Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Haya mkuu kila la kheri.sasa mkuu ningekuwa mtu wa kujikweza si ningesema nina uwezo wa kumzuia sa100 asiwe na mafungamano na nchi za kiarabu, ndo nikasema uwezo huo sina, me ni kibodi woria tu chief.
Hizi fikra au haya mawazo ya kimasikini yatakufanya ufe masikini,Dunia inafunguka kwa sasa,Hao wote hawana maana,hakuna mtu mweupe mwenye mapenzi mema na mtu mweusi hao wazungu wanataka ukubali ushoga waarabu wanataka uwe manamba wao.
Hawafai kabisa ilibidi sisi wenyewe weusi tujisimamie unfortunately tunaangushwa na viongozi vilaza kama hawa wanaotuongoza
Huna akiliPopote alipo Rais haimzuwii kufanya kazi zake,hata ndege za marais hua zina office ambayo rais anafamya kazi hata akiwa angani.
Wewe taahira huna unalolijua hapa,hana akili mamako.Huna akili
Nisamehe mkuu wangu, huyo jamaa ndo ameteuliwa kuwa msemaji wa serekali yetu kwa sasa. nisamehe boss si unajua hapa jf huwa kuna vimameno maneno tunatumiaga mkuu wangu? sorry chief i ddnt mean to offen yu, imetokea tu.Nimekusamehe ila lugha yako ni ya kibaguzi kwamba sistahili kuwepo jf,Mobhare Matinyi ni mkuuwa wilay ma ya Temeke,sio wote wanaojua hivyo.Kwa msaada wa wengi ilipaswa aeleze hivyo na sasa kbadilishwa nafasi!Wewe unaenda mbali kwamba niko nyuma na sifai kuwa jf!Ndo maana nimekwambia,unaonekana unanijua sana!Si kwa dharau huzo!
mbona wewe hua unalipa marejesho yako ya vikoba ukiwa mkoani?
ndio, maana huko ndo kuna kashfa za makadinali na mapadre kulawiti watoto wadogoAngeenda Vatican ungeuliza hili swali?
Pumbavumbona wewe hua unalipa marejesho yako ya vikoba ukiwa mkoani?
Wewe unataka rais awe anaenda wapi ili uone sawa? Kaombe kazi Ikulu ili uwe unampangia rais safari ambazo unazipenda wewe.ndio, maana huko ndo kuna kashfa za makadinali na mapadre kulawiti watoto wadogo
Chuki zako tu nilijua hata una sababu za msingi.kabisa, waarabu, hapana kabisa,
kamanda bana, mbona vidole vyako vyepesi sana kupanic 😜Pumbavu
GugoMobhare Matinyi ndio nani?
Ona hili nalo punguani la jf hua linaunga tela tu,
Angeenda nchi za wazungu ingekuwa hamna tatizo?
mkuu sasa na wewe unakuwa kilaza sasa, kwa hyo nikishapata kazi ikulu ndo nitakuwa na mamlala ya kumpangia rais safari, mkuu unajua mamlaka aliyonayo rais wetu kwa mujibu wa katiba ya 1970?Wewe unataka rais awe anaenda wapi ili uone sawa? Kaombe kazi Ikulu ili uwe unampangia rais safari ambazo unazipenda wewe.
si muhimu,Kuna vimbwenelehi watakuja hapa kusema kuwa safari za rais ni privacy.
Kama anatumia hela zake sawa, lakjni kama anatumia kodi yangu basi kila dime counts