Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wapi upo mkuu nilipo sukari tunanunua 3,500/=?nimenunua sukar 2800 per kg
Tanga dear
yapHiyo itakuwa super market
Sehemu gani madam kesho niifuate!Nimenunua sukari 2800 per kg
Ni ngumu na haitekelezeki kwa kuwa wauzaji wa Jumla wanauza zaidi ya bei elekezi ya serikali, sasa mfanyabiashara gani kichaa anunue sukari ambayo atakuja kuiuza kwa bei ya hasara, walichofanya wafanyabiashara ni kuacha kununua mzigo mpya na wale wachache walio nao bado wanauza kwa bei ambayo itawapa faida ambayo ni tofauti na ile bei elekezi ya SerikaliNi takribani wiki sasa tangu bei elekezi ya sukari kuwekwa hadharani na serikali kupitia waziri mwenye dhamana.
Mimi nimemuuliza leo wife kwa Dada Rose(Mchaga) sukari kanunua kwa bei elekezi ya 2600 TSH, kasema hapana.
Je, huko mliko bei elekezi inazingatiwa?
Kama haizingatiwi je, serikali imeshindwa kusimamia hili?
Au serikali ilitoa bei elekezi bila kuzingatia mambo muhimu kama upatikanaji na uzalishaji?
Una vituko wewe!!!Mimi nimewahi kununua kwa hiyo bei elekezi lakini sio mwaka huu
Huku kwetu, walipotangaza tu bei elekezi, wauzaji wakashusha bei ghafla. Agizo linatekeleza bila shurutiNi takribani wiki sasa tangu bei elekezi ya sukari kuwekwa hadharani na serikali kupitia waziri mwenye dhamana.
Mimi nimemuuliza leo wife kwa Dada Rose (Mchaga) sukari kanunua kwa bei elekezi ya 2600 TSH, kasema hapana.
Je, huko mliko bei elekezi inazingatiwa?
Kama haizingatiwi je, serikali imeshindwa kusimamia hili?
Au serikali ilitoa bei elekezi bila kuzingatia mambo muhimu kama upatikanaji na uzalishaji?
Kwahiyo mnatumia asali auCHALINZE IMEKUWA ADIMU.
Sent using LEAGOO M12
Kwahiyo mnatumia asali au