babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Jamani vipi Mzee wetu Lugemarila bado anaozea jela? Wakati Raisi Samia ameagiza Manji arudi awe huru hii imekaajeKweli kabisa walikuwa wana muogopa. Kwa nini usimuogope mtu ambaye ana miliki kikosi cha WASIOJULIKANA ambacho kina nguvu kuliko jeshi la Polisi. Ukimkosoa tu wanakuja popote na Noah wanakukamata na kukupoteza.
Kwa nini usimuogope mtu ambaye anakupeleka Segerea na kujufungulia mashtaka ya kutakatisha fedha yasiyo na dhamana kisa umemkosoa tu??
Kwa wastani ni kuwa sasa hivi watanzania wameongeza siku za kuishi
Watu wanashindwa kujua, kuwa furaha huweza letwa na matumaini. Furaha iliondoka kwa sababu hapakuwa na matumaini. Sasa watu wana furaha kwa sababu Kuna tumaini aidha uwepo wa ajira, kuthaminiwa,kupanda cheo au nafasi si kwa sababu sio wa Kanda,kabisa au dini fulani,kulipwa deni, kupanda mshahara,kuwa huru kueleza maoni yake,kuwa huru bila vitisho,kuwa huru katika kazi yake,kutodhulumiwa Mali au pesa na serikali,kulipwa mafao/pensheni stahiki n.k
Lala salama Mwamba.
Kuna watu walikuwa wanasema eti mwendazake alikuwa anachukiwa na wapinzani pekeee .
Leo hii vigogo wa ccm wameqnza kumwaga mboga kwenye kundi la watu wenyw ugali wao mkononi.
Aende jimbo la Burigi-chatoKabudi leo atagombea jimbo lipi baada ya mungu wake kusepa?
Hata ndugaye rafiki yake kesha fanya yake
Sikuwahi mpenda mwenda zake
We we na wanufaika wenzio ndio mlimpenda na matahila mandazi kama nyie ila mtz mwenye timamu hakuwahi lipenda fisadi lilotia hasara taifasiku moja utakuja kuelewa.
ni kwanini alipendwa na wengi.
Ni suala la muda na utaratibu Mzee Rugemalira atatoka. Mama Samia hataki kufanya kama Mwendazake alivyoingia gereza la Butimba na kumwamuru Mkuu wa Gereza awatoe wale watorosha dhahabuJamani vipi Mzee wetu Lugemarila bado anaozea jela? Wakati Raisi Samia ameagiza Manji arudi awe huru hii imekaaje
Binafsi jiwe na ndugai ndio watu niliokuwa nawachukia kuliko mtu yeyote hapa Dunian.Hakuna aliyekuwa anampenda jiwe ...
We we na wanufaika wenzio ndio mlimpenda na matahila mandazi kama nyie ila mtz mwenye timamu hakuwahi lipenda fisadi lilotia hasara taifa
Well said broKweli kabisa walikuwa wana muogopa. Kwa nini usimuogope mtu ambaye ana miliki kikosi cha WASIOJULIKANA ambacho kina nguvu kuliko jeshi la Polisi. Ukimkosoa tu wanakuja popote na Noah wanakukamata na kukupoteza.
Kwa nini usimuogope mtu ambaye anakupeleka Segerea na kujufungulia mashtaka ya kutakatisha fedha yasiyo na dhamana kisa umemkosoa tu??
Kumbuka moyoni mwangu haumo. Unadanganya bwanaNi Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Yule dada alicheza karata yake ya mwisho vibaya sana......imemuua kisiasa mzee Wassira kachungulia gepu....time will tell.Huyu dawa yake ni yule dada wa Chadema