Kabla ya ndoa kuhusu mali walishaweka sawa. Hadi wanaachana mali ambazo zilikuwa za familia ni 70$mil.Kweli hawa watu hawafai, Kim ana utajiri wa zaid ya dola bilion 1 kibongo bongo ni trionea.. hajadai kugawana mali kwasababu na yeye ana mali ila angekuwa hana utajiri huo Kanye angekomeshwa
Baba mlevi hela yote nilikuwa napeleka kwenye kvant na valuuKesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Mahaba yanakusumbua hakuna kiti kinaitwa mali ya familia . Mali ni ya mtu na sheria inamruhusu kutumia anavyopenda. Tofautisha,mali ya urithi na mali ya mtu aliye hai. Ndio maana mtoto hawezi kuhoji baba yzke akiamua kuuza nyumba au kuweka wakfu mali yake. Kuna watu hata hapa Bongo pesa zao nyimgi wanapeleka makanisani. Huko ulaya na Marekani matajiri kadhaa wanatoa mabilioni ya pesa zao kwa charity na hawajawai kuhojiwa. Ukiamua kumjengea nyumba au kumnunulia gari hawara na ikajulikana waziwazi huwa sio kosa ndio maan haihojiwi.Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
Unagawanya kitu ambacho kipo in mume au mke’s name. Utagawanyaje kitu, mtu alimpa baba ake au mama ake? Huwa mnatumia nini kufikiria?Ngoja nikuulize kistaarabu tu, hivi unadhani wale ambao mali zao hugawanywa ni sababu wao hawakuwa wakifanya kazi?
HahhahahahKwamba serikali inaweza kukuhoji unatumia Vipi pesa za mshahara na kwanini huna akiba?[emoji276]ama mimi ndio sijaelewa
unaonekana ni mbobezi kwenye sheria kwanini hukwenda au usiende kumsaidia emmanuel eboue?Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
Aisee, ahsante mtaalamMahaba yanakusumbua hakuna kiti kinaitwa mali ya familia . Mali ni ya mtu na sheria inamruhusu kutumia anavyopenda. Tofautisha,mali ya urithi na mali ya mtu aliye hai. Ndio maana mtoto hawezi kuhoji baba yzke akiamua kuuza nyumba au kuweka wakfu mali yake. Kuna watu hata hapa Bongo pesa zao nyimgi wanapeleka makanisani. Huko ulaya na Marekani matajiri kadhaa wanatoa mabilioni ya pesa zao kwa charity na hawajawai kuhojiwa. Ukiamua kumjengea nyumba au kumnunulia gari hawara na ikajulikana waziwazi huwa sio kosa ndio maan haihojiwi.
Huyo mama mzazi hawezi pata shida yeyote ya kuitwa mahakamani ikiwa kesi hiyo itaendelea, mtu anaweza kuhojiwa uhalali wa mali zake kwenye tuhuma za jinai za kujipatia mali kiharamu sio kupewa na mtu.
Kama wewe mali yako ni ya familia ni wewe tu sio kila mtu wengine mali ni zao binafsi hadi watakapokufa ndipo zitarithiwa.
Tatizo mnajenga hoja katika msingi wa kesi hii ambayo imekwishaamuliwa. Hamtaki kuangalia kama madai yataletwa kivingineUnagawanya kitu ambacho kipo in mume au mke’s name. Utagawanyaje kitu, mtu alimpa baba ake au mama ake? Huwa mnatumia nini kufikiria?
Nafikiri hapa tunapenda kuweka sana uwazi katika kutetea kuliko uhalisia.Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote.
Ikumbukwe kwamba, suala hili halijaisha wakati ndiyo kwanza game ipo mapumziko.
Inathibitishika kuwa Hakimi ni muajiriwa, hivyo basi chini ya jina lolote ambapo hela na mali zake zinaenda kuhifadhiwa inakuwa ni salama kwa masuala mengine ya kisheria lakini si kwa mke wake.
Kesi itakayofuata, Hakimi anaweza akahitajika kutoa maelezo ni wapi ambapo pesa na mali alizozipata kutokana na kazi yake amekuwa akizipeleka, maana pesa ile ni mali halali ya familia yake, inakuwaje familia ijikute haina umiliki wa kitu chochote kile?
Vyovyote itakavyokuwa, kesi itakayofuata itamuweka Hakimi mahala pabaya zaidi. Mama yake atahitajika kuelezea chanzo cha mapato cha pesa na mali zilizo chini ya jina lake.
Hii kesi ya kwanza imeishia hapo na ndiyo ina-trend kwa sasa, ila kesi ya pili nabashiri itakuwa mbaya zaidi na huenda Hakimi akajikuta mahala pagumu kuliko Emmanuel Eboue.
Ni huzuni kwakweliKwa sababu kamzalia inabidi amfikirie mwenzie... na ndoa za kuishi Kwa kuviziana hivi si poa hata kidogo. Tusiingie kwenye ndoa Kwa sababu ya vitu Fulani... hivi tumekosa upendo kiasi hiki?
Inaumiza sanaNi huzuni kwakweli
Hamna lolote wivu tu...mamaza sijui wakoje?Ni matokeo ya kumsikoliza mzazi na kufuata asemacho. Trust me, wazazi huwa wanahisia na wapenzi wetu. Ndio maana unaweza kupelekq mtu home, day 1 tu mzazi atakuambia huyu ndiye au siye. Kuna hisia flan mzazi huwa anayo.
Mama ake CR7 hataki kabisa mwanae aoane na mchumba wake. Anataka wabahi hivyohivyo. Mzazi kuna hisiq anayo juu ya mchjmba wa CR7
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtoe mama Angu hapo......
Yeye hakukaa Nyumbani akimtegea mzee, walifanya kazi kwa pamoja,Walinilea kwa pamoja.
Mama angu hajawahi fikiri kwamba kumfariji mzee ni jukumu pekee kama unavyodhani wewe.
Mbali na yote hakuwahi fikiri, kama talaka ndio njia ya kumtoa kimaisha.
Eti " Ilitakiwa nisikujibu" Unadhani we ni nani? Unadhani ingeleta utofauti ukijibu au usipojibu?
"Feminist" Biaaatch
Ahahahahahah! Mawazo yamegongana!Umeniwahi kuandika hiki....
Kweli kabisa mkuu. Jamaa yangu ilishamkuta hiyo na mzazi wake alipiga stop aliposikia mwanae ana mahusiano na binti fulani akaamua kufanya udadisi na kilichofuata ni kumwambia kijanawe apige chini huyo mwanamke ingawa jama alikuwa akimsomesha demu,anakaa naye geto na hapo alishaanza kuhudumia familia yake kwa kiasi cha juu.hakika jamaa hajawahi kujuta zaidi ya kushukuru hilo na kumuoa mtu mwingine ambapo ni full amani tu zaidi ya miaka 5 sasa.Ni matokeo ya kumsikoliza mzazi na kufuata asemacho. Trust me, wazazi huwa wanahisia na wapenzi wetu. Ndio maana unaweza kupelekq mtu home, day 1 tu mzazi atakuambia huyu ndiye au siye. Kuna hisia flan mzazi huwa anayo.
Mama ake CR7 hataki kabisa mwanae aoane na mchumba wake. Anataka wabahi hivyohivyo. Mzazi kuna hisiq anayo juu ya mchjmba wa CR7