Sukuma liwe kabila tambulishi la mtanzania

Kiufupi ni watu poa sana, nimeishi nao sana hawana fujo mpaka umchokoze
Kuna jamaa mmoja ana duka la vipodozi huwa anawauzia airfresh km mbadala wa spray na wanazipenda sababu ni makubwa[emoji23] akili zao wanazijua wenyewe hao watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Thòleo Mayo...Naghene sana...
Tukwibhona....

Cc Shimba ya Buyenze
 
Huwajui Wasukuma wewe! Hujawahi kukutana nao katikati ya Kariakoo wanapiga Kisukuma?
 
8.MAJI
Jamani bunge la bujeti mwaka hii lielekeze fedha za kutosha kwenye wizara ya maji ndugu zetu wapate maji safi na Salam,kweli huku Kuna maji hayana tofauti na chai ya maziwa.
Uko Kishapu nini? Nitafute hapa Shinyanga wakati unarudi!😁😁😁
 
Kw hiyo unapima matukio kwenye mwdia houses?
Geita wala hupajui na nikwambie hakuna sehemu tamu ya kuishi kama ile hata Mwanza haifui dafu (sina maana ya uzuri wa mazingira)
 
Yaani mi mtu akinipa offer anigeuze niwe msukuma then anipe million 50, siwezi kukubali nitakataa......... Badala yake ntamwomba anigeuze niwe andazi alafu nimpe yeye million 50 ili awe na million 100 kabisa
 
Ukienda Umasaini usisahau pia kutuandikia kauzi kama haka...

Tambua tu kwamba kuna mtu na kuna m'maasai...
 
Ushagoo yoyote ukienda ambayo watu wanaongea lugha zao, ikitokea tu ukaongea Kiswahili tarajia yafuatayo...

1. Utaonekana una dharau
2. Utauziwa bidhaa bei juu
n.k
walinichukulia hivyo. Huo ni ubinafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…