Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Kama tumemuamini tumuache Rais atekeleza majukumu yake. Maneno mengi hayana faida wala hayana msaada kwa taifa tuwaache wazee walio juu wazungumze naye kama kuna ukweli. Tunaongea sana mpaka tunaharibu.
Mkuu kumbuka rais aliapa kulinda katiba yetu kwa kinywa chake..
 
Uko sawa mkuu, katiba haijavunjwa ni msimamo wake ndiyo umemponza.
Katiba imevunjwa waziwazi, katiba inasema lazima awe ametimiza miaka 60.Assad ana miaka 58.kwa kufuata katiba rais alipaswa kumwondoa 2024 kama angeona hafai.
 
Shall be eligible maana yake ni kwamba, kwanza kabisa neno "shall" ni neno linaloonesha ulazima, kwamba jambo hili halina mjadala, si ombi, ni amri.

Kwa hiyo kwanza kabisa sentensi inaanza na jambo la ulazima.

Eligible maana yake ni mtu mwenye sifa za kuweza kufanya kitu, kupata kazi fulani etc.

Kwa mfano. All MPs are eligible for cabinet positions. Being an MP is a prerequisite to being a cabinet minister. But not all MPs are cabinet ministers.

Eligibility carries potential.

All Tanzanians of majority age and good mental capacities, are eligible to vote, but that does not mean all these Tanzanians do vote.

Assad was eligible to be re-appointed.

But that does not mean it was a must for him to be re-appointed.

Magufuli is eligible to be president for a second term. But that does not mean he must bepresident for a second term.

Kuna tofauti kati ya "shall be eligible for renewal" na " shall be renewed".

This is a Technical Knock Out.

Zaidi, shall be eligible for renewal for one term only maana yake mwisho wa renewal ni term ya miaka mitano. Kwa maana ya jwamba baada ya miaka 10, anaondolewa hawezi kuwa renewed kwa mara ya pili.

Sasa, katiba ikimwambia rais kwamba huyu hatakiwi kuwa renewed zaidi ya mara moja, hilo halina maana ni lazima awe renewed.

Magufuli simpendi kwa mengi. Lakini hapa hakwenda kinyume na katiba.
Umeeleza vizuri mwishoni umejichanganya, rais wetu amevunja katiba waziwazi.Assad alipaswa kustaafu 2024 kama rais asingetaka kumuongezea miaka mitano ya ziada iliyowekwa Na katiba, Na hiyo ya nyongeza anapaswa kumuongezea MTU asiyezidi 65 years.
 
Tumtakie CAG Mstaafu, Prof. Mussa Assad kustaafu kwema na amestaafu kwa heshima na kwa mujibu wa sheria na sio kwa hoja zozote za vitatange na vibirifitina, jina lake litaandikwa kwenye kile kitabu cha mashujaa wa kweli wa taifa wetu kwasababu ameacha Legacy.

Karibu CAG Mpya, Charles Kicheere, tunakutakia kazi njema.
Paskali

Paskali huyu Mussa Assad hajastaafu bali amemaliza mkataba wake wa Miaka mitano!!! Akipenda anaweza kurudi UDSM akafundishe ndio astaafie huko!!
 
Paskali huyu Mussa Assad hajastaafu bali amemalia mkataba wake wa Miaka mitano!!! Akipenda anaweza kurudi UDSM akafundishe ndio astaafie huko!!
Huo mkataba alipaswa kumaliza 2024, sababu kuu kwa sasa ana miaka 58 katiba hairuhusu yeye kuondolewa kwa vile umri Wa kustaafu bado, kinachofanya ifike 2024 ni kwa vile katiba inatamka fixed terms of 5 years.baada ya hapo rais angeweza muongezea miaka mitano mingine angependa.
 
Huo mkataba alipaswa kumaliza 2024, sababu kuu kwa sasa ana miaka 58 katiba hairuhusu yeye kuondolewa kwa vile umri Wa kustaafu bado, kinachofanya ifike 2024 ni kwa vile katiba inatamka fixed terms of 5 years.baada ya hapo rais angeweza muongezea miaka mitano mingine angependa.

Hapana kuna kipengela hujakisoma vizuri; anaweza kuteuliwa kipindi chapili iwapo mamlaka ya uteuzi itaona inafaa!!!
 
Umeeleza vizuri mwishoni umejichanganya, rais wetu amevunja katiba waziwazi.Assad alipaswa kustaafu 2024 kama rais asingetaka kumuongezea miaka mitano ya ziada iliyowekwa Na katiba, Na hiyo ya nyongeza anapaswa kumuongezea MTU asiyezidi 65 years.
Naomba unukuu maneno ya katiba yanayoonesha rais kavunja katiba.

Katiba inasema CAG hawezi kuongezewa muda baada ya kutumikia serikali kipindi cha pili.

Mwisho wa utumishi wake kama CAG ni miaka 10.

Baada ya miaka 10 hatakiwi kuongezewa muda tena kwenda kipindi cha tatu.

Katiba haijasema CAG akitumikia kipindi cha kwanza cha miaka mitano, ni lazima aongezewe mkataba kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Hivyo rais, ana haki ya kutoongeza muda wa CAG baada ya kipindi cha kwanza cha miaka mitano, kwa sababu yoyote au bila sababu.

Bila ya kuvunja katiba.

Na kama unafikiri kuna sehemu katiba imevunjwa, weka hiyo sehemu hapa tuichambue.

Mimi sipendi uongozi wa Magufuli. Sipendi kwa mfano ATCL ilivyoenda kisiasa na CAG akakatazwa kukagua vitabu vya kihasibu. Assad alikuwa CAG mwenye msimamo, na inaonekana anaondolewa kwa sababu ya msimamo wake.

Lakini, katika hili la Assad kuondolewa, hakuna sehemu ambapo katiba imevunjwa.

Sipendi utawala wa Magufuli kwa sababu unavunja katiba mara nyingi.

Marufuku ya mikutano ya siasa ni kuvunjwa kwa katiba. Magufuli kavunja katiba hapo. Let's call him out on that.

Lakini hii habari ya Assad kuondolewa hakuna sehemu katiba imevunjwa.

Kama unafikiri kuna sehemu katiba imevunjwa, tujadili katiba imesemaje neno kwa neno.
 
Paskali huyu Mussa Assad hajastaafu bali amemalia mkataba wake wa Miaka mitano!!! Akipenda anaweza kurudi UDSM akafundishe ndio astaafie huko!!
Zile posts 5 za juu za executives, CDF, Director wa TISS, Director wa PCCB, IGP na CAG, baada ya utumishi wa ngazi, haruhusiwi kuhudumu kwenye executive position yoyote.
P
 
Naomba unukuu maneno ya katiba yanayoonesha rais kavunja katiba.

Katiba inasema CAG hawezi kuongezewa muda baada ya kutumikia serikali kipindi cha pili.

Mwisho wa utumishi wake kama CAG ni miaka 10.

Baada ya miaka 10 hatakiwi kuongezewa muda tena kwenda kipindi cha tatu.

Katiba haijasema CAG akitumikia kipindi cha kwanza cha miaka mitano, ni lazima aongezewe mkataba kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Hivyo rais, ana haki ya kutoongeza muda wa CAG baada ya kipindi cha jwanza cha miaka mitano, kwa sababu yoyote au bila sababu.

Bila ya kuvunja katiba.

Na kama unafikiri kuna sehemu katiba imevunjwa, weka hiyi sehemu hapa tuichambue.

Mimi sipendi uongozi wa Magufuli. Sioendi kwa mfano ATCL ilivyienda kisiasa na CAG akakatazwa kukagua vitabu vya kihasibu. Assad alikuwa CAG mwenye msimamo, na inaonekana anaondolewa kwa sababu ya msimamo wake.

Lakini, katika hili la Assad kuondolewa, hakuna sehemu ambapo katiba imevunjwa.

Sipendi utawala wa Magufuli kwa sababu unavunja katiba mara nyingi.

Marufuku ya mikutano ya siasa ni kuvunjwa jwa katiba. Magufuli kavunja katiba hapo. Let's call him out on that.

Lakini hii habari ya Assad kuondolewa hakuna sehemu katiba imevunjwa.

Kama unafikiri kuna sehemu katiba imevunjwa, tujadili katiba imesemaje neno kwa neno.
Mkuu soma historia ya Ma CAG waliopita, hakuna miaka kumi tu? Kwa mfano aliyepita ameongoza muda gani? Vipi yule Wa kwanza.pia kuna umri Wa kustaafu kuanzia miaka 60, kumbuka Assad ana miaka 58.Hawezi staafu maana bado umri huo...Wa kustaafu.
 
Pongezi kubwa kwa Prof. Assad kwa utumishi uliotukuka, ijapokuwa weledi na maadili yako ulikuwa mwiba kwa wengine. Kwa hakika historia yako imeandikwa kwa wino wa dhahabu, ambapo si ajabu ukaaminiwa na IMF ama WB na kukabidhiwa nafasi mpya unayostahili.

Aidha, pongezi pia kwa CAG mteule, mtangulize Mola mbele kwa nafasi hii mpya ulioaminiwa na kukabidhiwa kwa maslahi mapana ya uzalendo na taifa letu, hilo ni kama zigo la misumari endapo utaweka maadili na weledi kando ili upate kufuraisha watu fulani, haswa kwa yale yenye makandokando mengi.
CAG mpya amefinyangwa, ametayarishwa na kujazwa yale ya yule atakayo just to be complete accord with him regardless to the brunders that will be committed.
Napata mashaka na ule utumbuaji uliofanyikaga TRA mpaka mtu akapelekwa kuwa katibu tawala and all over the suddenly leo ni CAG!
 
Katiba imevunjwa waziwazi, katiba inasema lazima awe ametimiza miaka 60.Assad ana miaka 58.kwa kufuata katiba rais alipaswa kumwondoa 2024 kama angeona hafai.
Lakini sikamaliza mkataba wake wa miaka mitano? Kwahiyo apewe mkataba wa miaka miwili kinyume Cha katiba? Kwa kumwangalia tu hiki kibabu so Kona miaka sabini kweli? Wengine mwishowe tutawapima dna
 
Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.

Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.

-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?

View attachment 1252957
View attachment 1252749
Wengine wanasema miaka 5 huku wengine mpaka atimize miaka. Nyie jamaa kwakweli mnawapotosha wa tz. Bora nitafute Jembe nikalime naona sielewielewi kama kunde au maharage.
 
Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.

Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.

-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?

View attachment 1252957
View attachment 1252749

Tatizo hamjui sheria kusoma hakuna sheria iliyo vunjwa hapa acheni ushabiki.
 
Wengine wanasema miaka 5 huku wengine mpaka atimize miaka. Nyie jamaa kwakweli mnawapotosha wa tz. Bora nitafute Jembe nikalime naona sielewielewi kama kunde au maharage.

Kama huelewi si ubakie kuabudu katiba binafsi toka chato na kolomije
 
Tumtakie CAG Mstaafu, Prof. Mussa Assad kustaafu kwema na amestaafu kwa heshima na kwa mujibu wa sheria na sio kwa hoja zozote za vitatange na vibirifitina, jina lake litaandikwa kwenye kile kitabu cha mashujaa wa kweli wa taifa wetu kwasababu ameacha Legacy.

Karibu CAG Mpya, Charles Kicheere, tunakutakia kazi njema.
Paskali
Yale makosa ya TRA yalijifuta!?
 
Haheshimu wazee kabisa. Wakisema anawaambia wanawashwa washwa. Wakilalamika hata kwa njia ya waraka inakuwa taabu, anadukua mpk maongezi yao ya simu
Aliwahi hata kutaka kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi akaogopa watamsomea Albadiri akaacha
 
Back
Top Bottom