Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
CAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa wakati mkataba wa kazi ni miaka mitano
Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG,professor Asad aache uswahili
Tumheshimu Rais wa Nchi anafanya kazi kubwa
Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG,professor Asad aache uswahili
Tumheshimu Rais wa Nchi anafanya kazi kubwa