Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo ndaniChama Cha Mapinduzi kimempendekeza Ndugu WASSIRA kuwa MAKAMU MWENYEKITI WA CCM bara.
View attachment 3205241
Alikua keshazeeka, inaonekana humjui kinana kijanaSasa kinana alinaweza futina ipi kama alishindwa kufanya fitina membe awe Rais ataweza Nini?
Upo Uliomtaja Stephen Masatu Wasira Wa Bunda HadharaniMbona kuna uzi mwingine hapa JF unamtaja Pinda kama ndiye pendekezo...
Kwenye kila angle Stephen yupoChama Cha Mapinduzi kimempendekeza Ndugu WASSIRA kuwa MAKAMU MWENYEKITI WA CCM bara.
View attachment 3205241
Upo Uliomtaja Stephen Masatu Wasira Wa Bunda Hadharani
Hakuna cha ukimya, Pinda ndiye mtu mwenye sifa za kuwa Makamu Mwenyekiti kwa sasa.Mwenyekiti wa CCM amemtangaza Mhe. Pinda ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu kuwa mrithi wa Kinana. Wajumbe na wanachama sambamba na wananchi wameonekana kutopokea positive pendekezo hili au wameshtuka kwa kilichotokea. Je, walimtegemea nani?
Tukumbuke cheo hiki hakuna kugombania bali linapelekwa jina moja ambalo litapata kura za ndio na hawana. Lakini pia historia inaonyesha kila pendekezo la Mwenyekiti huwa linapita kwa asilimia 90+ hivyo ni wazi Pinda ndiye makamu mwenyekiti ajaye wa CCM Bara.
Kuna vijana wengi, ila wengi ni wajinga wakubwa. Mzee pinda ana utulivu wa akili, na wala hana mipasho au dili za kiduwanzi. Sijui afya yake kwa sasa, ila ataleta utulivu mzuri kisiasa.Hivi vijana hamna hadi wanateuliwa wazee wasiojiweza
Siyo MkuuNa huu je?
Thread 'Kwanini ukimya umetawala baada ya Mhe. Pinda kupendekezwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM?' Kwanini ukimya umetawala baada ya Mhe. Pinda kupendekezwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM?
Alizeeka wapi wakati muda huo alikuwa katibu mkuu CCM na alifeli hakuna aliloweza sema ukiwa CCM unaonekana mjanjaAlikua keshazeeka, inaonekana humjui kinana kijana