Suala la mwanaume kuoa miaka hii ni gumu, labda mtu ujilipue tu

NAKAZIA
 
Hahahahah ndoa ni fumbo la imani.
 
Shida baadhi ya wanaume mnataka wanawake perfect wasiokosea. Swala la kujiuliza are you perfect?

Yeyote ambaye yupo kwenye ndoa anajua kuna siku vurumai inaweza tokea ndani na mkanuniana kutwa nzima na maisha yakaendelea. Hakuna mkamilifu kwenye maisha ya ndoa muhimu ni kuyajua mapungufu ya mwenzio na kuyaishi.

Lakini sio kutwa kunyooshea wanawake vidole kua sisi tu ndio wenye shida kwenye ndoa.
 
Sijazungumzia kupata mtu perfect kwasababu hayupo, ila kwa mfano wewe ni mwanaume, ukikutana na mdada mwenye tabia nlizoorodhesha kwenye huu uzi wangu, tena mwanzoni mwa mahusiano kwenye kufahamiana, utakomaa nae tu Mrs Van
 
Sawa mkuu nimekuelewa, lakini je, ni kweli unachosema kwamba mtu asipooa/kuolewa anadharaulika....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…