Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Bold niliposema ninataka kuwagonga kishoga.

Hahahahaha, hebu bold tuone..

Shetani anakutumia vibaya wewe mwanamke wa kujitakia.

Nasubiri u-bold niliposema nataka NIWAGONGE KISHOGA.
Haya hapa chini unasema Mama-Amon sio mwanamke bali ni mwanamume.
Kabla hajakujibu ukatangaza nia ya kuwagonga yeye na shoga wake Mama-D.
Kwa hiyo, umetangaza nia ya kufanya ulawiti.
Wewe ni shogist, pure ans simple!
Kwa hakika njia ya bwege ni fupi.
Haya sio maneno yako?
Takataka!

1631159865927.png
 
Haya hapa chini unasema Mama-Amon sio mwanamke bali ni mwanamume.
Kabla hajakujibu ukatangaza nia ya kuwagonga yeye na shoga wake Mama-D.
Kwa hiyo, umetangaza nia ya kufanya ulawiti.
Wewe ni shogist, pure ans simple!
Kwa hakika njia ya bwege ni fupi.
Haya sio maneno yako?
Takataka!

View attachment 1929988
Nikajuwa ipo sehemu nimesema "Niwagonge Kishoga".. na Mimi ni kweli NAKUGONGA, na hujawai kubisha kila siku nakugonga unakimbia unaenda kujipanda hata siku mbili then unarudi tena, na hata leo ukitaka tena nitakugonga na kukuhenyesha kwasababu Mada yako ni SATANIC MISSION..

Na kibali kinaniruhusu, Kumgonga, kumpasua, na kumhenyesha shetani na wakala wake popote alipo.. BADO UNATAKA NIENDELEE KUKUGONGA?

Kwani ni uongo kuwa wewe ni mwanaume? Au niporomoshe ID's zako??
 
Kwani ni uongo kuwa wewe ni mwanaume? Au niporomoshe ID's zako??
Nami nitaporomosha ID za hayati Mama Prince na hayati Mama Mission na kuweka wazi waliyoyaandika juu yako wakiwa hai!

Halafu naanza kuwasiliana na Nshomile mmoja ana kampuni inashughulika na mambo ya utamaduni huko Marekani ili anisaidie kujua kilichowaua wanawake hawa, vifo vyao vikiwa vinapishana kwa siku 40 pekee....

Kuna picha hapa naona mmekaa pamoja ukibugia bia ya safari. Nahisi naye ni shogist kama wewe.
 
Huyo Mungu unae mjua wewe ana baadhi tu ya mambo ya kumuomba? Kwa Wakristo, Mungu anaombwa chochote, hata kama unahisi umeonewa au kuna mtu kaonewa, we muombee tu kwa Mungu na Mungu atajibu maombi yako.
 
Huyo Mungu unae mjua wewe ana baadhi tu ya mambo ya kumuomba? Kwa Wakristo, Mungu anaombwa chochote, hata kama unahisi umeonewa au kuna mtu kaonewa, we muombee tu kwa Mungu na Mungu atajibu maombi yako.
Kuomba ni HAKI aliyo nayo muumini wa Mungu fulani.
Kama siamini kwamba kuna ng'ombe siwezi kuomba "maziwa" ya ng'ombe.
Mbowe anaamini kuwa Mungu wa Wakatoliki hayupo na ndio maana sio Mkatoliki. Kwa hiyo hawezi na hapaswi kuomba wala kuombewa "maziwa" kutoka kwa Mungu huyu.
Mbowe anaamini kwamba Mungu wa Walutheri yupo na ndio maana ni Mlutheri. Kwa hiyo anaweza kuomba na kuombewa "maziwa" kutoka kwa Mungu huyu pekee.
 
Kuomba ni HAKI aliyo nayo muumini wa Mungu fulani.
Kama siamini kwamba kuna ng'ombe siwezi kuomba "maziwa" ya ng'ombe.
Mbowe anaamini kuwa Mungu wa Wakatoliki hayupo na ndio maana sio Mkatoliki. Kwa hiyo hawezi na hapaswi kuomba wala kuombewa "maziwa" kutoka kwa Mungu huyu.
Mbowe anaamini kwamba Mungu wa Walutheri yupo na ndio maana ni Mlutheri. Kwa hiyo anaweza kuomba na kuombewa "maziwa" kutoka kwa Mungu huyu pekee.
Umeingia kichwani mwa Mbowe na kujua kama haamini katika mungu wa Wakatoliki? Wakatoliki, Walutheli nk si wana amini katika Yesu Kristo? Au we unaelewaje? Anyway, tukubaliane kwamba hayo ulioandika ni mawazo yako mgando, ugando wa mawazo yako yasiwafanye wote kuamini kama unavyo amini wewe, waache watu wamuombe mpendwa wao kwa IMANI zao, Mungu atawasikia; by the way, sijamsikia hata mara moja Mbowe akiomba kuombewa, huenda watu kwa mapenzi yao wanafanya hivyo, Mbowe anajulikana na jamii, Mbowe anajulikana na watu wengi, ugaidi hauwezi kujulikana na kikundi kidogo tu cha watu na ndio maana watu wanakwenda kwa Mungu wao (bila kujali madhehebu yao ) ili huyo Mungu wao aoneshe ukweli, hivyo tu
 
Umeingia kichwani mwa Mbowe na kujua kama haamini katika mungu wa Wakatoliki? Wakatoliki, Walutheli nk si wana amini katika Yesu Kristo?
Unaongelea Yesu Kristo yupi? Mkatoliki? Mlutheri? Msabato?

Kwa kutumia time-indexed and world-indexed properties zinazotajwa na madhehebu haya kuhusu utambuliko wa Yesu, utagundua kuwa hawa ma-Yesu watatu tofauti kabisa! Kwa mfano:

Tangu 1968, Mental state ya Yesu Mkatoliki inasema kuwa "kingamimba ni haramu"

Tangu 1932, Mental state ya Yesu Mlutheri inasema kuwa "kingamimba ni halali"

Na tangu SDA walipianzisha Kanisa lao, Mental state ya Yesu Msabato inasema kuwa "ninataka kuabudiwa Jumamosi"

Kwa mujibu wa fundamental ptrinciple of necessary and suficient conditions of individuation, hawa hawawezi kuwa Yesu mmoja!

Mtu akikwambia jambo la kipumbavu, wakati anajua kwamba ni la kipumbavu, na akawa anajua kuwa unajua kuwa ni jambo la kipumbavu, lakini ukalikubali, atakudharau kwa sababu ya ufinyu wa fikra zako!
 
by the way, sijamsikia hata mara moja Mbowe akiomba kuombewa, huenda watu kwa mapenzi yao wanafanya hivyo, Mbowe anajulikana na jamii, Mbowe anajulikana na watu wengi, ugaidi hauwezi kujulikana na kikundi kidogo tu cha watu na ndio maana watu wanakwenda kwa Mungu wao (bila kujali madhehebu yao ) ili huyo Mungu wao aoneshe ukweli, hivyo tu
Sijasema na sikusudii kusema lolote kuhusu kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe kwa kuwa sijapata kuona kapu la ushahidi wa DPP vs kapu la ushahidi wa mawakili wa Mbowe. Muda ni hakimu mzuri.
 
Unaongelea Yesu Kristo yupi? Mkatoliki? Mlutheri? Msabato?

Kwa kutumia time-indexed and world-indexed properties zinazotajwa na madhehebu haya kuhusu utambuliko wa Yesu, utagundua kuwa hawa ma-Yesu watatu tofauti kabisa!

Mental state ya Yesu Mkatoliki inasema kuwa "kingamimba ni haramu"

Mental state ya Yesu Mlutheri inasema kuwa "kingamimba ni halali"

Mental state ya Yesu Msabato inasema kuwa "ninataka kuabudiwa Jumamosi"

Kwa mujibu wa fundamental ptrinciple of necessary and suficient conditions of individuation, hawa hawawezi kuwa Yesu mmoja!

Mtu akikwambia jambo la kipumbavu, wakati anajua kwamba ni la kipumbavu, na akawa anajua kuwa unajua kuwa ni jambo la kipumbavu, lakini ukalikubali, atakudharau kwa sababu ya ufinyu wa fikra zako!
Soma ujumbe mzima wewe, imekuuma watu kumuombea Mbowe? Mbowe hajasikika kuomba aombewe, watu kwa imani zao wameona wamuombee Mbowe? Wewe unawashwa na nini? Iwe yesu wa hizo teminology unazo zisema au Yesu wa teminology tusizo zijua, muhimu watu wana muombea Mbowe kwa Mungu wao, viongozi wa hizo dini maadamu wamekubali kushiriki maombi ya kumuombea Mbowe pamoja na waumini wao, wewe kinacho kuuma ni nini? Mungu anaweza kujibu sawa sawa na maombi yao au sawa na maombi yako, simpl as that, ukitaka kuonesha usahihi wa dini hata mimi naweza but uzi hu hauna uhusiano na hicho unachotaka kukileta hapa, fungua uzi mwingine tuje huko.
 
Soma ujumbe mzima wewe, imekuuma watu kumuombea Mbowe? Mbowe hajasikika kuomba aombewe, watu kwa imani zao wameona wamuombee Mbowe? Wewe unawashwa na nini? Iwe yesu wa hizo teminology unazo zisema au Yesu wa teminology tusizo zijua, muhimu watu wana muombea Mbowe kwa Mungu wao, viongozi wa hizo dini maadamu wamekubali kushiriki maombi ya kumuombea Mbowe pamoja na waumini wao, wewe kinacho kuuma ni nini? Mungu anaweza kujibu sawa sawa na maombi yao au sawa na maombi yako, simpl as that, ukitaka kuonesha usahihi wa dini hata mimi naweza but uzi hu hauna uhusiano na hicho unachotaka kukileta hapa, fungua uzi mwingine tuje huko.
Nimesema ugaidi siongelei.
Kuhusu nilichokiandika sijakosea.

Nimefanya mawili:
1. Nimefafanua kanuni za descriptive philosophy, yaani the fundamental principle of individuation (FPI)
2. Nimetumia kanuni za applied philosophy zinazoniruhusu kuitumia kanuni ya FPI katika scenario ya kumwombea Mbowe.

Kanuni ya FPI inaweza kutumika kwenye scenario nyingine pia.
Kwa hapa nimeamua kuitimia kwenye suala la maombi kwa niaba ya Mbowe.

Halafu mtu badala ya kujielekeza kwenye hoja, anakurupuka anaanza kunishambulia na kutishia kuleta ID zangu hapa.

Anadhani kijinga kuwa yeye ana absolute immunity kwa vile anatumia ID bandia! Hapana

Katika hatua hii ya propaganda hasi, kanuni ya ukimwaga mboga namwaga ugali, kutoboa sufuria na kumwaga maji kwenye jiko, ni halali kutumika.

Hapo vipi?
 
Nimesema ugaidi siongelei.
Kuhusu nilichokiandika sijakosea.

Nimefanya mawili:
1. Nimefafanua kanuni za descriptive philosophy, yaani the fundamental principle of individuation (FPI)
2. Nimetumia kanuni za applied philosophy zinazoniruhusu kuitumia kanuni ya FPI katika scenario ya kumwombea Mbowe.

Kanuni ya FPI inaweza kutumika kwenye scenario nyingine pia.
Kwa hapa nimeamua kuitimia kwenye suala la maombi kwa niaba ya Mbowe.

Halafu mtu badala ya kujielekeza kwenye hoja, anakurupuka anaanza kunishambulia na kutishia kuleta ID zangu hapa.

Anadhani kijinga kuwa yeye ana absolute immunity kwa vile anatumia ID bandia! Hapana

Katika hatua hii ya propaganda hasi, kanuni ya ukimwaga mboga namwaga ugali, kutoboa sufuria na kumwaga maji kwenye moto, ni halali kutumika.

Hapo vipi?
Kwani kwenye UZi hu tunajadiri nini? This is why nimekushauri, fungua uzi mwingine unahusiana na usahihi wa mambo ya dini ipi inaamini nini, tutakuja huko
 
Kwani hujui chadema wana mungu wao? Chadema is like a cult kama freemason. Utaona wana advocate mambo ya ajabu hayana logic. Uongo kwao ndio kweli. Ukiwa chadema lazima uwe mbinafsi mshari na mlaku wa mali.
Kichaa kimeanza kupanda kichwani??
 
Mzee wa kugongatigo kutoka kijiji cha Mpigamiti Ziiii!
🤣🤣🤣

Mmmh! Mbona mimi sitamki hayo "matundu"? Inaonekana unapenda sana KULAWITIWA.

Tubu na urejeeee kwa Muumba wako, hiy Hamu na Fikra ya "Kupokea wageni" kwa njia ya nyuma itaisha
 
🤣🤣🤣

Mmmh! Mbona mimi sitamki hayo "matundu"? Inaonekana unapenda sana KULAWITIWA. Tubu na urejeeee kwa Muumba wako, hiy Hamu na Fikra ya "Kupokea wageni" kwa njia ya nyuma itaisha
Naona umeanza kutubu makosa yako kijanja.
 
Naona umeanza kutubu makosa yako kijanja.
Kwa Mungu hakuna SHORTCUTS wala KUTUBU KIJANJA.

Ninakuelekeza wewe, kanuni itakayosaidia Kukausha Hamu ya Kuingiliwa huko unaita "tigo" sijui ni KUTUBU NA KUMREJEA MUNGU.

Mimi nasema nikugonge kwenye mada wewe unasema nikugonge tigo yako!!! Duuh..

Tubu, ila usisahau kufungua uzi mwingine (HUKO NITAMWAGA MCHELE, kama una jeuri fungua then nitag)

Daah, wapenda kungongwa nini?🤣🤣🤣 MUNGU ATUREHEMU.

Black Belts.
 
Back
Top Bottom