life is so difficult can you just show us a way of that so-called simple life?don't take everything serious, life is very simple,
I don't care what i care ni aina yake ya uandishi bila kusahau wako pia Sir!kama mimi uandishi wake unanipa attention ya kusoma na tukaelewana, hilo ndiyo dhumuni la lugha, hayo ma grammar yako peleka kwa wanafunzi wako shuleni, humu watu wamesoma tena huyo unayemkosoa si ajabu akawa profesa wa kilimo somewhere, acha ujuaji.
You have to get out of your shell Sir.Upeo wako mdogo sana mdogo wangu.
tafuta hela dogo, mambo ya grammar hayana tija hii karne...what matters ni kuwasiliana na ndiyo maana hata wasiyoona, wasiyosikia, wasiyokuwa na mikono wala miguu wanafaulu vyuo vikuu, punguza ujinga.Kiundashi ndio nini?
Kukrem ni nini?
Super disheartening Sir kwangu life is so difficult can you just show us a way of that so-called simple life?
I don't care what i care ni aina yake ya uandishi bila kusahau wako pia Sir!
Naona momo anawatoa kwenye topic nanyi mnaelekea huko anakokutaka[emoji23][emoji23][emoji23].tafuta hela dogo, mambo ya grammar hayana tija hii karne...what matters ni kuwasiliana na ndiyo maana hata wasiyoona, wasiyosikia, wasiyokuwa na mikono wala miguu wanafaulu vyuo vikuu, punguza ujinga.
Nishatengeneza za kutosha ,muda wangu wa mapumziko natumia kuwaambia ukweli nyie mapoyoyo mnazingua sana.
sahihi kabisa mkuu,wakijazana inakuwa fujo tupuHapo akiwepo kitenge kama muongozaji ndio huwa kuna fujo sana.
Pia kuna lijamaa linaitwa Paul Mkai ni wa hovyo balaa.
Kipindi kinakuwa cha kitaalam kama atabaki Yusuph Mkule kama mtangazaji na George Ambangile au Eddo ndo wawe mchambuzi kipindi kinakuwa vizuri sana.
Lakini wakijazana hapo ni fujo sana.
tumekustukia momo unatuchepusha kwenye mada ya msingi, lete namba hiyo maana siwezi juaOnyesha = Onesha.
Njoo darasani nikufundishe namna ya utumiaji wa koma.
Alama ya koma hukaa kama ifuatavyo "Onesha, inatokana na kitenzi ona kikiwa na maama ya tazama au angalia."
Heading uliyotumia kutoa mawazo yako unaonekana unachuki bure.Sina chuki mkuu,ni mtazamo wangu tu.......na hatuwezi fanana kimtazamo daima,mimi nitaona hivi ila wewe utaona vile,ni hayo tu usinitafsiri vibaya,hao watu nawasikia tu redioni sasa kwanini niwachukie?na nikiwachukia napata nini?