Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Siku hizi umeishiwa kabisa ufahamu mkuu, yaani kwenye tovuti ya Serikali kuna picha za CAG's wote tangu Uhuru, tangu wazungu hadi Utoh wa juzi, lakini Assad wa Jana hayumo na wewe unapelemba kuunga mkono upuuzi!!?
Hiyo tovuti Nani administrator? Kama aliajiri IT mbugila akashindwa ku upload?
 
Assad ulikuwa shujaa, umeondoka ukiwa shujaa na utaishi kishujaa! Mola ndie mweza wa yote.
 
Hawa jamaa hawana logic wanaendeshwa na emotions, swali zuri hilo, kama ni automatic kwa nini waweke hiyo miaka 5 na wasiseme 10?
Hivi Mkuu huwa tunasoma between the line? Kwa mantiki hiyo hata hiyo kumi haihitajiki kwani umri wa kustaafu ni miaka 65 kwa mujibu wa sheria. sio mitano, kumi wala kumi na tano.
 
Assad asingekubali kuficha ufisadi wa ATCL lakini huyo wa leo kichere anaenda kukagua hesabu zao kisha kuleta majibu ambayo yatamuuzi mpaka Nyerere kawawa wakiwa kaburini
 
Katiba na sheria naona zimevunjwa na kusiginwa Kabisaaaaaaa openly bipolar disorder ugonjwa mbaya sana.
Magufuli kavurugwa na washauri wake ingawa sidhani kama mama samia na waziri mkuu wamo kwenye list ya washauri wabaya kwa magufuli
 

Zaidi soma:

[/QUOTE]

Nianze na masahihisho kidogo, Katika Sheria(Act) itumike section/kifungu na sio ibara. Ibara hutumika katika katiba. Jambo la msingi la kujiuliza katika sheria hiyo ya ukaguzi kifungu hicho cha 6(2) ni, Je neno "shall" lililenga uteuzi wake kwa mara nyingine au vigezo(ustahili wake/eligibility) vya uteuzi wake tena? Maana kama neno shall lingelenga ulazima wa yeye kuteuliwa neno 'eligible' lisingekuwepo bali ingeandikwa moja kwa moja 'shall be appointed for one more term' mwandishi rudi kwenye Hansard kujiridhisha bunge lilikuwa na kusudi gani. in my view, uteuzi wake kwa term ya pili ni subjective.
 
Tatizo Raisi amefanya haya kwa Mihemko, Kudanganywa na Kujidanganga, Kushauriwa vibaya na Kujishauri vibaya na On top of that Kwa CHUKI binafsi.

Raisi amevunja Katiba ALIYOAPA kuilinda huku akimtaja MUNGU anayedai kumtanguliza mbele'
Mimi naona nyinyi ndiyo mna mihemko maana mnalazimisha kutafsiri sheria mnavyotaka nyie
 
Tatizo la wa TZ hatusomi na kutafakari. Rudia tena kusoma na kutafakari uzi wa mleta mada
 
Bwana yule anajua anaswaga watu na si kuongoza watu hivyo anafanya atakavyo!!
 

Kwahiyo alipovunja katiba kwenye mikutano ya kisiasa kafanywaje kama aliapa kuilinda na sasa kaivunja tuanzie hapo kwanza maana hajavunja jana tangia 2016
 
Usilazimishe nyekundu iwe njano, tukae pembeni haya mambo yanahitaji utaalamu ambao mim na wewe hatuna, sisi tuna upande tunaoutetea kwahiyo sisi kuwa neutral na kuusema ukweli hatuwezi, tukae pambeni tusome comments tuongeze kitu
 
Assad alalamiki kutoongezewa mkataba ila vibaraka wana back to back uzi na wemejikitaka kwenye vipengele vya sheria wame quote nusu nusu, mnahisi atarudishwa kwenye U-CAG?
 

Kama umegundua, hakuna mtu aliyejibu hilo swali.

Haiingii akilini kwamba, kama CAG ni lazima atumikie kwa miaka 10, kwa nini basi kuwepo na kikomo cha miaka 5?

Halafu, hiyo modal verb ya ‘shall’ imetumika kama qualifier ya neno ‘eligible’.

Shall be eligible for renewal doesn’t mean an automatic renewal.

Ndo maana huwa nasema kuwa context is everything.

You can’t just read words in isolation.
 
Kwamba neno eligible limewekwa tu halina uzito au maana yeyote? Ikiwa ni hivyo kwanini basi na neno shall lisiwe limewekwa tu?

Mkanganyiko unaanzia kwenye Katiba yenyewe.

Let me ask you this...

Shall be eligible for renewal and shall be reappointed for another 5 year term.

Which one of those expresses a necessity and which one expresses a possibility?

I feel like I’m back to being an English teacher again 🤣
 

Nope!

Shall is a modal verb which expresses a necessity.

It means the same thing across the board.

If it doesn’t, show me, with authority, where it means totally something else.
 

Katiba inataka CAG asimishwe kazi anapochunguza sasa lini alisimaishwa kazi ili kupisha huo uchunguzi ambao sasa umependekeza aomdolewe. Acha kuongea ushabiki.
 


Hawa jamaa wanajiita wasomi lakini nashangaa anatafsiri shall kisheria huku akinyamaza kuhusu eligibility.

Kitu wanachosahau hata kwenye urais maneno hayo hayo yametumika lakini iko siku rais atatawala miaka mitano watu watasema katiba imevunjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…