Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

"Ashurutishwe".... Mkiambiwa hatuna utawala wa sheria ni udikteta tu mnakunja uso. Ona sasa watu walivyolewa madaraka. Very foolish indeed.
Wapi nimekunja uso kwa kuambiwa hatuna utawalanwa sheria?

Unaweza kunipa nukuu yangu moja kuhusu hilo tuijadili?
 
Ulipewa muda wa kuijadili katiba mkakimbia bungeni baada ya kula pesa za vikao,mkamtukana kikwete kwa kuharibu nchi leo mnaomba katiba hivi vichwani mwenu unafugia nzi

Bora kufa kuliko kuwa mtu wa ukawa ,kila jambo kwenu baya

Mlitaka vita dhidi ya rushwa na uzembe inapiganwa mnataka isiwepo tena

Hovyo sana nyie

State agent
 
Kuna vipengele vipya vinajadiliwa vinasema kumuondoa baada ya miaka mitano kufuate process kama ya impeachment.

Inaonekana Magufuli hajaifuata process hiyo, na hapo ndipo anaweza kuwa kavunja katiba.

Profesa Shivji katweet kuhusu hii process.

Maandiko yangu ya awali hayakuwa informed kuhusu hiki kipengele.

Thanks @MissileofTheNation
Duh! afadhali umeliona. maana kubishana na wewe inataka nguvu kama za katapila 😂 😂
 
Umefafanua vizuri kabisa mkuu.Pia pale panapotokea mkanganyiko wa kisheria kati ya Katiba na Sheria,inafuatwa Katiba.
Hapa suala la terms za five years linaleta mkanganyiko,sijui walipotunga hii kitu waliwaza nini.
Katiba inazungumzia umri tu,lakini Sheria inazungumzia options zaidi ya umri,ikiwemo Terms,kitu kinacholeta ukakasi huu pale term inapoisha kabla ya umri.Katiba imeruhusu Sheria kubadili umri,na sheria ikatamka miaka 65 badala ya 60,so hii haina shida.Hili la miaka 5 ndio shida,linajichanganya na Katiba.Hapa ilitakiwa Katiba ifuatwe,kwa maslahi mapana ya Taifa letu,na kuweka good precedence kwa baadae.
Tusisahau kwanini Katiba iliweka vipengele hivi kumlinda CAG.Tujiulize wazee waliona nini,na leo kunatokea nini!
 
Alisema lakini mkamtishia kumfanyizia unyama ikiwemo Ndungai kumtishia akaamua kunyamaza lakini tr 1.5 imepigwa na utawala huu unaojiita wa kizalendo
Page number ngapi ktk report ya CAG kahoji 1.5T ?
 
Inawezekana kabisa Magufuli akawa kaweka CAG mpya ili wapate kupiga pesa kwenye miradi, au kutumia pesa bila kuingikiwa na CAG.

Hakuna popote nilipopinga hilo. Kwa kweli nimeeleza hapo juu kwamba CAG kukatazwa kukagua vitabu vya ATCL ni jambo la aibu na fedheha.

Halafu hapo hapo, hayo yote hayafanyi kuondolewa kwa CAG Assad kukawa kumefanywa kwa kuvunja katiba.

Sijasema kwamba Magufuli kamuondoa Assad kwa nia nzuri. In fact ukinisoma hapo juu ninesema Assad ameondoleea kwa sababu ya msimamo wake.

Lakini hilo halimaanishi kuondolewa kwa Assad ni kuvunja katiba.

Tujadili mambo kwa kina bila mihemuko.

Mtu akisema "Magufuli hajavunja katiba kumuondoa Assad" haimaanishi amesema "Magufuli kamuondoa Assad kwa nia nzuri na Magufuli hana mawaa yoyote kwenye miradi mikubwa".

Jua kusoma kwa ufahamu.

Jua kusoma kwa mantiki.

Jua kwamba rais mwenye nia mbaya anaweza kumuondoa CAG bila kuvunja katiba, na mtu akisema rais kamuondoa CAG bila kuvunja katiba, hilo halina maana kwamba rais amemuindoa CAG kwa nia nzuri.

You sound like you have an overly presumptive one track mind.
Sijui kwa nini watu wanashindwa kukuelewa mkuu. Lugha nyepesi, maelezo mazuri na ya kueleweka.
 
I can understand the way you feel but if you don't mind, please allow me to ignore you, once and for all!
and may god forgive me, he /she will never understand you. He/she seem to be too emotional.
 
Nimeshakujibu Raisi Hana mandate ya kumteua mtu for less than 5 years kwenye U CAG .Professor Assad kabakiza miaka miwili ya kufikia 60 ya kikatiba .Asingeweza kupewa 5 years huyo .Rais angekuwa kavunja katiba.Lakini professor Assad angekuwa na miaka 55 Raisi angeweza kumpa akafikia 60.Na akifikia 60 angeweza akitaka kumpa mingine Mitano afikishe 65 ya kuidhinishwa na ubunge .

Tatizo umri wa Assad umekaa vibaya hauingii vizuri kwenye katiba umekaa kishirikina
Nimecheka kwa sauti pamoja nipo hospital nasubiria mjibu eti umri umekaa kishirikina.
 
Shall be eligible maana yake ni kwamba, kwanza kabisa neno "shall" ni neno linaloonesha ulazima, kwamba jambo hili halina mjadala, si ombi, ni amri.

Kwa hiyo kwanza kabisa sentensi inaanza na jambo la ulazima.

Eligible maana yake ni mtu mwenye sifa za kuweza kufanya kitu, kupata kazi fulani etc.

Kwa mfano. All MPs are eligible for cabinet positions. Being an MP is a prerequisite to being a cabinet minister. But not all MPs are cabinet ministers.

Eligibility carries potential.

All Tanzanians of majority age and good mental capacities, are eligible to vote, but that does not mean all these Tanzanians do vote.

Assad was eligible to be re-appointed.

But that does not mean it was a must for him to be re-appointed.

Magufuli is eligible to be president for a second term. But that does not mean he must bepresident for a second term.

Kuna tofauti kati ya "shall be eligible for renewal" na " shall be renewed".

This is a Technical Knock Out.

Zaidi, shall be eligible for renewal for one term only maana yake mwisho wa renewal ni term ya miaka mitano. Kwa maana ya jwamba baada ya miaka 10, anaondolewa hawezi kuwa renewed kwa mara ya pili.

Sasa, katiba ikimwambia rais kwamba huyu hatakiwi kuwa renewed zaidi ya mara moja, hilo halina maana ni lazima awe renewed.

Magufuli simpendi kwa mengi. Lakini hapa hakwenda kinyume na katiba.
Kama hatakuwa eligible then kuna procedure zinazotakiwa kuchukuliwa, sio kumuondoa tu
 
Kama hatakuwa eligible then kuna procedure zinazotakiwa kuchukuliwa, sio kumuondoa tu
Nimeshajadili yote hayo hapo juu.

Magufuli amevunja katiba kwa kutofuatisha mchakato huu.
 
Katiba na sheria naona zimevunjwa na kusiginwa Kabisaaaaaaa openly bipolar disorder ugonjwa mbaya sana.
 
Paskali huyu Mussa Assad hajastaafu bali amemaliza mkataba wake wa Miaka mitano!!! Akipenda anaweza kurudi UDSM akafundishe ndio astaafie huko!!
Kasome Katiba ya Tanzania Ibara ya 144(6);
CAG akiachishwa/kuondolewa kwenye nafasi yake haruhusiwi kufanya kazi nyingine yoyote serikalini.
 
Mtazunguuka, mtalalamika, mtasononeka na kulaumu sana; lakini bado ukweli unabaki palepale kwamba katiba imeruhusu jambo lifanyike au lisifanyike. Mfano kwa nini katiba isiseme CAG akiteuliwa abaki madarakani kwa vipindi vya miaka kumi hata kama umri wake ni miaka 90?

Kwa nini kuwe na lugha za kuzunguka zunguka? Shall, elidible nk?
Kwa maoni yangu naona JPM yupo sahihi kuteua yeyote anayemtaka kwa sababu katiba haijamzuia.
Tena ingekuwa mimi ndio simple ningemteua Jessica kuwa siejii.
Kwa mtizamo wako binafsi lakini kwa mtizamo wa wengi katiba imekiukwa sana endeleeni kuisigina katiba lakini siku magufuli akistaafu wate watakaolindwa na CAG watashitakiwa ingawa magufuli yeye binafsi atakuwa na kinga zake
 
Back
Top Bottom