Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mzee wa watu anabubujikwa machozi ya furaha!..🀣
 
Wenzio ndo wanamuua kwa kumumpa kazi ngumu wewe unasema yuko vizuri, kwa age ile namuonea huruma. Hawezi kuimili mikiki mikiki ya 2025. Ni kazi ngumu kwake kwa sababu ya umri
kwa umri sawa.ila naamini kazi zao ni kutoa miongozo tu. mikΓ­kimikiki ipo kwa katibu na mwenezi.
unafikili kama angekubali pinda au makinda wangefanya nini hapo.
 
Ccm wapuuz sana yaan kura zote zimeandikwa jina la mpiga kura code usiri upo wapi?
 
Babu boziana kalamba bahashaπŸ˜„πŸ˜„
 

Hizo kura wanapiga za nn wakati hamna ushindani?
 
wakiskia wivu sana na wao wamchague mpiga vizinga Mzee Azaveli Lwaitama kua makamu mwenyekiti wa Chadema BaraπŸ’
Huyu mzee anatakiwa kuwa kwenye jumba la makumbusho mkuu, najua unajua na unaumia ila utafanyaje kucomply na maamuzi ya wapika mchuzi kule juu, wakati unataka bakuli lako la supu nawe! Lazima ukubali tu
 
Kwa mara ya kwanza CCM imempata kada na Kiongozi wa juu ambaye nyakati fulani huko nyuma aliwahi kujiunga upinzani..!

Kimtazamo, Mama bado anahitaji kufanya kazi na wakongwe na wabobezi ili kuchota hekima, busara na uzoefu. Kule serikalini yupo na mshauri Mh. Mkuchika na sasa katika Chama atakuwa na Mh. Wassira. Hawa wote wamekuwepo serikalini na katika chama toka awamu ya kwanza.
 
Huyu mzee anatakiwa kuwa kwenye jumba la makumbusho mkuu, najua unajua na unaumia ila utafanyaje kucomply na maamuzi ya wapika mchuzi kule juu, wakati unataka bakuli lako la supu nawe! Lazima ukubali tu
uzuri wa CCM,
kadiri umri unavyosonga ndivyo mwanaCCM ndivyo anavyokua, powerful, bora sana na anakua makini zaidi,

si chadema kadiri umri unavyokwenda ndio wanakua wapiga vizinga zaidi πŸ’
 
Hahaha mzee wa kutuvusha kwenda karne mpya ya science za hali juu kwa kusaidiana na kumshauri mama! Dah hivi wabongo tumemkosea nini mungu? Pamoja na maombi kila kona ya mtaa bado tu twapewa adhabu kila siku.

Hii ngoma inapaswa kuwa jumba la makumbusho eti anakuwa makamu na mshauri wa rais dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…