Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wata
Wasira aliyezaliwa Julai Mosi, 1945 wilayani Bunda Mkoa wa Mara, kwa zaidi ya nusu karne amejijengea heshima kutokana na mchango wake mkubwa katika siasa, uchumi na maendeleo ya jamii.
Duh,
Sasa an̈agonga 80.
Watakuwa wamehitaji mtu kutoka "Kanda Maalum", ikawa hakuna mwingine ila ni yeye tu yupo
 
Duuuu kuna shida mahali aseee Wasira? Wanataka afie kwenye kwenye chama? Daaaa
lile zee ni babe kwa lissu, lissu akiwa mwenyekiti wa chadema tayari kawekewa mbabe wake. Wale wakiitwa studioni kufanya kipindi watenganishwe, zee lina hasira sana lile, linaweza kumrushia ngumi lissu
 
Samia hapa kadondokea pua.
siokweli. wassira yupo vizuri sana. ndio waliku wazee muhimu sana kwenye serikali ya kikwete.kama unakumbuka kipindi cha jk alikua na uwezo wa kudili hadi na wageni wanaokuja kutoka nje jk alimuamini sana alikua akiwapokea kuishauli utawala kitugani cha kufanya dhidi mgeni huyo. hapa nazungumzia wageni muhimu kwenye nchi na sio hawa wa kawaida.
wassira ni jasiri.nafasi hiyo inamfaa hasa.
 
Wajumbe pigeni kura za hapana. Mzee wa watu apumzike tafuteni damu changa nyenye mawazo chanya, vinginevyo chama kinazidi kudhoofu mtasaisiwa hadi lini wakati wa chaguzi ndugu zangu.
Hapa ndipo Chadema mmefeli, makamu mwenyekiti wa ccm ndio anaongoza kamati ya usalama na maadili.

Chadema pia kikatiba Lisu ndio mamlaka ya nidhamu lakini hana nidhamu yeye mwenyewe na ameshindwa kusimamia nidhamu.

Ccm imewapa funzo kubwa sana watu wa miemko kwamba kuna nafasi zinahitaji watu matured na wenye utulivu wa akili.

Ccm kwa hili wapo sahihi kwa 100%.
 


Shetani kumchagua zimwi ni yaleyale mambo ya uchawini
 
CCM ina wenyewe na wenyewe ndio hawa kina Wasira, Kinana, Mwinyi, Makamba, Makala, Kikwete. Vijana tutafute kazi za kufanya, wenye chama chao bado wana uwezo wa kuongoza na familia zao. CCM na familia zao mbele kwa mbele, CCM ni ile ile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…