Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Kasome vizuri sharia ya CAG
Atakaa madarakani kwa miaka mitano
Ni uamuzi wa ngazi ya uteuzi kumuongezea muhula au la
Assad atarudi kwenye ajira yake UDSM
Walimu wanakazi ya kufundisha Neno "shall" kisheria mpaka watu waelewe kweli Tanzania tuna KAZI kubwa mno tutaona mengi kwenye hii miaka sita ya Melo iliyobaki only kama hata extend term nyingine maana anaonekana amenogewa Sana na jumba jeupe
 
Ati JF kuna wasomi wakati neno shall be eligible hawawezi kulitafsiri kisheria. Katiba ingesema must be eligible ingekuwa biashara nyingine.
 
Mkuu soma historia ya Ma CAG waliopita, hakuna miaka kumi tu? Kwa mfano aliyepita ameongoza muda gani? Vipi yule Wa kwanza.pia kuna umri Wa kustaafu kuanzia miaka 60, kumbuka Assad ana miaka 58.Hawezi staafu maana bado umri huo...Wa kustaafu.

Assad hajastafu. Mkataba wake haujawa renewed. Hayo ni mambo mawili tofauti.

Hata urais marais wote waliomfuatia Nyerere waliongoza kwa miaka kumi. Hicho ndicho kikomo cha urais. Mihula miwili.

Lakini, kikomo cha urais kuwa mihula miwili, hakimaanishi kwamba ni lazima rais awe rais kwa mihula miwili.

Rais anaweza kuwa rais wa muhula mmoja halafu contract yake isiwe renewed na wananchi katika box la kupihga kura.

Akaishia kuwa rais wa muhula mmoja.

Hicho ndicho kitu kilichotokea hapa.

Tofauti ni kwamba, rais contract yake inakuwa renewed na wananchi kwa kupigiwa kura.

CAG contract yake inakuwa renewed kwa maamuzi ya rais.

Rais hajaamua ku renew contract.

Hakuna sehemu kwenye katiba inayomlazimisha rais ku renew contract.

Hakuna sehemu kwenye katiba inayisema CAG ni lazima akae kuwa CAG kwa miaka 10.
 
Mtukufu magufuli na mshauri wake mkuu Naibu Rais Daud Bashite hawatumii katiba na Sheria za Nchi kuongoza bali wanatumia Sheria zao binafsi toka kolomije na chato na zingine toka kwa cyprian Musiba na Le mutuz, Nchi sasa inapita katika kipindi kigumu sana
 
Assad hajastafu. Mkataba wake haujawa renewed. Hayo ni mambo mawili tofauti.

Hata urais marais wote waliomfuatia Nyerere waliongoza kwa miaka kumi. Hicho ndicho kikomo cha urais. Mihula miwili.

Lakini, kikomo cha urais kuwa mihula miwili, hakimaanishi kwamba ni lazima rais awe rais kwa mihula miwili.

Rais anaweza kuwa rais wa muhula mmoja halafu contract yake isiwe renewed na wananchi katika box la kupihga kura.

Akaishia kuwa rais wa muhula mmoja.

Hicho ndicho kitu kilichotokea hapa.

Tofauti ni kwamba, rais contract yake inakuwa renewed na wananchi kwa kupigiwa kura.

CAG contract yake inakuwa renewed kwa maamuzi ya rais.

Rais hajaamua ku renew contract.

Hakuna sehemu kwenye katiba inayomlazimisha rais ku renew contract.

Hakuna sehemu kwenye katiba inayisema CAG ni lazima akae kuwa CAG kwa miaka 10.

Magufuli kaweka CAG mpya wapate kupiga pesa kwenye miradi yote mikubwa bila kelele za CAG wa zamani mwadilifu, hizo story zako bakia nazo huko huko
 
Muvi ndo kwanza inaanza..!!

Daud Bashite anatamani kumtundu lisu profesa Assad lakini mungu kaamua kumlinda lakini inabidi awe makini sana pindi akirejea Nchini toka huko alipo
 
Magufuli kaweka CAG mpya wapate kupiga pesa kwenye miradi yote mikubwa bila kelele za CAG wa zamani mwadilifu, hizo story zako bakia nazo huko huko
Inawezekana kabisa Magufuli akawa kaweka CAG mpya ili wapate kupiga pesa kwenye miradi, au kutumia pesa bila kuingikiwa na CAG.

Hakuna popote nilipopinga hilo. Kwa kweli nimeeleza hapo juu kwamba CAG kukatazwa kukagua vitabu vya ATCL ni jambo la aibu na fedheha.

Halafu hapo hapo, hayo yote hayafanyi kuondolewa kwa CAG Assad kukawa kumefanywa kwa kuvunja katiba.

Sijasema kwamba Magufuli kamuondoa Assad kwa nia nzuri. In fact ukinisoma hapo juu ninesema Assad ameondoleea kwa sababu ya msimamo wake.

Lakini hilo halimaanishi kuondolewa kwa Assad ni kuvunja katiba.

Tujadili mambo kwa kina bila mihemuko.

Mtu akisema "Magufuli hajavunja katiba kumuondoa Assad" haimaanishi amesema "Magufuli kamuondoa Assad kwa nia nzuri na Magufuli hana mawaa yoyote kwenye miradi mikubwa".

Jua kusoma kwa ufahamu.

Jua kusoma kwa mantiki.

Jua kwamba rais mwenye nia mbaya anaweza kumuondoa CAG bila kuvunja katiba, na mtu akisema rais kamuondoa CAG bila kuvunja katiba, hilo halina maana kwamba rais amemuindoa CAG kwa nia nzuri.

You sound like you have an overly presumptive one track mind.
 
Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.

Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.

-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?

View attachment 1252957
View attachment 1252749
Pamoja na kuwa sio mwanasheria hapa najua unapotosha, kinachozingatiwa hapa sio umri tu bali ni kuwa pale CAG akiteuliwa kwanza atamaliza miaka yote ya kipindi alichoteuliwa yaani miaka mitano ya mwanzo ,baada ya hapo anaweza kuteuliwa tena (angalizo na sio lazima kama vilaza walivyoshupalia neno (eligible) nadhani hawajui tafsri ya neno eligible ,neno eligible halilazimishi ni sawa tu na kusema ''anastahili'' )kwa miaka mingine mitano ambayo hataongezewa tena,hapa kiliwekwa kwanza kipindi cha miaka mitano,na maana yake ni kuwa anaweza kutoteuliwa tena kinapokuja kipindi cha pili cha miaka mitano,mnaolilia na ukihiyo wenu wa sheria mngejiuliza kwanini haikuwekwa miaka kumi moja kwa moja na ikawekwa miaka mitano mitano? maana yake yule aliyemteua anaweza tu kumyoa kwa kutomuongezea miaka mingine mitano,hiyo ndio kinga ya CAG. Kule Marekani Trump anatoa na kuingiza pale anapoona hufai tena yeye anatwit tu,hata ungekuwa kwenye ziara ,mnakumbuka yule aliyekwa waziri wa mambo ya nje alipokuwa ziarani Kenya kibarua kikaota mbaya,pamoja na hizo kanuni sijui katiba mwisho wa yote anayeteua ndio mwenye mamlaka ya kutengua,kama alivoteua kwa raha zake pia atatengua kwa raha yake.
 
Pamoja na kuwa sio mwanasheria hapa najua unapotosha, kinachozingatiwa hapa sio umri tu bali ni kuwa pale CAG akiteuliwa kwanza atamaliza miaka yote ya kipindi alichoteuliwa yaani miaka mitano ya mwanzo ,baada ya hapo anaweza kuteuliwa tena (angalizo na sio lazima kama vilaza walivyoshupalia neno (eligible) nadhani hawajui tafsri ya neno eligible ,neno eligible halilazimishi ni sawa tu na kusema ''anastahili'' )kwa miaka mingine mitano ambayo hataongezewa tena,hapa kiliwekwa kwanza kipindi cha miaka mitano,na maana yake ni kuwa anaweza kutoteuliwa tena kinapokuja kipindi cha pili cha miaka mitano,mnaolilia na ukihiyo wenu wa sheria mngejiuliza kwanini haikuwekwa miaka kumi moja kwa moja na ikawekwa miaka mitano mitano? maana yake yule aliyemteua anaweza tu kumyoa kwa kutomuongezea miaka mingine mitano,hiyo ndio kinga ya CAG. Kule Marekani Trump anatoa na kuingiza pale anapoona hufai tena yeye anatwit tu,hata ungekuwa kwenye ziara ,mnakumbuka yule aliyekwa waziri wa mambo ya nje alipokuwa ziarani Kenya kibarua kikaota mbaya,pamoja na hizo kanuni sijui katiba mwisho wa yote anayeteua ndio mwenye mamlaka ya kutengua,kama alivoteua kwa raha zake pia atatengua kwa raha yake.
Pole sana Mkuu, soma katiba ibara 144 uelewe vizuri, katiba imeweka umri Wa CAG kuondoka madarakani ni umri Wa kustaafu, je umri Wa kustaafu ni miaka 58 aliyonayo Assad? Hapana.kipindi cha rais kuongeza miaka mitano akitaka ni ingekuwa katimiza miaka ya kustaafu na hakizidi kimoja kwa mujibu Wa katiba.Assad alipaswa kupewa mitano tens hadi 2024.sio siasa ni fact, endeleeni kutetea uovu.
 
Ati JF kuna wasomi wakati neno shall be eligible hawawezi kulitafsiri kisheria. Katiba ingesema must be eligible ingekuwa biashara nyingine.
Hata nust be eligibke haibadilishi kitu.

Kiwa eligible katika uteuzi wa CAG si kazima uwe CAG.

Mfano, wa unge wote wako eligible kuwa mawaziri, lakini si wabunge wote walio mawaziri.
 
Sasa hatumii katiba bali anaongoza kwa mawazo yake binafsi na ushauri wa Daud Bashite tu
Magufuli anavunja katiba sana.

Mfano, amevunja katiba kwenye marufuku ya mikutano ya kisiasa.

Mara nyingi nimesema amevunja katiba katika hilo.

Lakini, kwenye kuto renew mkataba wa CAG Assad, hakuna alipovunja katiba.

Dalili zinaonesha kwamba haku renew mkataba wa CAG Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo. Na ukifuatiliwa ATCL inavyooelekwa, na ilivyokingiwa kifua ili isikaguliwe vitabu vyake na CAG, utaona Magufuli hana imani kwamba Assad anaweza kuficha madudu. Kwa hiyo inaonekana kamtoa u CAG, ili aweke mtu wake ambaye ana imani naye.

Lakini hajamtoa kwa kuvunja katiba.

Ni muhimu tutenganishe nia mbaya na kuvunja katiba. Na ni muhimu tujue kwamba mambo ya nia ni vigumu kuyathibutisha kisheria.

Magufuli amefanya Technical Knock Out.

Kama una kifungu cha katiba unachosema kavunja, kiweke hapa tukijadili.

Tumseme kuhusu kuvunja katiba anapovunja katiba kweli.

Tukimsema kuhusu kuvunja katiba, katika jambo ambalo hajavunja katiba kama hili la kuto renew mkataba wa CAG, hata anapovunja katiba kweli, kama kwenye kukataza mikutano ya kisiasa, tukisema kavunja katiba, tutaonekana walalmishi tu.

There is such a thing as crying wolf.
 
Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.

Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.

-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?

View attachment 1252957
View attachment 1252749
Wewe unachukulia kwamba kuwa eligible kuendela ni uthibitisho kuwa lazima utaendelea. Kama ulikuwa hujui, Rais Abdul Wakil wa Zanzibar kati ya mwaka 1985 na 1990 alikuwa eligible kuendelea kuwa rais wa Zanzibar kipindi kingine hadi mwaka 1995, lakini hakuendelea, badala yake Comando Salmini akachukua kati ya mwaka 1990 hadi 2000; ndiyo maana upishanaji wa kiti cha rais baina Zanzimbar na muungano kuna tofauti ya miaka mitano.
 
Ati JF kuna wasomi wakati neno shall be eligible hawawezi kulitafsiri kisheria. Katiba ingesema must be eligible ingekuwa biashara nyingine.

Wanachanganya kati ya ‘shall be eligible’ na ‘shall/must be reappointed’.

Shall be eligible haimaanishi shall be reappointed.

Ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na ulazima wa miaka mitano mitano. Ingewekwa tu miaka 10, end of story.
 
Wewe unachukulia kwamba kuwa eligible kuendela ni uthibitisho kuwa lazima utaendelea. Kama ulikuwa hujui, Rais Abdul Wakil wa Zanzibar kati ya mwaka 1985 na 1990 alikuwa eligible kuendelea kuwa rais wa Zanzibar kipindi kingine hadi mwaka 1995, lakini hakuendelea, badala yake Comando Salmini akachukua kati ya mwaka 1990 hadi 2000; ndiyo maana upishanaji wa kiti cha rais baina Zanzimbar na muungano kuna tofauti ya miaka mitano.

Shall be eligible doesn’t mean shall be reappointed.

Sijui tatizo ni lugha..????
 
Kimombo na pia kusoma na kuelewa kiswahili, inawapiga watu wengi. Kimombo ndio kabisaaaa.. umetia aibu.
 
Ati JF kuna wasomi wakati neno shall be eligible hawawezi kulitafsiri kisheria. Katiba ingesema must be eligible ingekuwa biashara nyingine.

Sasa hapo umeandika nini kuleta utofauti? !!!!!!
 
Back
Top Bottom