The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
You know how it turned to be personal here?! If you don't, then let me remind you!!
I asked more than once to provide a reference to support your argument, but you didn't, and instead, you relied on your PERSONAL understanding of English "vocabularies"!
I like this!
That's where a lot of people miss the point!
You can't directly say "SHALL BE RENEWED" as an alternative means to discredit SHALL BE ELIGIBLE FOR RENEWAL because there's age barrier for the post of CAG which's 65 years.
That being said, the correct phrase is shall be eligible for renewal provided there's no any barrier either, as per our constitution, Public Audit Act 2008, or any of our written law.
And the only barrier that needs no additional processing is age, and all other possible barriers shall be handled as per Article 144(3) of our Constitution because that will be a CAG REMOVAL from the office.
Mie nafikiri msingi wa hoja inabidi ujikite kwenye ubovu wa katiba lakini sio kutafsiri shall. Haijalishi ni kisheria au la, ikiwa inavunja misingi ya lugha husika kiasi hicho itakua tunapoteza muda sana kujifunza lugha za watu.
Tufanye shall inamaanisha ulazima wa kuteuliwa kipindi cha pili. Inamaana CAG anaeteuliwa lazima ihakikishwe kwamba umri wake wa kustaafu utafikia baada ya mihula miwili ya miaka mitano mitano.
Akistaafu ndani ya muhula mmoja si ile shall inakosa nguvu?
Na anatakiwa asistaafu akiwa kwenye muhula wa kwanza wa miaka mitano. Kwa sababu ni lazima atumikie mhula wa kwanza wa miaka mitano.
Hii ni kusema umri ni kigezo muhimu sana inapokuja uteuzi wa CAG.