mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,151
Hivi hata ukiacha hilo la Tembo inakuwaje katibu mkuu wa ccm amiliki mameli ya kibiashara? Hii haileticmgongano wa kimaslahi! Si atapendelewa katika kupewa tenda na mambo ya kodi? Yaani huko ccm kila mtu anapewa sehemu ya kufanyia ulaji! Msekwa maye alipewa uenyekiti wa bodi ya Tanapa. Unashangaa twiga kupanda ndege? Mkapa kajiuzia kiwira! Pathetic!