Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Mawazo ya kijinga sana haya..

Mbona jpm alikuwa anaombewa na wote, hata waislamu na hukulalama?!!!
 
Mawazo ya kijinga sana haya..

Mbona jpm alikuwa anaombewa na wote, hata waislamu na hukulalama?!!!
Kuna mawili.

1. Nilihoji uhalali wa Rais JPM kuimba MUNGU HOYEE jukwaani na kupinga tabia yake ya kuwahimiza watanzania WAMWOMBEE katika nafasi yake kama Rais wa nchi. Pekua mabandiko yangu. Kama hutaona niambie nikuonyeshe.

2. Hata kama ningekuwa sijakosoa jambo hili wakati wa JPM hiyo sio sababu ya kutokosoa jambo hilo leo.

Kwa hiyo, madai yako kwamba bandiko langu ni la kijinga yanakufa kwa sababu hizi mbili. Jielekeze kwenye hoja.
 
Mama Amon,
Unapenda kuandika gazeti kwa mambo ya kijinga wakati mwingine! Kama ungetaka kumjadili Mungu, ungetuwekea hapa reference kutoka kwenye vitabu vya dini kujenga hoja zako! Kwa taarifa yako hao wote wanamwomba na kumwabudu Mungu mmoja kwa njia mbalimabali!
 
.....nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoliki.....
Nenda katafute kwenye dictionary neno ‘catholic’, alafu utajua kuna dini ya Roma unayo amini na kanisa moja takatifu katoliki, ambavyo ni vitu viwili tofauti!
 
Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.

Ndiyo maana Mungu sasa amewaumbua eti Mbowe kafadhili ugaidi kwa sh laki 6 eti. Halafu eti kashiriki njama za ugaidi dhidi ya gaidi halisi Sabaya.
Sukuma gang limekwama kabisa pamoja na mdau wao (SASHA) waliyemkabidhi ofisi awatunzie hadi 2025!
 
Wewe UTAKUWA UMEJAZA "Mboji" Kichwani,....🤣🤣🤣😃😃😃
 
Nyie mnaojifanyaga kumtetea allah na kumjibia maombi au kupinga, mnataka(ga) kutuonesha kwamba allah hawezi kuchambua maombi mwenyewe?!
Wewe nawe ulikuwa unakunya kwenye kichaka umekurupushwa huko huku suruali ikiwa magotini makalio wazi ukatoka spidi huku unasoma na kureply.Wapi nimemtetea allah.
 
Unachotakiwa kutii ni kumwombea adui kama ilivyoandikwa swali ni uombe nini ndio changamoto.
 
Ukatoliki,Urutheri Uislam nk.ni matawi tu ya mti mmoja(MUNGU).Hakika kila aombaye kwa imani yake Mungu humsikiliza. Msichanganye imani na dini
 
Unashida moja ndogo sana nayo Ni kutokumjua MUNGU.MUNGU angalii matoleo yako na maombi ya kile unachotaka linapokuja swala la kuhukumu. Siyo ccm Hata Dunia nzima iseme Mbowe ni GAIDI atakachokiangalia MUNGU ni kile kilicho HAKI TU. je Mbowe kweli gaidi? Na akiwa siyo gaidi Kama mnavyosema MUNGU atasimama upande wa Mbowe. Na Kama Ni gaidi kweli MUNGU atasimama upande waliosema Mbowe gaidi. Ndiyo maana MUNGU anasema. KWA HAKI NITAHUKUMU MATAIFA. si kwa kelele za ccm Wala chadema wala mahakama. Sababu mahakama inaweza kukuachia na bado kwa MUNGU ukawa na makosa. Au ikakufunga na kwa MUNGU ukawa hauna makosa.
 

Kilicho kutuma uandike hiki ulichoandika ni bangi? Au ni kichwani umebeba matope badala ya ubongo wenye akili.
 
Nakataa.
Sababu inayotufanya kuona tofauti kati ya kondoo na mbuzi ndio hiyo inanifanya kuona tofauti kati ya Mungu wa Wakatoliki na Mungu wa KKKT.

The necessary and sufficient definition of a Catholic God is not synonymous with a necessary and sufficient definition of the Lutheran God.

Period.
 
Back to the basics: Unamwongelea Mungu yupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…