Swali chokonozi: Nikiomba file la matibabu ya hayati Magufuli naweza kupewa?

Swali chokonozi: Nikiomba file la matibabu ya hayati Magufuli naweza kupewa?

Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.

lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!
Watu wajinga sana.kazi ya mungu siku zote haina MAKOSA. Kwann hamtaki kukubali ufundi wa mungu kwenye hili?
Kuna viongozi wangapi wamekufa hamjaleta nongwa namna hii????
Sokoine, nyerere nk.
Tena nyerere alienda wingerrza akiwa anatembea mwenyewe?
Kwann mnaamini kwamba yule MAGUFULI haikuwa kifo cha kawaida kama walivyokufa Bibi na babu zenu????
 
Unamuongelea DPP ambaye ameundwa na Sheria nyingine ya Public Prosecution Act na uteuzi wake na limits zake

Japo unaongelea kitu kinaitwa "public interest" ambayo hata kesi ya kikatiba ambayo marehemu Mtikila alifungua kupata right interpretation ya public interest ambapo Mahakama ukishindwa kudefine "what is public interest" .

Hapo unarudi kwenye Sheria za usalama wa Taifa watasema wao kwao kutofanya Inquest ni for the called "public interest"kulingana na mazingira niliyoyataja. That's why nimesema unaposoma Sheria moja usome na nyingine.

DPP hata akiombwa kufanya Inquest ya kifo Cha Rais sio Jambo la Leo maana inahitajika exhumation tufukue kaburi tuanze inquest Sasa unajiuliza mtu mmoja ndio public interest? Na huo ulazima wa kufukua kaburi unatoka wapi je what are we trying to achieve???

Yani sababu Kuna watu wawili au kumi ndio wanajiita public??? Really??? Na je kifo chake mbona serikali ilipata taarifa kutoka kwa daktari wake mwenyewe ambaye alikuwa anamtibu? Huo wasiwasi unautoa wapi? Yani kwa nini huyo mtu mmoja alete hii vurugu ambapo tulimzika kwa parade nzima na Katiba plus taratibu za mazishi zilishafanyika why iwe leo na asingeitisha kabla ya kuzika??? Anatafuta nini? Naomba uangalie haya maswali yangu Kama wewe ndio huyo DPP basi.

Kuna kitu tutauliza kwamba je una locus standi? Unaitoa wapi?

Anyway it's more technical than you think lakini one may pursue for academic purposes and setting a record kwamba aliwahi kufungua kesi Mahakamani ya namna hiyo but it is nonsense time consuming for nothing rather a "public nuisance" unarudi kulekule tu🤷
Hii ndo JF sasa
Asante
 
Ukishalipata utamrejesha hai?

Kwa nini hujaanza na la Mkapa?

Ni wapi uliyaona haya unayowazia.

Maisha yanaendelea na wapigaji wanaenjoy pindukia!!
Watu walianza kupiga baba..wakamalizia na mtoto. Game over. Wamemaliza kazi wanakula bata tu. Muda wote wana smile...

NB: JOGOO LA SHAMBA HALIWIKI MJINI!
 
Unapaswa kufahamu kwamba Inquest hufanyika Kama mazingira ya kifo cha mtu hayana maelezo ya daktari.

Mie najua maana ndio kazi zetu kusoma hizo kitu na kusimamia Inquest na mambo ya exhumation pamoja na postmortem.

Inquest ya Rais unaifanyaje? Report imeshatolewa na daktari wake hapo kwenye Sheria utaomba exhumation kwa kifungu kipi hapo labda wewe unajua zaidi🤷

Purpose ya Inquest ni nini??? Mazingira gani? Sio tu sababu mtu anajisikia anaamua kufanya Inquest. Halafu kuna mambo ya public tranquility soma pia humo.

Kama wewe ni mwanasheria kumbuka haya maneno kwenye statutory interpretation mie nilisoma mwaka 2001 wakati nipo chuo kikuu kwamba when interpreting laws you should always read in tandem with other laws.

Ina maana bado kuna Sheria na kanuni za usalama unapaswa uzisome pia maana bunge lilipitisha likiwa na maana yake.

Let's say unaamua kufanya Inquest ambayo pia mtu binafsi huwezi maana kuna vyombo vimeundwa kufanya hivyo, ukiamua ya Magufuli kumfanyia exhumation basi mwingine ataomba ya Nyerere, mwingine Mkapa, mwingine Kolimba, mwingine Kambona sijui unaona hapo kwenye section 4/5 unaongelea pia public tranquility inapokuja???

Anyway labda unieleze wewe ni mwanasheria ili tuanzie hapo naweza kuwa naingia deep zaidi ya uwezo wako.
Utamuua huyu.. hajui hata unaongelea nini
 
''lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!''
Mkuu tambua kifo kwa mwanadamu ni lazima, no matter ni rais,mjumbe wa nyumba 10 au mwananchi wa kawaida.
Utadraw conclusion ya nini? Na kama kudraw your conclusion chukua sampuli nyingine kibao tu ambazo zinafanana na watu kama Mwendazake.

Nakushauri ufanye research yenye tija kwa walio hai mzee baba.
 
Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.

lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!
Moja, unadhani utakuta nini humo cha ajabu zaidi ya habari hizo hizo ziliwekwa mainstream ?

Pili unadhani hata ukiomba tu file la mtu baki pale jirani yako aliyefariki utapewa ?..., Yaani upewe wewe kama nani ?
 
Sio Rais ni marehemu sasa hiyo public property haipo tena.

Mtu kama yule alikuwa na ma jammers,madege Angani,majeshi ya ndani na Nchi jirani na maombi na pambio.

Nani wa kumsogelea kiongozi wa malaika ? [emoji16][emoji16][emoji16]
public property haipo! hebu nenda kwenye kaburi lake ukachukue tu hata shada moja la ua uone utakapoishia.
hata kama amekufa atabaki kuwa na cheo hichotu milele ndiyo maana pale panalindwa mpaka kesho.
 
Kuna mwanamke .mke wa Rais Yasser Arafat alipambana na vikwazo vyote mlivyotaja hapo juu lakini haku give up na alifanikiwa kuweka public mazingira ya kifo cha mmewe Yassir Arafat .hakuna lisilowezekana ila si culture ya mswahili kutokugive up
Hilo limewezekana kwenye nchi ambayo haina mwenyewe
Nchi hii ina wenyewe ukianzisha tu watu tayari wameshakuzunguka
 
Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.

lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!
Ukiingia google utakuta picha za post mortem ya kennedy,mwili ukiwa umelazwa kwenye slub ya mortuary na pathologist wakiuchunguza.
Kwetu Tanzania jambo hilo la kuweka details za kifo cha Rais si utamaduni wetu.
Jambo la pili ni shauku wanayokuwa nayo watu wengi ambao sio madaktari "amekufa na ugonjwa gani?';Kwani ilikuwaje?
Ukiwa kila siku unashughulika na mambo ya kutibu na ku certify death haya sio mambo ya kutamani.After he is dead!
 
public property haipo! hebu nenda kwenye kaburi lake ukachukue tu hata shada moja la ua uone utakapoishia.
hata kama amekufa atabaki kuwa na cheo hichotu milele ndiyo maana pale panalindwa mpaka kesho.
Nichukue shada kwenye kaburi la mwehu nipeleke wapi? Si itakuwa uchuro Kwa familia yangu?
 
Ipitie hiyo sheria kwanza.

Vile vile tume maalum inaweza kuundwa kuchunguza kifo chake.


Mr stroke nashukuru kwa attachment yako

nimejifunza kitu mhimu sana

1.kwanza file siwezi pewa mpaka Rais au DPP aridhie.hii ni shida sasa

2.Lakini pia kuna cha kujifunza kwenye hiyo ripoti juu ya kifo cha rais wa Malawi
a/communication with his personal physician was no good.eidha,physician yule hakuambiwa kuwa Rais au mteja wake amepata tatizo la kiafya ?
yani physician mzima anaenda ku attend emergency bila emergency kit ? very interesting ""


kuna mambo mengine mengi natamani kukuambia kuhusu ripoti hiyo hapo juu ,lakini nayaacha kwa usalama wangu na Taifa langu .maybe ukinipa email address yako nikutumiage .


ambacho naweza kurecommend kwa ikulu za nchi za AFRICA kutokana na nilichojifunza kupitia ripoti ni kuwa :

1.IKULU ziwe na vifaa vya emergency including Vifaa vya intubation,mitungi ya oxgen,defibrillator machine etc.
2.Physician wa ikulu aishi ikulu lakii pia ikitokea tatizo awe tiari kuulizwa na public na siyo mpaka rais atoe kibali cha kuulizwa.daktari WA RAIS ni binadamu hivyo anaweza kokosea kama wengine.


Kwa hayo machache ,naomba tufunge mjadara
 
Mr stroke nashukuru kwa attachment yako

nimejifunza kitu mhimu sana

1.kwanza file siwezi pewa mpaka Rais au DPP aridhie.hii ni shida sasa

2.Lakini pia kuna cha kujifunza kwenye hiyo ripoti juu ya kifo cha rais wa Malawi
a/communication with his personal physician was no good.eidha,physician yule hakuambiwa kuwa Rais au mteja wake amepata tatizo la kiafya ?
yani physician mzima anaenda ku attend emergency bila emergency kit ? very interesting ""


kuna mambo mengine mengi natamani kukuambia kuhusu ripoti hiyo hapo juu ,lakini nayaacha kwa usalama wangu na Taifa langu .maybe ukinipa email address yako nikutumiage .


ambacho naweza kurecommend kwa ikulu za nchi za AFRICA kutokana na nilichojifunza kupitia ripoti ni kuwa :

1.IKULU ziwe na vifaa vya emergency including Vifaa vya intubation,mitungi ya oxgen,defibrillator machine etc.
2.Physician wa ikulu aishi ikulu lakii pia ikitokea tatizo awe tiari kuulizwa na public na siyo mpaka rais atoe kibali cha kuulizwa.daktari WA RAIS ni binadamu hivyo anaweza kokosea kama wengine.


Kwa hayo machache ,naomba tufunge mjadara
Mjadala umefungwa na moderators wawe informed kuufunga.
 
Kama kila nafsi itaonja mauti sasa unajaribu kuprevent nini tena....
 
Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.

lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion

Research question: Could this death be prevented?

Remember: Prevention is better than treatment!!
Why mkuu,Kuna sheria inazuia hii,ugonjwa wa mgonjwa ni siri yake na Doctor wake!
 
Tutafute kontena la kuhifadhia hayo ma files

Mwingine ataomba la Hayati Dr Omar Ally Juma

Mwingine ataomba la Mzee Nyerere aliesafiri akiwa nadhifu na kaunda suti yake ya rangi ya kijivu, kiatu cha rangi ya ugoro na mawani yake meusi huku mfuko wa shati mkono wa shoto kaweka kasha la kuhifadhia mawani akarudishwa kwny sanduku

Mwingine ataomba la Hayati Horaca Kolimba

Mwingine ataomba postpoterm report ya Chacha Wangwe, mwingine ataomba ya Hayati Sokoine iliyosemwa alikutwa na Jeraha la risasi

Mwingine ataomba file la Maalim Seif mwingine ataomba la Kijazi

Hapo bado Kangomba hawajaomba la Che Nkapa

Wengine wataomba uchunguzi wa ajali ya Salome Mbatia

Tutosheke tuseme Alhamdulillah na tusonge mbele
Mwalimu seif iko wazi kabisa kuwa alipigwa na kitu kizito
 
Back
Top Bottom