Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann wao wanavuka maji kuchukua ardhi bara ww naona unatetea ujingaWatanganyika wakiruhusiwa kununua ardhi Zanzibar si itaisha!!..Kuna ardhi kubwa bara,kimekushinda nini kununua mpaka uvuke maji!!?
Walioona faida ya huu muungano wameondoka, mimi sioni hata kidogo.Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar.
Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shao kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar, amezungumzia mambo mbalimbali aliyokumbana nayo akiwa katika utumishi wa kanisa, moja au baadhi ni Usafirishaji haramu wa watu kwenda nje ya nchi na uhamiaji wanatumika kutoa pasipoti pasipo utaratibu.
Amesema watu wanasafirishwa nje kwa kuhadaiwa kazi nzuri lakini mbele wanabadilishiwa kile walicho aidiwa na kwenda kufuga nguruwe au kazi za hatari.
Kwa upande mwingine ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama yohana upewi.
"Siyo kila mkristo anakuja kujenga kanisa, kanisa halijengwi na familia bali na taasisi kama madhehebu, alisema askofu Shoo.
Aliiomba Serikali ifikilie wanapopima viwanja waweke kipaumbele pia kwa mashirika na taasisi za kidini, sababu kanisa linatizama mbele na si kuwapa kiwanja size ya 20x20.
Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".
Simple, kama wao wanatunyima kujenga kwao basi na wao wanyang'anywe ardhi hapa baraMhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar...
Naomba kuwaalika wafuatao kunogesha mjadala.Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar...
Mimi siwezi kuchangia kwa sababu amesema ukweli kuwa Mtanganyika ukiwa Zanzibari hutambuliwa kama mgeni kutoka nje ya nchi (zamani ilikuwa ni lazima uwe na passport) ila mzenji akija Tanganyika anajulikana kuwa ni Mtanzania mwenzetu.Naomba kuwaalika wafuatao kunogesha mjadala.
Nguruvi3 Kichuguu JokaKuu Ritz Mohamed Said Pascal Mayalla Mshana Jr zumbemkuu Statesman
Vipi kuhusu mkristo kuwa rais Zanzibar? Yaani Tanganyika inaweza kuwa na rais mzanzibari ila Zanzibar kuwa na rais kutoka bara ni marufuku( strictly prohibited)Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar...
Ardh yenywew hawana sasa unategemea waachiwe watu werevu waende kule
Na viongozi wa ccm wanona ni kawaida kabisa. Na wanaimba ngojera kila siku muungano ni imara na hauna shidahii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu. kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions...
Kwaiyo ya Zanzibar pekee ndo Ina kazi ila ya bara Haina kazi.Wamejenga Zanzibar na vingunguti,kwa kuwa vingunguti Kuna ardhi ya kutosha na Haina kazi
Hivi ukienda Moshi unaweza kupata hata inchi moja ya ardhi?Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar...
hatufuti tena mpwa jimwaye mwaye.Afadhali umeanza kujihami, mimi 60% ya post zangu huwa wanazifuta [emoji38][emoji38][emoji38]
Kabisa tuwafukuzeHii fimbo ya moto tutaanza kuwanyanganya ardhi huku bara.