Steve Nyerere: Sing'oki kihuni, kikao chao ni kinyume na Katiba. Nampa Mbunge saa 48 aombe radhi

Steve Nyerere: Sing'oki kihuni, kikao chao ni kinyume na Katiba. Nampa Mbunge saa 48 aombe radhi

Mshindi wa sita kwa kigezo cha kuhonga wajumbe anaweza kuwa ndiye wa kwanza kwenye fair practice za kiuchaguzi. Mh Rais mwenyewe kakiri hadharani jana akipokea ripoti ya tume. Kwamba rushwa iko kwenye siasa na chaguzi Tanzania. Vimemo ni mfumo upo ambao hakuna awamu itaukwepa. Sitashangaa hata yeye Stefu nafasi ya usemaji alipata kwa kimemo. Nguvu inayotumika kumtetea pengine inadhihirisha hilo.

Kajitahidi kuongea sana huku akionesha hiyo pete yake ya ndoa kwamba ni family man. Ajue nguvu ya pete bila vyeti ni useless. Usemaji ni taaluma ya habari inayosomewa darasani, hivyo tu. Bongo fleva wanamtaka aoneshe vyeti vyake vya darasani si pete maana wao wanayo mpaka macheni ya mafuvu shingoni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah we jamaa mnafiki sana..... umemnyoosha bwana Steve
 
Kumnyima Steve Nyerere Usemaji Kisa Ni Mchekeshaji Hii Hoja Haina Mashiko Mbona Rais wa Ukraine Alikua Mchekeshaji [emoji23][emoji23]

Na umeona ni upuuzi gani kauleta uko ukrain!!!! Kulikuwa na haja gani yeye kuharibu inchi yake kwa kiasi kile asikae mezani wakaenda Sawa? Hawa wachekeshaji ni waropokaji Steve hafai kashawagawa hao wasanii sasa atamsemea nani? Huyo mbunge yeye anamzodoa ndo anapambania haki za wasanii uko bungeni
 
"Ukiangalia wale wote wanaonipinga mfano Nay wa Mitego ni Chadema, yule mwingine ni ACT, yule mwingine ni CUF unadhani watanikubali, sikutaka kuingiza uchama.
Sasa mbona huyu mbweha anachanganya siasa na muziki? Vijana wa nchi hii ni watu wa ovyo sana.
 
Wabunge wa Darasa la Sba ndiyo wanaofanya vizuri kuliko wewe msomi, usisahau ulipotoka, mshindi wa sita ndiyo unakuja kuliongoza Jimbo, hatutaki ubunge wa vimemo, hii ni awamu ya sita. Automatic Hii ni personal attack aliyofanya Steve Mengere Kwa Hamis MwiniJuma, nadhani yeye alipashwa adeal na Kile alichokizungumza MwanaFA na Sio Jinsi ya MwanaFA alivyopatikana Kuwa Mbunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaisha pewa za uso huyo,fanya siasa kwanza hayo mengine waachie wenzio,kelele zake ndio zimemuibua tivu Ake.
 
Kabisa, na kuna kitu kakisema kuhusu itikadi za wanaompinga........hebu tuangalie na humu anatukanwa zaidi na kina nani inaweza kuleta maana sana. Ukiweka chuki pembeni, ana kitu katika mazungumzo yake.
Mkuu, huyo Bwana alikuwa anaropoka tu! Tulimsikia Diamond akimpinga. Yeye sio Mwana CCM mwenzake? Huyo Mwana FA, ni Mbunge wa CHADEMA, au ACT au CUF?
Halafu, ukisikiliza anavyojimwambafai, ni kama vile, kwa nafasi hiyo, ni kama vile anakwenda kutatua matatizo waliyonayo. Eti, wangeniita, waniulize nina mipango gani, kana kwamba, kachaguliwa kuwa MWENYEKITI.
Kwa kifupi, yeye anafaa kuendelea KULAZIMISHA "KUJIFANYA" KUWA NA YEYE NI MCHEKESHAJI.
 
Halafu sijawahi kuelewa kivipi huyu ni MUIGIZAJI
Mkuu, huyo Bwana alikuwa anaropoka tu! Tulimsikia Diamond akimpinga. Yeye sio Mwana CCM mwenzake? Huyo Mwana FA, ni Mbunge wa CHADEMA, au ACT au CUF?
Halafu, ukisikiliza anavyojimwambafai, ni kama vile, kwa nafasi hiyo, ni kama vile anakwenda kutatua matatizo waliyonayo. Eti, wangeniita, waniulize nina mipango gani, kana kwamba, kachaguliwa kuwa MWENYEKITI.
Kwa kifupi, yeye anafaa kuendelea KULAZIMISHA "KUJIFANYA" KUWA NA YEYE NI MCHEKESHAJI.
 
Shida ya andunje anaropoka sana.
Aliwahi kuropoka OMMY DIMPOZ hataimba tena kisa kafanyiwa Operation ya Koo
Mkuu, huyo Bwana alikuwa anaropoka tu! Tulimsikia Diamond akimpinga. Yeye sio Mwana CCM mwenzake? Huyo Mwana FA, ni Mbunge wa CHADEMA, au ACT au CUF?
Halafu, ukisikiliza anavyojimwambafai, ni kama vile, kwa nafasi hiyo, ni kama vile anakwenda kutatua matatizo waliyonayo. Eti, wangeniita, waniulize nina mipango gani, kana kwamba, kachaguliwa kuwa MWENYEKITI.
Kwa kifupi, yeye anafaa kuendelea KULAZIMISHA "KUJIFANYA" KUWA NA YEYE NI MCHEKESHAJI.
 
Ile kauli Ni dhihaka,
FA Akiamua kuichukulia too personal, anahitaji ushahidi.

Hii kitu inaweza msumbua sana Steve.
Haiwezi msumbua hata kidg kwani s inajulikana jins alivyo pita dhid ya add rajabu aliyeongoza ktk kura za maoni
Swal la yey kuwa mbuge wa vimemo liko wasi na litabakia hvyo hvyo

Kwa ishu za kusema jamaa akawe msemaji wa danci siyo kauli pia kwake yeye alipazwa kuunganisha wasanii wote na siyo mkupiga vijembe tivu ake

Wamuache tu mifano Ni ming Sana tivu ake katoa ikubalike hvyo tu kuwa awe semaji lap Hakuna adhari zozote
 
kajitetea.. kasema Ummy Mwl sio Daktari
Kajitete vzr San tivuu ake sijaona kosa kbsa mm Ni miemko tu wa kina wakazi na kina ney hao kukosa uelewa wa tivu ake kuwa msemaji
 
Q huwa namkubali sana,, ila kwenye hili bado ananifikirisha sana yeye kama katibu wa shirikisho alifikiria nini hasa....

Steve sio best candidate kwenye hio position,, na mfano hai ni jinsi alivo mshambulia mwana FA personal bila kujibu hoja
 
Q huwa namkubali sana,, ila kwenye hili bado ananifikirisha sana yeye kama katibu wa shirikisho alifikiria nini hasa....

Steve sio best candidate kwenye hio position,, na mfano hai ni jinsi alivo mshambulia mwana FA personal bila kujibu hoja
Acha washambulie s ccm mwezake watamakizana ktk vikao vya chama ndani mle
 
Wamechagua mtu atakae waunganisha na wanasiasa sio mashabiki wa mzk wao na vitu kama hivyo
Alaf eti wasanii hawa wakapambane na kina joeboy burnaboy 😄😄😄😄
 
Majinga matupu, eti tivu ake ndio jina gani sasa , huyo dogo Steven mengele ni Fala tu wasanii wengine hawamtaki anakomaa tu , watu hawamtaki yeye anang'ang'ania kwa nguvu anaongea pumba tu industry imejaa watu wa hovyo hovyo.
 
Ingawa kaleta mfno Kama CEO wa Simba ni mchezaji je kina ritha Paulsen ninwasanii

Kifupi alimjibu mwan fa vzr tu mbuge wa vimemo yule
Umemkomalia[emoji28][emoji28][emoji28]atajuta
 
Yaani ukimuangalia anavyoongea utadhani kuna jambo la muhimu sana kumbe jamaa anafurahisha umati tu.

 
Back
Top Bottom