Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Mimi sio mwanasheriari lakini hiyo ibara ya 40(1) aliyoitumia huyo 'wakili ' kakosea nasema Mimi 'mpima ardhi ' kwamba maneno "shall be eligible for reelection for that office " haimaanishi kwamba rais atakuwa na haki ya kuwa rais Kwa kipindi kingine bila ya kupigiwa kura na wananchi ndiyo maana ya neno "reelection " yaani utafanyika uchaguzi mwingine kumchagua rais na siyo automatic anaendelea kuwa rais ni lazima kuwe na uchaguzi Mkuu!
Neno "shall " maana yaken ni lazima "mandatory " ndiyo maana katiba ikasema kuwa "shall be eligible for reelection "
 
Mbona kuna nguvu nyingi sana inatumika kutetea hili swala? Mwenzio anakwambia ata mwaka mmoja anakuondoa.

Tukubali tu Magufuli anapenda kuvunja katiba.
Nguvu ga kutetea ipo sawa na nguvu ya kuponda
 
Unakomaa na kuteseka kupata reference

Tatizo siku hizi kuna watu mnajua mno.....na mnaona wengine wajinga


CAG MPYA anajulikana

Pia unatumia wrong version
Ccm in secrecy
Ndio umeandika nini sasa
Chambua vifungu sio blah blah
 
Angalia mwaka public audit act iliyochomeka utata wa miaka 5
Hakuna mtu aliyeleta balaa kwenye nchi hii kama jk
Yule mk.were ovyo kabisa
 
Naona wanasheria bado hamkubaliani kwa kitu mlichosomea!
Ndio maana mnajiita wanasheria wasomi.
Lissu anasemaje makamanda hii ishu?
Sisi tumefunga mjadala. Shall be eligible for renewal IS not the same as SHALL BE RENEWED..
Hutaki acha...

Wengine wanadai eti kuwa ‘shall’ katika legal parlance ina maana tofauti.

Si kweli hata kidogo.

Maana yake ni ile ile.

‘Shall’ doesn’t become a different part of speech with a totally different meaning just because it’s used in legalese.

Muhimu ni muktadha ambao neno limetumiwa.

Shall be eligible for renewal na shall be renewed ni sentensi mbili zenye maana tofauti kabisa licha ya kwamba zote zina neno ‘shall’.

Muktadha muktadha muktadha.
 
Tuseme uko sawa
Turudi kwenye katiba inataka astaafu na miaka 60 na hakuna sehemu katiba imetamka bunge litunge kipengele cha miaka mitano...bunge limepewa fursa ya miaka tu ambapo waliongeza hadi miaka 65
Hicho kipengele cha miaka mitano mitano ni batili ab initio
 

Sio ‘tuseme’ niko sawa.

Ni kwamba, nipo sawa.

Shall be eligible for renewal si sawa na shall be renewed.

End of story.
 
Kaka Paskali,
Mjibu mtoa mada kwa hoja... ulichoandika hapa ndo utatange wenyewe...
Mwenzio kaanisha na vimeeleweka... wewe umepiga blah blah na utatange tu

Ngali K
 
Vifungu vya katiba vinavyosema kwamba CAG kuondolewa, hata kama ni baada ya miaka mitano tu, ni lazima awe mgonjwa, katimiza miaka 65 au kafanyiwa impeachment tribunal viko clear kabisa.

Magufuli hakutakiwa kumuondoa CAG bila kufuata katiba. Magufuli amevunja katiba kwa mara nyingine tena.
 
There you are tuna wapinzani vilaza sijapata kuona.
Ila kuna vifungu vingine vya katiba vinavyomtaka Magufuli kuunda impeachment tribunal ili kumuondoa CAG ambaye hajafikisha umri wa kuondoka na wala hana maradhi ya kumfanya asiweze kazi yake.

Hivyo ndivyo vifungu vya katiba alivyovunja Magufuli.
 

Zaidi soma:

[/QUOTE]
Mtaalamu wa sheria hebu tusaidia kifungu cha 40 (i) cha Katiba inasema hivi:
40.-(1) Subject to the other provisions of this Article, any person who holds office as President shall be eligible for re-election to that office. (2) No person shall be elected more than twice to hold the office of President.

Hapo "SHALL" inamaana kama ulivyoeleza hapo juu??!!
 

Umesoma subsection 3 hii ya sheria iliyoundwa kuelezea utaratibu wa kurenew mkataba wa CAG? :Soma hii hapa Chini:



Then kutokana na Profesa Shivji kusoma kipengele hicho naye akasema yafuatayo:



kutokana na kifungu hicho subsection 3

Ni dhahiri kwa mujibu wa sheria, Sheria inataka kuwa CAG aliyemaliza muhula wake wa kwanza LAZIMA aongezewe miaka mingine mitano isipokuwa tu kama Rais hataki kuendelea naye basi yapaswa kufuata mchakato wa kumtoa kama ilivyoelekezwa na ibara ya 144 ya katiba.

JPM Kavunja sheria kwenye hili suala, Ameteua CAG mpya kinyume cha sheria
 

Well, kama ni hivyo basi Assad aende mahakamani.

Manake kama ni dhahiri namna hiyo kama ulivyowasilisha, the whole thing should be a slam dunk open-and-shut case.

Pia nimeona kuna tatizo kubwa sana la uelewa wa lugha ya Kiingereza.

Suala la ‘shall be eligible for renewal’ ni suala jepesi sana lisilohitaji hata mabishano.

Ila sasa sishangai kwa nini hata baadhi ya watu walikuwa wana cite hicho kipengele kuwa ndiyo kimevunjwa!
 
Kuna vifungu vya katiba vinavyomtaka Magufuli kuanzisha impeachment tribunal kabla ya kumuondoa CAG.

Hivi vifungu Magufuli hakuvizingatia as far as we know, na ndivyo vinavyomfanya awe kavunja katiba.
Mkuu hiyo ni interpretation yako tu!
Na hii je?
40.-(1) Subject to the other provisions of this Article, any person who holds office as President shall be eligible for re-election to that office. (2) No person shall be elected more than twice to hold the office of President.

Dadavua SHALL pia hapa!!
 

Sikubaliani na lugha iliyotumika kwenye hiyo sec 3.

Haipo definitive. Hakuna haja ya kuandika shall be eligible.

Andika tu ‘shall be renewed’ na hakuna ubishi.
 

Nyani Ngabu.
The issue is not about "shall be eligible", that is not a problem at all because eligibility does not imply "A must get something"

The Place where Magufuli made a mistake is in violating the following subsection:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…