Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kwa hiyo, leo Mungu anaweza kuamua kwamba kuiba sio kosa la kimaadili na ikawa hivyo? Never! Bado wewe ni mtumwa wa divine command theory wakati tayari imetupwa kapuni miaka mingi iliyopita. Unakurupuka sana wewe shogist!
NIMEKUAMBIA
Zaburi 89:34
"Mimi sitalihalifu agano langu,
Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu."

Mungu kupitia amri zake alisha sema USIIBE, na hapo juu Amesema HATOBADILI NENO lake, Hivyo hawezi libadili.. KUMBE HATA KUELEWA NI SHIDA? "Mtindio wa Ubongo"

Hivyo pia Mungu hawezi leo akasema tumia kingamimba, afu kesho aje aseme usitumie kingamimba never... WANAOWEZA KUSEMA HAYO NI WANADAMU.

Mungu HABADILIKI, HAGAWANYIKI.. Huo utofauti kati ya dini na dini SIO UTOFAUTI WA MUNGU (MUNGU NI MMOJA TU) Hizo tofauti ni "perception" za WALE ULIO WAITA VIONGOZI WA ROHO YAKO.
 
NINACHOKUPENDA mama amon kila ukiwa na "hamu" unakuja, "nikikugonga" vizuri unaenda kupunga upepo na kujisafisha kisha unarudi wa mpya, mwenye nguvu..

Karibu tena.
 
Mungu HABADILIKI, HAGAWANYIKI.. Huo utofauti kati ya dini na dini SIO UTOFAUTI WA MUNGU (MUNGU NI MMOJA TU) Hizo tofauti ni "perception" za WALE ULIO WAITA VIONGOZI WA ROHO YAKO.
Weka ushahidi mezani kuthibitisha tamko lako kwamba "MUNGU NI MMOJA TU"
HIli ni hitimisho linalohitaji utetezi wa kiushahidi.
Mie nalipinga hitimisho hili kwa hoja inayoanzia kwenye FUNDAMENTAL PRINCIPLE OF NECESSARY AND SUFFICIENT CONDITIONS OF INDIVIDUATION
Mpaka sasa umeshindwa kubomoa hoja yangu.
Jaribu tena
 
Uko wapi, muite na huyo shoga "niwagonge wote".

Mkiamka mpate akili ya kumtafuta, kumuabudu na kumtumikia Mungu Aliye Hai.

NAWATAFUNA.
Kwa vile wewe unapenda kugonga na kuwatafuna mashoga, basi wewe ni shogist na Mungu wako ni shogist. Sasa nimeelewa kwa nini unasema una kibali cha matendo ya kishoga (sodomitical acts) kama vile uzinzi, uasherati, ulawiti, na matendo kama hayo. Huyo MUngu hakubaliki kwenye jamii zetu. Fisi mkubwa wewe!

1631181211434.png
 
NINACHOKUPENDA mama amon kila ukiwa na "hamu" unakuja, "nikikugonga" vizuri unaenda kupunga upepo na kujisafisha kisha unarudi wa mpya, mwenye nguvu..

Karibu tena.
Umesema wewe unapenda "kuwagonga" vizuri "mashoga".
Yaani wewe ni mgongatigo kama baadhi ya wazee wa kijiji cha Mpigamiti huko Lindi.
Endelea na tabia zako za kishoga. Uombe Mungu Makonda asiteuluwe kuwa RC tena...
 
Mungu ni mmoja, Anaabudiwa na Myunani, na mgalatia, na mmakonde, na mhadizabe, na Mimi pia.
Nimepinga na naendelea kuapinga kauli yako kwa hoja inayoanzia kwenye fundamental principle of individuation. Thibitisha kauli yako kwa ushahidi.
 
Hapana, sitakuwa na jawabu sahihi.
Ulipaswa kumwuliza JPM akiwa hai ili ajisemee
Jamani Mama Amon,
Ningemuuliza JPM wakati Mbowe alikuwa hajashitawa kipindi alipokuwa hai?
 
Jamani Mama Amon,
Ningemuuliza JPM wakati Mbowe alikuwa hajashitawa kipindi alipokuwa hai?
Hoja ya kutenganisha shughuli za kidini na shughuli za kiserikali imekuwepo tangu 1977 Katiba ilipotungwa. Na JPM alikuwa Rais 2015. Kwa hiyo ulikuwa na nafasi ya kuhoji kabla hajafa ukimtaka aeleze kwa nini alikuwa anatumia rasilimali za kiserikali kuendesha baadhi ya shughuli za kidini na kutumia rasilimali za kidini kuendesha serikali.
 
Kwa vile wewe unapenda kugonga shoga, basi wewe ni shogist na Mungu wako ni shogist. Sasa nimeelewa kwa nini unasema una kibali cha matendo ya kishoga (sodomitical acts) kama vile uzinzi, uasherati, ulawiti, na matendo kama hayo. Huyo MUngu hakubaliki kwenye dini zetu.
Tobaaa..
Kwani we ni mwanaume kumbe? Hivi nikisema "mama amon" yule shoga yako yuko wapi? Na nikisema "amon" yule shoga yako yuko wapi? Unapata picha gani kwa kauli hizo mbili nikizitoa kwa watu wawili wa jinsia tofauti... Yaani "mama amon/mwanamke" na "amon/mwanaume"?

Sikutegemea kama ungedhihirisha jinsia yako kiurahisi namna hii ewe "dada wa kujitakia".. BADILIKA WACHA KUTUMIA ID ZA KIKE.

Shoga yako niliyemuongelea ni huyu hapa chini...
Kuna watu wanapenda kusikia vile wanavyotaka kuvisikia tuu Mama Amon
Wanalazimisha uwezo wako wa kufikiri ufanane na wa kwao bila kujua kwamba huwezi fit kwenye ubongo wao
Au kwakua uliingia na ID yako nyingine basi UKAJISAHAU?

Mimi nimejitoa rasmi, HUKIDHI VIGEZO vya kujadiliana juu ya hoja hii.. BADILIKA KWANZA, BADILIKA mama amon "dada wa kujitolea" mbona madada wapo wengi mtaani, wewe baki na jinsia yako halisi bwana.

Mungu Akurehemu na Kwaheri.
 
Tobaaa..
Kwani we ni mwanaume kumbe? Hivi nikisema "mama amon" yule shoga yako yuko wapi? Na nikisema "amon" yule shoga yako yuko wapi? Unapata picha gani kwa kauli hizo mbili nikizitoa kwa watu wawili wa jinsia tofauti... Yaani "mama amon/mwanamke" na "amon/mwanaume"?

Sikutegemea kama ungedhihirisha jinsia yako kiurahisi namna hii ewe "dada wa kujitakia".. BADILIKA WACHA KUTUMIA ID ZA KIKE.

Shoga yako niliyemuongelea ni huyu hapa chini...

Au kwakua uliingia na ID yako nyingine basi UKAJISAHAU?

Mimi nimejitoa rasmi, HUKIDHI VIGEZO vya kujadiliana juu ya hoja hii.. BADILIKA KWANZA, BADILIKA mama amon "dada wa kujitolea" mbona madada wapo wengi mtaani, wewe baki na jinsia yako halisi bwana.

Mungu Akurehemu na Kwaheri.
Nimekuhenyesha mpaka ukamwaga mbio!
Nitazame vizuri uache kubahatisha!
Mimi hapa....

1631214058277.png

Halafu kwangu "tundu" la tigo hupati, kahemee huko kwa waimba kwaya wako unaowa-brainwash kwa swaga za "nina kibali cha kufanya uzini kinyume cha kanuni za maumbile ya kijinsia zinazotaka watu watiane kwa mtindo wa kuunganisha jenitalia kwa jenitalia na sio vinginevyo .."

Hii namba nyingine!
 
Weka ushahidi mezani kuthibitisha tamko lako kwamba "MUNGU NI MMOJA TU"
HIli ni hitimisho linalohitaji utetezi wa kiushahidi.
Mie nalipinga hitimisho hili kwa hoja inayoanzia kwenye FUNDAMENTAL PRINCIPLE OF NECESSARY AND SUFFICIENT CONDITIONS OF INDIVIDUATION
Mpaka sasa umeshindwa kubomoa hoja yangu.
Jaribu tena
Jana nilikuuliza kitu hiki...

Je unataka kuzijua kanuni za kwenda mbele ya Mungu ili ajibu maombi, Ulisema ZITAJE (Lakini Roho wa Bwana hakunipa kibali kuzitaja ndio maana sikukujibu)

Moja ya kanuni zake ni hii..

"Anapojadiliwa/Unapo muendea Mungu, Toa/Futa kanuni zote za kibinaadamu... Kwamaana Mungu hupita fahamu zote za kibinaadamu."

Hebu fikiria, Unaweza vipi kuitumia Kanuni ya mwanadamu ambayo hakupewa na Mungu kumuendea Mungu? Wewe unadhani Mungu ni babu yako anayevaa "msuli" huku akisubiri machungwa yadondoke ale? HAPANA... MUNGU NI MTAKATIFU SANA, YANI ZAIDI YA UTAKATIFU UNAOUJUA.. Haendewi na uchafu wako, na ndio maana kabla ya kuanza kumuomba chochote MUOMBE MSAMAHA, TUBU MADHAMBI YAKO, MUOMBE AKUTAKASE..

Wewe unaleta kanuni walizo tunga walevi wa "Russia" Mbele za Mungu Mkuu na Mtakatifu Aliye Hai? Mungu si Athumani Bwana... Hadhiakiwi, unless niambie umeamua Kumtumikia SHETANI KAMA ULIVYO AMUA WEWE NDIO UNAWEZA UKALETA HOJA ZA KIPUUZI sijui individualization sijui nini niniii.. Daah, MUNGU ATUSAMEHE.

Kwaheri.
 
Weka ushahidi mezani kuthibitisha tamko lako kwamba "MUNGU NI MMOJA TU"
HIli ni hitimisho linalohitaji utetezi wa kiushahidi.
Mie nalipinga hitimisho hili kwa hoja inayoanzia kwenye FUNDAMENTAL PRINCIPLE OF NECESSARY AND SUFFICIENT CONDITIONS OF INDIVIDUATION
Mpaka sasa umeshindwa kubomoa hoja yangu.
Jaribu tena
Sio kuwa unafeli, Wewe Umeshafeli.

Kwaheri.
 
Nimekuhenyesha mpaka ukamwaga mbio!
Bye!
Hahahahaha

"Uharo wako" shoga anienyeshe mimi Rijali?

Unadhani tunaishi kimwili kama wewe? Mambo ya Mungu tupo nayo live katika roho...

Na ndio maana kule kwingine kote nimekugonga, na hapa ninakugonga kama somalia..

ONYO... Kaa kwa kutulia, nitamwaga mchele hadharani mpaka kuku wa gisenyi wapate faida.
 
Tobaaa..
Kwani we ni mwanaume kumbe? Hivi nikisema "mama amon" yule shoga yako yuko wapi? Na nikisema "amon" yule shoga yako yuko wapi? Unapata picha gani kwa kauli hizo mbili nikizitoa kwa watu wawili wa jinsia tofauti... Yaani "mama amon/mwanamke" na "amon/mwanaume"?

Sikutegemea kama ungedhihirisha jinsia yako kiurahisi namna hii ewe "dada wa kujitakia".. BADILIKA WACHA KUTUMIA ID ZA KIKE.

Shoga yako niliyemuongelea ni huyu hapa chini...

Au kwakua uliingia na ID yako nyingine basi UKAJISAHAU?

Mimi nimejitoa rasmi, HUKIDHI VIGEZO vya kujadiliana juu ya hoja hii.. BADILIKA KWANZA, BADILIKA mama amon "dada wa kujitolea" mbona madada wapo wengi mtaani, wewe baki na jinsia yako halisi bwana.

Mungu Akurehemu na Kwaheri.

Tunakuchanganya eeeh!???

Nimekuhenyesha mpaka ukamwaga mbio!
Bye!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahahaha

"Uharo wako" shoga anienyeshe mimi Rijali?

Unadhani tunaishi kimwili kama wewe? Mambo ya Mungu tupo nayo live katika roho...

Na ndio maana kule kwingine kote nimekugonga, na hapa ninakugonga kama somalia..

ONYO... Kaa kwa kutulia, nitamwaga mchele hadharani mpaka kuku wa gisenyi wapate faida.

Umekiri mwenyewe kwamba una hamu ya kuwagonga kishoga na kuwatafuna kishoga Mama-Amon na rafiki yake mama D.

Kumgonga mtu kishoga ni kumlawiti au kumsaga. Kwa hiyo, ama wewe ni mlawati au msagaji.

Usagaji, ulawiti, uzinzi, uasherati, punyeto, etc ni vitendo vinavyofanana katika suala moja: none of these activities is procreatively unitive in type.

A sexual activity is procreatively unitive in type if and only if it can become procreatively unitive in token under appropriate biological circumstances.

Kwa sababu hiyo, haya yote ni matendo haramu kwa mujibu wa kanuni za maadili asilia.

Kwa hiyo, wewe, mungu wako na wafuasi wako ni watenda maovu waitwao mashogists.

Mwaka jana mgombea urais wako alithibitisha ukweli huu kwa maneno yake mwenyewe.

Tena gazeti moja likaripiti kuwa alihudhuria tafrija ya ndoa ya kishoga huko ulaya na hamjawahi kukanusha hadi leo!

Washauri wenu wa kisiasa ni watu wa hovyo sana!
 
Jana nilikuuliza kitu hiki...

Je unataka kuzijua kanuni za kwenda mbele ya Mungu ili ajibu maombi, Ulisema ZITAJE (Lakini Roho wa Bwana hakunipa kibali kuzitaja ndio maana sikukujibu)

Moja ya kanuni zake ni hii..

"Anapojadiliwa/Unapo muendea Mungu, Toa/Futa kanuni zote za kibinaadamu... Kwamaana Mungu hupita fahamu zote za kibinaadamu."

Hebu fikiria, Unaweza vipi kuitumia Kanuni ya mwanadamu ambayo hakupewa na Mungu kumuendea Mungu? Wewe unadhani Mungu ni babu yako anayevaa "msuli" huku akisubiri machungwa yadondoke ale? HAPANA... MUNGU NI MTAKATIFU SANA, YANI ZAIDI YA UTAKATIFU UNAOUJUA.. Haendewi na uchafu wako, na ndio maana kabla ya kuanza kumuomba chochote MUOMBE MSAMAHA, TUBU MADHAMBI YAKO, MUOMBE AKUTAKASE..

Wewe unaleta kanuni walizo tunga walevi wa "Russia" Mbele za Mungu Mkuu na Mtakatifu Aliye Hai? Mungu si Athumani Bwana... Hadhiakiwi, unless niambie umeamua Kumtumikia SHETANI KAMA ULIVYO AMUA WEWE NDIO UNAWEZA UKALETA HOJA ZA KIPUUZI sijui individualization sijui nini niniii.. Daah, MUNGU ATUSAMEHE.

Kwaheri.

Kanuni hizo za kitapeli kawambie watu ambao hawana ABCs za Logic, metaphysics, epistemology na theodicy. Hii namba nyingine. I am a trained and qualified expert in a war on disinformation! Hata sokwe wanakucheka!

1631181484683.png
 
Tobaaa..
Kwani we ni mwanaume kumbe? Hivi nikisema "mama amon" yule shoga yako yuko wapi? Na nikisema "amon" yule shoga yako yuko wapi? Unapata picha gani kwa kauli hizo mbili nikizitoa kwa watu wawili wa jinsia tofauti... Yaani "mama amon/mwanamke" na "amon/mwanaume"?

Sikutegemea kama ungedhihirisha jinsia yako kiurahisi namna hii ewe "dada wa kujitakia".. BADILIKA WACHA KUTUMIA ID ZA KIKE.

Shoga yako niliyemuongelea ni huyu hapa chini... [Mama D]

Au kwakua uliingia na ID yako nyingine basi UKAJISAHAU?

Mimi nimejitoa rasmi, HUKIDHI VIGEZO vya kujadiliana juu ya hoja hii.. BADILIKA KWANZA, BADILIKA mama amon "dada wa kujitolea" mbona madada wapo wengi mtaani, wewe baki na jinsia yako halisi bwana.

Mungu Akurehemu na Kwaheri.
1631129014614.png


Mabandiko hayo hapo juu ni ushahidi kwamba haujitambui!
Hakuna mahali ID ya Mama-Amon au Mama-D au Mtumaini Mungu inaonyesha kuwa mtumiaji wake ana jinsia gani. Hata picha zilizotumika kama avartar hazina kitu kinaonyesha kwamba mtumiaji wa akaunti ni mwanamke au mwanamume.

Yet, umetamka bayana kuwa unataka kuwagonga kishoga Mama-Amon pamoja na shoga wake Mama-D.

Kumgonga mtu kishoga ni kumlawiti kama ni mwanamume au kumlawiti na kumsaga kama ni mwanamke. Kwa hiyo, wewe ama ni msagaji kama ni mwanamke au mlawiti kama ni mwanamume.

Ulawi na usagaji ni matendo yaliyo haramu kimaadili. Hukuona haya yote wakati unaandika takataka zako?
 
View attachment 1929771

Mabandiko hayo hapo juu ni ushahidi kwamba haujitambui!
Hakuna mahali ID ya Mama-Amon au Mama-D au Mtumaini Mungu inaonyesha kuwa mtumiaji wake ana jinsia gani. Hata picha zilizotumika kama avartar hazina kitu kinaonyesha kwamba mtumiaji wa akaunti ni mwanamke au mwanamume.

Yet, umetamka bayana kuwa unataka kuwagonga kishoga Mama-Amon pamoja na shoga wake Mama-D.

Kumgonga mtu kishoga ni kumlawiti kama ni mwanamume au kumlawiti na kumsaga kama ni mwanamke. Kwa hiyo, wewe ama ni msagaji kama ni mwanamke au mlawiti kama ni mwanamume.

Ulawi na usagaji ni matendo yaliyo haramu kimaadili. Hukuona haya yote wakati unaandika takataka zako?
Bold niliposema ninataka kuwagonga kishoga.

Hahahahaha, hebu bold tuone..

Shetani anakutumia vibaya wewe mwanamke wa kujitakia.

Nasubiri u-bold niliposema nataka NIWAGONGE KISHOGA.
 
Back
Top Bottom