Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Katika uharisia wa kiimani hakuna kitu miungu vitu hivyo ni dhana isiyo na ukweli ni hiyo inayoitwa miingu kazi za mikono ya mwanadamu (sanamu) Kisha kuiabudu ndiyo maana MUNGU aliita miungu ya uongo
Na maana ya uongo ni kua Jambo kitu tukio likiitwa la uongo maana yake si kweli halipo hakipo
MUNGU alitutaka tutende matendo ya huruma (ibada) kuwaendea wahitaji wenye njaa wenye shida ya mavazi na hata wahalifu(kifungoni)
Hebu soma bibilia enjili ya mathayo 25;35-40
ubarikiwe sana
 
Duh mimi unaniwekea hizo quotes wakati sio mkristu hata siziamini.
 
Mama Amon huwa upo smart sana naamini hivyo. Ila nadhani labda akili zimekuzidi mpaka sasa umeanza kuwa chizi kwakweli.

Umetumia nguvu sana kuelezea ujinga kwa njia ya kitaalam. Pole kwa kuandika pumba in a technical way.
Hata Galileo Galilei aliambiwa hivo hivyo, lakini hatimaye ukweli wenye msingi wake katika validity ulishinda swaga zenye msingi wake katika plausibility!
 
Asante mtumishi, Mama D!
 
Hivi mungu wa kwako wewe ni yupi?
 
Hivi mungu wa kwako wewe ni yupi?
 
Hivi mungu wa kwako wewe ni yupi?

Catholic definition of God

The one absolutely and infinitely perfect spirit who is the Creator of all.

In the definition of the First Vatican Council, fifteen internal attributes of God are affirmed, besides his role as Creator of the universe:

"The holy, Catholic, apostolic Roman Church believes and professes that there is one true, living God, the Creator and Lord of heaven and earth. He is almighty, eternal, beyond measure, incomprehensible, and infinite in intellect, will and in every perfection. Since He is one unique spiritual substance, entirely simple and unchangeable, He must be declared really and essentially distinct from the world, perfectly happy in Himself and by his very nature, and inexpressibly exalted over all things that exist or can be conceived other than Himself" (Denzinger 3001).

Reflecting on the nature of God, theology has variously identified what may be called his metaphysical essence, i.e., what is God. It is commonly said to be his self-subsistence. God is Being Itself. In God essence and existence coincide. He is the Being who cannot not exist. God alone must be. All other beings exist only because of the will of God.

NB: One more divine attribute is INCARNATION. Rarely mentioned by theologians!
 
Haka kamama kanapendaga ubishi na nadharia zake za kukwapua vitabuni halafu kanakuja kulinganisha na maswahiba yaliyowakuta watu maarufu katika jamii
 
.
Rubbish
mungu wa kweli ni yupo we kinyago
 
Reactions: BAK
Sikio haliwezi kuzidi kichwa.
Kurasa za Mama Amon sio saizi yako.
Hamia kwenye chit chat forum.
Wewe mbona wanasiasa wanaombewa kwenye misikiti na makanisasisi kanisani kwetu huwa tunamwombea Raisi ingawa siyo mkiristu
 
Sikio haliwezi kuzidi kichwa.
Kurasa za Mama Amon sio saizi yako.
Hamia kwenye chit chat forum.
Mama amon unaleta porojo tu humu
.Na ujinga mwingi, kuwadanganya maccm wenzio,

Historia inaonyesha kesi nyingi za ugaidi dhidi ya wapinzani wa serekali ni za kubambika tu,

Lwakatare aliyekuwa mkurugenzi wa ulinzi wa chadema alifunguliwa kesi ya ugaidi halimaye alishinda

Mashehe wa uamsho walisingiziwa ugaidi wako huru

Sasa we kwa akili Yako finyu utuambie ni mungu yupi wa kweli, je ni wa wale ambayo nikawaida yao kushitaki uongo au wanaoshitakiwa kwa uongo.

We mama amon mbona unjiita mkiristu alafu kila siku unashinda kwa waganga unautoa sandaka Ili uombewe kwa mizimu

Unashangaa nini mbowe kuombewa na wakatoliki
 
πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ‘πŸ½
Huyo mama amon kavurugwa tu huenda yuko menopause
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…