Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

hakuna watu wana roho mbaya kwa wabara kama wazanzibari. ukienda kule wanakubagua kwa kuangalia kichogo. ukiingia marikiti bei anouziwa mzanzibari si sawa na wewe mwenye chogo kwa bidhaa ileile.
 
Walioona faida ya huu muungano wameondoka, mimi sioni hata kidogo.
 
Mimi siwezi kuchangia kwa sababu amesema ukweli kuwa Mtanganyika ukiwa Zanzibari hutambuliwa kama mgeni kutoka nje ya nchi (zamani ilikuwa ni lazima uwe na passport) ila mzenji akija Tanganyika anajulikana kuwa ni Mtanzania mwenzetu.

Ni mkweli kuwa wakristu Zanzibar huonekama kama ni mashetani ingawa siyo kwa wazi wazi sana, lakini swala la utanganyika na Uzanzibari liko wazi sana.
 
Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar...
Vipi kuhusu mkristo kuwa rais Zanzibar? Yaani Tanganyika inaweza kuwa na rais mzanzibari ila Zanzibar kuwa na rais kutoka bara ni marufuku( strictly prohibited)
 
Na viongozi wa ccm wanona ni kawaida kabisa. Na wanaimba ngojera kila siku muungano ni imara na hauna shida

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kinachonikera ni kuitusi dini ya kiislamu kwa ajili ya zanzibar basi.

Zanzibar sio dini,
Wanaofanya hayo ni wazanzibar na sio uislam,
Dini ni imani na wazanzibar ni binadamu tu,
Mimi mwenyewe nakerwa na wazanzibar kwenye vipengele vya ajira,n.k
Wabara wanatengwa sana kule ila wazanzibar huku wanaennoy maisha,
Kiufupi HAKUNA USAWA

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu wa visiwani ni kuwatawala tu huku kuwadekeza wataiharibu nchi yetu
 
Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar...
Hivi ukienda Moshi unaweza kupata hata inchi moja ya ardhi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…