Na wewe ni mmoja Kati ya wajinga wajingaaa... Hapa tuna msukuma ama tunaongelea Jambo la kitaifa??Chizi wewe, izo chuki zenu wasukuma sageni chupa mnywe,mama ndio Kashakuwa Rais ,hamtaki jitundikeni
Hahahaah!! Hatimae Bundi katua LumumbaHata mm nilishangaa
Nikajiuliza alijuaje kama hayo mambo yanafanyika ina maana alikuwa anajua kitambo au?
Unapenda Kusikia Maneno Matamu,utasikia Sana Ila Huyu Mama Uwezo Wake Ni Mdogo Sana. Muda Utatupa Majibu
Mataga ndio wanaomuweka hapo!
Nashangaa bavicha mnashangilia hivi mnafikiri loser hapa ni nani? Ccm or chadema?
Genge la majizi ya kura.Hilo genge ni lipi?
Unaandika vitu usivyovijua
Unajua nini kuhusu 16%? Elezea
Naona chadema mnashangilia wee kama vile kuna chochotemna gain.
Hizi sifa zenu kwa Samia haziwezi kuwainua na chama lenu hilo.
Mngekuwa na akili mngetumia huu muda kupigani mifumo ambayo huwa mnadai ina wanyima ushindi lakini kwa kuwa nyie ni wajinga basi endeleeni kuungana na ccm kumsifia huku mkijifariji kwamba mnawakomoa mataga
..nakumbuka kuna wakati Prof.Kabudi alisema ni 50/50.
Na safari hii mtaongea mpaka kikwenu ngedere wa kijani nyinyi.Sisi kina nani?
Shida yako unafikiri kila mtu anategemea mtu ili aishi ndio nyie kila siku mnalaumu selikali kwa kuishi kwenu kwa shemeji zenu.
Dogo usikifiki kumsifia Samia unamkomoa mtu hapa!
Naona kivuli cha Magu bado kinawatesa na maenda nacho hadi mnakufa! Sasa hivi eti na nyie bavicha mmeungana na ccm kusifia wana ccm.
Kabudi is not a good lawyer, but rather he was just a good law student.Tumpe muda mama, naamini utatuweka pazuri, wasioamini anachoongea mama ni wale ambao walikuwa wameshazoea kumezeshwa uongo bila kuhoji au ukihoji unapotelea ndani. Tangu mwanzo simuamini Prof Kabudi, kwa wale ambao mnakumbuka mwaka 2000 alipokuja na mswada wa white paper mtaungana nami juu ya hili.
kwasababu kasema ukweliHuyu mama soon
ATA IUZA HII NCHI
hamna umbea. mtu kama mwendazake unamfikishiaje habari kama hii?Kuna baadhi ya vitu alivizungumza jana nikashindwa kumuelewa, kwa mfano aliposema kuhusu madini kutoroshwa kupitia chini ya ardhi kama ni kweli alijua hili alichukua hatua gani kumwambia bosi wake?
Hata kama bosi wake alikuwa na tabia za ubabe na kutosikiliza ushauri, lakini sidhani kama ushauri wake huo angemwambia mwendazake angekataa kuufanyia kazi hasa alivyokuwa akipigania rasilimali za hili taifa.
Inawezekana kabisa ile hotuba ya Rais jana alichanganya na kaumbea kidogo ili kunogesha kijiwe kama zilivyo tabia za wanawake wengi, awe makini huyu mama na hizi rasilimali za taifa letu, tusijekusikia tena zile habari mtoto wa fulani kakamatwa China na madawa wakaweka bond madini au gesi yetu, kuchekeana kukizidi mwishowe hugeuka msiba mkubwa.
Zaidi ya hapo naona Rais alikuwa sahihi, masuala ya mikataba ya madini tuliyoingia na wazungu lazima yapelekwe taratibu kwani yapo kisheria, bado tunawahitaji hao watu, Tanzania sio kijiji ndio maana Lissu yalimkuta aliposema haya, kulazimisha kubadilisha mikataba sasa hivi ni kujitafutia hasara tu kwa serikali yetu, kila siku ndege zetu zimekuwa zikikamatwa huko nje, hapa naamini ndio maana Rais alisema kuna baadhi ya mambo tusilazimishe kutunishiana misuli na hao jamaa, bado tunawahitaji.
Kabudi ni msomi asiye na maadili hata kidogo ni muongo muongo na alitumika sana kufanya utapeli wa kisiasa chini ya awamu ya tano.Mgogo Kabudi alaaniwe aondoke Kilosa kabla
Anaiua CCM rasmi,ndiyo kusema kina Kabudi nao wametupiga kupitia Twiga?CCM hakuna msafi,ni wale wale!Huyu mama soon
ATA IUZA HII NCHI
Inunue wewe basi akiiuzaHuyu mama soon
ATA IUZA HII NCHI
kodi iko kisheria. unadai nn wkt sheria za nchi zimeshasema?Mama asikiri udhaifu ameshaanza kukiri unyonge unadai kodi yako halafu unaweka mikono nyuma hii haiwekani hata kidogo
Dai kodi mikono umeweka mfukoni maana wewe mama ni mwenye nyumba
Halafu kapewa wizara nyeti ya Katiba na Sheria.Kabudi ni msomi asiye na maadili hata kidogo ni muongo muongo na alitumika sana kufanya utapeli wa kisiasa chini ya awamu ya tano.
Mkuu huu ulioandika ni upumbavu na utoto.Mataga mmekuwa watoto yatima, hata hamueleweki kabisa, yule jamaa wa mimacho mzee wa "kenda" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaenda wizara gani vile?