Unaonekana unafaham mengi sana, emb nijuze kuhusu ku root simuHiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Tuwe wakweli sisi watanzania hatuna hulka ya kulipa mikopo kwa wakati, mfano wewe hiyo 42,000 umeomba mkopo na kupewa siku hiyo hiyo, ukaondoa shida yako. Sasa ni kwa nini usilipe hiyo pesa ndani ya muda au hata Kabla ya siku 7 kwisha?? Mwisho kila ikifika mwisho wa mwaka jitahidi ku edit phone book [emoji428] yako ili ufute Namba ambazo hazina umuhimu kwako, afadhali ubaki na majina 50 ya muhimu kuliko 200 hewa.Wanakupunguzia heshima!
Wapo watu wanakuheshimu na ni muda hawajasikia kutoka kwako so wakiona sms dizain hiyo wanasema huyu jamaa alivyokuwa smart siku hizi amekuwa tapeli anatapeli mpaka mitandaoni?basi siyo wa kumuamini tena na hata siku ukiwatafuta kwa ishu serious hawakusikilizi.
Haya mtoa mada kakuelewa.Tuwe wakweli sisi watanzania hatuna hulka ya kulipa mikopo kwa wakati, mfano wewe hiyo 42,000 umeomba mkopo na kupewa siku hiyo hiyo, ukaondoa shida yako. Sasa ni kwa nini usilipe hiyo pesa ndani ya muda au hata Kabla ya siku 7 kwisha?? Mwisho kila ikifika mwisho wa mwaka jitahidi ku edit phone book [emoji428] yako ili ufute Namba ambazo hazina umuhimu kwako, afadhali ubaki na majina 50 ya muhimu kuliko 200 hewa.
Lipa pesa za watu jombaa, heshimu biashara ya wenzako. Mtu amekukopesha na umeondoa shida yako kwa nini usiwalipe?Wananitishia kuwa watanitafta niwatejeshe na gharama walizotumia, au ni mikwara tu.
Sema wameniaibisha sana
Kwa 97% ukienda na huu ushahidi mahakamani unapotea.Mkuu wewe ni mtu na nusu sana ani.
Umenifanya fikra zangu zikafunguka.
Nimeingia website ya BOT kama ulivyosema kuwa kule kuna ufafanuzi.
Nimekuta orodha ya kampuni za micro-y finance zenye leseni ya BOT, ziko kama kampuni 1500 na point kidogo.
Kati ya hizo 1500 zenye leseni, MKOPO FASTA (PESA M LOAN) haipo.
Alafu pia nikasoma notice ikiyotolewa na BOT mwezi january 2024, inaagiza kwamba micro finance yeyote inayokukopesha ikupe nakala ya MKATABA, mimi sina MKATABA wao.
Kumbe nimekuja kugundua ni wahuni ambao wanavuna pesa kihuni.
Toa evidence juu ya hii ishu.Zachini chini, wanapiga pesa ndefu kwenye kuwatisha watu kuwa watavujisha picha na video zao za uchi au ngono,..hivyo kuna watu wanalipa kila mwezi hata baada ya mkopo kuisha....
Wapeleke Mahakamani kama hakuna kipengele hichoHuenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita.
View attachment 2910966View attachment 2910967
Kama changamoto ya Elfu 42 unashindwa itatua au walokuzunguka kukusaidia kuitatua basi achana na kuwaza mwanasheriaHuenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita.
View attachment 2910966View attachment 2910967
Jamaa unavyolalamika nachekaNdicho ninachohisi kiko kichwani mwa watu wangu sasahivi
Saa zingine sio wameshindwa kumsaidia, ni mtu mwenyewe unaamua kukausha. Labda wanakuheshimu sana sasa kukosa elfu 40 ni aibuhao marafiki zako 200 wameshindwa kukulipia deni achana nao, futa wote,
Nilitumiwa na Sunloan kuwa rafiki yangu mmoja wa kike ni mdaiwa[emoji1787] nilipomuuliza akajibi simple tu kuwa matapeli haoAisee, hao waduanzi kwani wangapi wanakopa. Ningekuwa mimi nisingewalipa maana wameshatumia silaha yao ya mwisho.
Alafu haina haja ya wewe kujisikia vibaya kwani sms katumiwa mtu mmoja mmoja kwahiyo kila mtu ataielewa kwa anavyo kufahamu ni rahisi kumjibu kuwa hao ni matapeli
Nimewahi kutumiwa kuwa jamaa yangu anadaiwaHaya mambo yanawezekana kwenye nchi yenye raia wajinga kama Tanzania tu. Sina kusema ila nimebaki kushangaa tu. Yaani mtu akope halafu asipolipa wanatumia msg contact wake walioko kwenye simu? Mnatania au yanatokea kweli?
Kubonyeza YES ndiyo mkataba wa maandishi ambao BOT imeelekeza ?Kwa 97% ukienda na huu ushahidi mahakamani unapotea.
Mkopo Fasta na Pesa M loan siyo kampuni ni products za kampuni. Ambazo wewe unazipata kama applications playstore.
Kampuni ina jina lake. Kama hiyo doc ya BOT ungekua nayo ningeisoma nikutajie kama hii kampuni ipo au haipo.
Waziaa JamiiForums wawe na app ya kukopesha iitwe JamiiPesa. So hautakuta jina la JamiiPesa BOT bali Jamiiforums. Pia wewe umekopeshwa online, mkataba ni zile yes ulizobonyeza muda unakopa.
Pia, kampuni mpya inaweza operate wakati inasubiri vibali. Kikubwa maombi yawe yalishafanywa.
So jiangalie
Silipi jomba na hamna kitu watanifanya.Lipa pesa za watu jombaa, heshimu biashara ya wenzako. Mtu amekukopesha na umeondoa shida yako kwa nini usiwalipe?
Lipa wewe, si walikutumia sms kuwa wewe ni mdhamini wangu.Ndugu stefano iyanga lipa pesa ya watu aisee
doctor unakalia mbususu unashindwa kusave chochote matokeo yake umegeika tapeli. Lipa pesa ya watu mzee ama waombe chawa wenzio humu kina lucas wakusaidie kufukia mashimo... Ila wambie kabisa umebadili jina umerudia lile jina la zaman ili wakutambue wakulipieSilipi jomba na hamna kitu watanifanya.
Kwanini wanitangaze wakati dead line ilikuwa bado haijafika
Trust me Bro.Kubonyeza YES ndiyo mkataba wa maandishi ambao BOT imeelekeza ?
Nini maana ya BOT kusema "mkopeshaji akupe nakala ya mkataba wa maandishi ubaki nayo"
Hiyo ni wazi,mahakamani hawawezi kukupeleka kwa sababu watajiharibia wenyewe.View attachment 2911035
benki kubwa wanaonya watu kila siku
Wanipeleke mahamani wakanifunge kama wanaweza.doctor unakalia mbususu unashindwa kusave chochote matokeo yake umegeika tapeli. Lipa pesa ya watu mzee ama waombe chawa wenzio humu kina lucas wakusaidie kufukia mashimo... Ila wambie kabisa umebadili jina umerudia lile jina la zaman ili wakutambue wakulipie