Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Umeona alioyoyasababisha huko Ukrain? Bila yeye Ukrain ingekuwa na amani badala ya kumwaga damu. Meitia Ukrain hasara ya karne because of short sighted and comedy desion ! Anazidi kufanya comedy mpaka atakaposikia kishindo kama cha Nagasaki, Hiroshima ndio akili itamsogea.Kumnyima Steve Nyerere Usemaji Kisa Ni Mchekeshaji Hii Hoja Haina Mashiko Mbona Rais wa Ukraine Alikua Mchekeshaji [emoji23][emoji23]
Fidi kyuuHivi huyu aliteuliwa na nani?
Soma post #49 umsikie raisi wa chamaThis guy is very stupid.
Hii kitu ya kuchanganya siasa kwenye kila jambo, taasisi na mambo mengine ndio inatukula sana watanzania. Yani Stive badala ajibu kuhusu jambo husika, anaingiza mifano ya kisiasa mala vimemo mala sjui wengine chadema sjui ACT[emoji34] he is totally politics person kwa hivyo hqta akiachwa hapo kwenye hiyo nafasi atafanya kwa matakwa ya kisiasa na wanasiasa na sio matakwa ya wasanii wa muziki, ataongea kile wanasiasa wanataka kusikia ila sio kile wanamuziki wanataka, KIFUPI HAFAI HATA KIDOGO.
Pili, yeye sio msanii wa muziki wala hayuko kwenye category yoyote inayohusu mziki, hajawahi kua hata producer, mcheza dance wala kitu yoyote inayohusu mziki, hivyo hawezi kuongelea kitu asichokijua wala changamoto zake, atakua anafanya drama tu ambazo hazitakua ka impact, hivyo HAFAI HATA KIDOGO.
Tatu, amewahi kua msemaji wa viti vingi sana, ni wapi ashawahi kuleta positive impact? Only stupid person can choose him.....
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu chochote hapo, kapingwa hadi na wabunge wa ccm,Kabisa, na kuna kitu kakisema kuhusu itikadi za wanaompinga........hebu tuangalie na humu anatukanwa zaidi na kina nani inaweza kuleta maana sana. Ukiweka chuki pembeni, ana kitu katika mazungumzo yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila nae FA amejidhalilisha sana angekaa kimya tu kiherehere kingii!!amekwaza aliposema kama wa taarabu wanamkubali wao watafute wa kwao ujinga mtupu!!!Steve point anayo mbele ya mbunge kwasababu bongo tunapenda personal attacks than points.
Kwahiyo kwetu siye hiyo personal attack ndio point yake.
Steve shikiria hapohapo.
Lakini kametoboa hadi raisi anakapgia simu. Bongo uchawa unalipa sijui kozi wanatoa wapiIla haka kajamaa kana gundu balaa. Ni kama vile kametembea na bundi. Yani kila sehemu akigusa lazima kutakuwa na walakini. Kwenye misiba kinasemakana kinakula rambirambi, kwenye ubunge wajumbe wakafanya yao, kwenye uigizaji kinaitwa kikuwadi. Yani huyu kiumbe anahitaji aombewe pepo la kukataliwa na kupingwa limtoke.
[emoji28][emoji28]Wamroge tu..ndicho kilichobaki
Kwenye katiba ya shirikisho kipengele Gani kimevyunjwa ? Je mwanafa mbona kapatikana kinyume na taratibu ? Big up steveSteve hana hoja
Hoja ya wasanii ni kuwa Steve kapatikana kwa njia ya kuvunja katiba ya shirikisho,
Yeye anasema wabunge ni darasa la saba, ndio katiba ya Tz inataka mbunge anaejua kusoma na kuandika,
Siri zipi za chama chake ?Mtu hana busara huyo uongoz aliupataje?! Anaenda kutoa siri za chama chake huyu ana akili kweli!
Umeona alioyoyasababisha huko Ukrain? Bila yeye Ukrain ingekuwa na amani badala ya kumwaga damu. Meitia Ukrain hasara ya karne because of short sighted and comedy desion ! Anazidi kufanya comedy mpaka atakaposikia kishindo kama cha Nagasaki, Hiroshima ndio akili itamsogea.
Una akili sana binamuHii interview Ni usaili tosha kua hatoshi Iyo nafas.
Kaongea pumba tupu,
kaingiza chuki za vyama,ubunge na Mambo binafs ya wasanii wkt anajua kabisa anakwenda kuhudumia wasanii wa itikadi zote.
Kiufupi,
Steve aliyoropoka apo yamemuondolea credibility hata kwa wale waliokua wanamuunga mkono apo mwanZo.
Kiufupi,
Steve kakosa ETHICS za kua msemaji.
[emoji4][emoji120] tuko pamoja binamuUna akili sana binamu
Tumia akili kufikiria usitumie tumboKwenye katiba ya shirikisho kipengele Gani kimevyunjwa ? Je mwanafa mbona kapatikana kinyume na taratibu ? Big up steve
Amempa makavu live huyi mwan faMshindi wa sita ndiyo unakuja kuliongoza Jimbo, hatutaki ubunge wa vimemo, hii ni awamu ya sita.
Ingawa kaleta mfno Kama CEO wa Simba ni mchezaji je kina ritha Paulsen ninwasaniiHii interview Ni usaili tosha kua hatoshi Iyo nafas.
Kaongea pumba tupu,
kaingiza chuki za vyama,ubunge na Mambo binafs ya wasanii wkt anajua kabisa anakwenda kuhudumia wasanii wa itikadi zote.
Kiufupi,
Steve aliyoropoka apo yamemuondolea credibility hata kwa wale waliokua wanamuunga mkono apo mwanZo.
Kiufupi,
Steve kakosa ETHICS za kua msemaji.
Ile kauli Ni dhihaka,Ingawa kaleta mfno Kama CEO wa Simba ni mchezaji je kina ritha Paulsen ninwasanii
Kifupi alimjibu mwan fa vzr tu mbuge wa vimemo yule
Kwan alimtaja jinaIle kauli Ni dhihaka,
FA Akiamua kuichukulia too personal, anahitaji ushahidi.
Hii kitu inaweza msumbua sana Steve.
kajitetea.. kasema Ummy Mwl sio Daktari