Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kwani yeye Asadi au Mke na watoto wake wanasemaje? Asadi alishawahi kukuomba hela ya kula?
Kasome vizuri sharia ya CAGWatanzania tuamke,
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252749
Watanzania tuamke,
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252749
Huyu ametimiza miaka yake ya mkataba wa miaka 8 au 10 kama sikosei...Watanzania tuamke,
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252749
Maendeleo yana vyamaWatanzania tuamke,
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252749
Ila pamoja na ukali wake jamaa wakapora 2.4T, sasa akistaafu na kuwekwa waliyempanga huyu MtuPori atapiga ngapi? Hatari sana!Acha Apumzike mzee kufanya kazi na watu wapumbavu ni kama kuzidi kumshushia heshima. Kwa mtu makini hawezi kufanya kazi na Magufuli.
Kazi ipi?Kwani alianza kazi lini?
Assad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.Watanzania tuamke,
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252749
Jikite kwenye hoja mkuu,katiba imevunjwa au haijavunjwa?Kwani yeye Asadi au Mke na watoto wake wanasemaje? Asadi alishawahi kukuomba hela ya kula?
Ni kweli jiwe hawezi kufanya kazi na watu makini na wenye msimamo. Anawapenda wale aliowaokota jalalani.Acha Apumzike mzee kufanya kazi na watu wapumbavu ni kama kuzidi kumshushia heshima. Kwa mtu makini hawezi kufanya kazi na Magufuli.
Kinyume chake ndiyo kweli.sio kwa hoja zozote za vitatange na vibirifitina,
Kwa namna alivyopambana na fitina, majungu na uzabizabinaina lake litaandikwa kwenye kile kitabu cha mashujaa wa kweli wa taifa wetu kwasababu ameacha Legacy.
Haheshimu wazee kabisa. Wakisema anawaambia wanawashwa washwa. Wakilalamika hata kwa njia ya waraka inakuwa taabu, anadukua mpk maongezi yao ya simutuwaache wazee walio juu wazungumze naye kama kuna ukwel
Nenda mahakamaniWatanzania tuamke,
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252749