ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
Mi ni mmoja wa hao ma dc kiukwel maslai hakuna posho ndogo inamigao kibao bora nikaendelee kuimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli watu wanapiga pesa za ufisadi sana hadi ukuu wa wilaya wameuchoka wanataka kutumbua pesa walizo iba mama yupo bize kutembeza wazungu wakati nchi inatafunwaZipo taarifa nimesoma kwenye group moja la WhatsApp kwamba baadhi ya wakuu wa Wilaya wamepata mchongo mpya na wameomba waruhusiwe kwenda kuimarisha carrier zao japo majibu hayajatoka. Rafiki wa karibu wa DC mmoja Kanda ya ziwa anaeleza kwamba rafiki yake ameshaomba na ametuma baadhi ya wazee wazungumze na mamlaka za uteuzi aruhusiwe kuacha kazi na kwenda kujiendeleza au kujiunga na Shirika moja huko nje.
Taarifa zinaeleza kwamba Hali ya vijana wengi walioteuliwa kuwa DC hawapo happy na nafasi hizo baada yakufika vituo vya kazi. Eti wanalalamika kwamba maeneo yao ya kazi hakuna kazi kwa sababu uwezi kwenda na mawazo mapya, watu wanataka uwasikilize wazee ambao wengi ni madiwani na viongozi wa chama. Lakini pia muundo wa halmashauri nyingi unakosa watu wenye upeo na hivyo kujikuta unapata ukinzani kufikia lengo. Anakubaliana na kauli kwamba hizi nafasi si za vijana maana zinadumaza ubongo.
Lakini changamoto kubwa inayopelekea watu kuomba kwenda kusoma au kupiga mchongo mwingine Ni maslahi kidogo wanayodhani kwa hadhi ya DC anapata lakini pia kukosekana Uhuru wa siasa na hivyo kazi ya DC kubaki kunyamazisha yeyote mwenye mawazo yenye mrengo tofauti na chama Tawala.
Endapo taarifa hizi Zina ukweli Basi akina Mayala wanaweza kupata uteuzi kuziba nafasi zitakazokuwa wazi.
Teh! Teh! Njoo tulime vanila Mkuu ndugu yanguMi ni mmoja wa hao ma dc kiukwel maslai hakuna posho ndogo inamigao kibao bora nikaendelee kuimba
Yaweza kuwa nikutofurahia aina ya siasa yetu,kwenye mambo yote.Ishu kubwa hapo ni maslai vingine ni visingizio tu.
Ukimuona mtu kaacha Kazi ishu huwa ni maslai
Hamnaga kitu wanabaki kutishia watu nitakuweka ndani mie wengine hadi nilikuwa nawachapa block kabisaa kwenye simu unajiuliza huyu mtu anajua anacho ongea au anabwabwaja tu 😀😀😀😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 kazi kweri kwerii
uDC uliwahusu sana madereva wa TANU/ CCM wakati wa Nyerere!Ukuu wa Wilaya zamani walipewa makada wa 45-50 kama maandalizi ya kustaafu. Leo unampa kijana wa 30 mwenye elimu yake nzuri kazi ya kwenda kukaa ma Wilayani huko wakati ana uwezo wa kupata kazi UNDP na CV ameisha ijenga.
ina maana maDC hao hawana akili....walikuwa hawajui kabla ya kuapa?Zipo taarifa nimesoma kwenye group moja la WhatsApp kwamba baadhi ya wakuu wa Wilaya wamepata mchongo mpya na wameomba waruhusiwe kwenda kuimarisha carrier zao japo majibu hayajatoka. Rafiki wa karibu wa DC mmoja Kanda ya ziwa anaeleza kwamba rafiki yake ameshaomba na ametuma baadhi ya wazee wazungumze na mamlaka za uteuzi aruhusiwe kuacha kazi na kwenda kujiendeleza au kujiunga na Shirika moja huko nje.
Taarifa zinaeleza kwamba Hali ya vijana wengi walioteuliwa kuwa DC hawapo happy na nafasi hizo baada yakufika vituo vya kazi. Eti wanalalamika kwamba maeneo yao ya kazi hakuna kazi kwa sababu uwezi kwenda na mawazo mapya, watu wanataka uwasikilize wazee ambao wengi ni madiwani na viongozi wa chama. Lakini pia muundo wa halmashauri nyingi unakosa watu wenye upeo na hivyo kujikuta unapata ukinzani kufikia lengo. Anakubaliana na kauli kwamba hizi nafasi si za vijana maana zinadumaza ubongo.
Lakini changamoto kubwa inayopelekea watu kuomba kwenda kusoma au kupiga mchongo mwingine Ni maslahi kidogo wanayodhani kwa hadhi ya DC anapata lakini pia kukosekana Uhuru wa siasa na hivyo kazi ya DC kubaki kunyamazisha yeyote mwenye mawazo yenye mrengo tofauti na chama Tawala.
Endapo taarifa hizi Zina ukweli Basi akina Mayala wanaweza kupata uteuzi kuziba nafasi zitakazokuwa wazi.
Sasa hivi wakuu wa Wilaya ni mabillionea toka magu kufa mkuu wa wilaya anakuwa bilionea ndani ya miezi miwili tu ukusikia temeke barabara ya km1 iliyokuwa igharimu milioni1500 imetumia milioni 5800 hapo milioni 4300 wamekula wakuu wa wilaya na mkoaHamna kitu kama hicho asee, mtaani palivyo tight labda kama mtu kapata offer ya kwenda mamtoni kuishi vizuri
Yani nataka nishangae wakati huu ndio muda wa kupiga hela bila kelele yani mnaunda kamati vizuri tu mzigo ukiingia mnapiga panga lenu chapu DC anapiga 1B yake anawaachia wengine vipengele vilivyobakia.Sasa hivi wakuu wa Wilaya ni mabillionea toka magu kufa mkuu wa wilaya anakuwa bilionea ndani ya miezi miwili tu ukusikia temeke barabara ya km1 iliyokuwa igharimu milioni1500 imetumia milioni 5800 hapo milioni 4300 wamekula wakuu wa wilaya na mkoa
Hahahahah kina Ole Sabaya😅,,, kumbe DC ni kama kiranja wa Kiwango Security tuHamnaga kitu wanabaki kutishia watu nitakuweka ndani mie wengine hadi nilikuwa nawachapa block kabisaa kwenye simu unajiuliza huyu mtu anajua anacho ongea au anabwabwaja tu 😀😀😀
Uongo wa taarifa unaonekana hapa! Kama ungesema ma-DED angalau inge-make sense kwa sababu kazi zenye changamoto huko mawilayani ni kazi za ma-DED na kundi lake la watalaamu manake hawa ndio wanafanyakazi moja kwa moja na madiwani! Huko mawilayani, hususani wilaya ambazo kata zake ni vijiji unaweza kukuta Diwani wa Form IV ndo diwani msomi; halafu wewe unaenda pale na usomi wako, lazima upate shida! Nilishawahi kuishi wilaya moja, unaambiwa Mwenyekiti wa Halmashauri ni Standard VII, halafu mzee ni Much Know balaa, huku akiwa amejaaliwa kipaji cha kuongea. Unaambiwa Halmashauri mzima (DED na Watalaamu wake) ilikuwa inamgwaya! Ujinga wa Halmashauri (DED na timu yake) ni kama unavyoona Bungeni Dodoma! Unakuta Waziri una PhD yako, umefanya kazi hadi ma Umoja wa Mataifa huko lakini bado wanatokea akina Msukuma na Lusinde wanakuambia "Uprofesa wako ni bure kabisa"!Taarifa zinaeleza kwamba Hali ya vijana wengi walioteuliwa kuwa DC hawapo happy na nafasi hizo baada yakufika vituo vya kazi. Eti wanalalamika kwamba maeneo yao ya kazi hakuna kazi kwa sababu uwezi kwenda na mawazo mapya, watu wanataka uwasikilize wazee ambao wengi ni madiwani na viongozi wa chama. Lakini pia muundo wa halmashauri nyingi unakosa watu wenye upeo na hivyo kujikuta unapata ukinzani kufikia lengo. Anakubaliana na kauli kwamba hizi nafasi si za vijana maana zinadumaza ubongo.
Hivi kwa akili yako unadhani ile barabara imejengwa wakati wa nani kama sio wa Magu?! Au unaisikia tu Kijichi!! Halafu inaelekea wala hujui utendaji wa serikalini unaendaje!! Ujenzi wa barabara na DC wapi na wapi?! FYI, ma-DC walikuwa wanapiga pesa kipindi cha Magu kwa kuwatisha watu kwa sababu wao kama wao, ofisi yao haina bajeti ya maana! Pesa halmashauri ni "za DED" na sio za DC! Na huyu DC hayupo hata kwenye orodha ya signatories!Sasa hivi wakuu wa Wilaya ni mabillionea toka magu kufa mkuu wa wilaya anakuwa bilionea ndani ya miezi miwili tu ukusikia temeke barabara ya km1 iliyokuwa igharimu milioni1500 imetumia milioni 5800 hapo milioni 4300 wamekula wakuu wa wilaya na mkoa
Man, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya haina pesa ya kupiga!! DC anaweza kupiga pesa kwa kuwatisha watu kama alivyokuwa anafanya Sabaya na Bashite!! "Mwenye" pesa nchi hii huko wilayani ni DEDYani nataka nishangae wakati huu ndio muda wa kupiga hela bila kelele yani mnaunda kamati vizuri tu mzigo ukiingia mnapiga panga lenu chapu DC anapiga 1B yake anawaachia wengine vipengele vilivyobakia.
DED ambaye anakuwa ni mkurugenzi wa wilaya au sio?Man, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya haina pesa ya kupiga!! DC anaweza kupiga pesa kwa kuwatisha watu kama alivyokuwa anafanya Sabaya na Bashite!! "Mwenye" pesa nchi hii huko wilayani ni DED
Exactly!! Yule mtu ana pesa vibaya mno! Halafu huko mikoani na wilayani wanazitafuna ile mbaya manake watu macho yetu yanakuwa sana wizarani. Miradi mingi kama sio yote unayoiona wilayani, pesa zinaenda kwake, kuanzia kununua chaki hadi kujenga barabara!DED ambaye anakuwa ni mkurugenzi wa wilaya au sio?
Dah kweli bora kulilia ukurugenzi tu aisee, na ule unaupataje sasa? Ni kwa kuteuliwa pia?Exactly!! Yule mtu ana pesa vibaya mno! Halafu huko mikoani na wilayani wanazitafuna ile mbaya manake watu macho yetu yanakuwa sana wizarani. Miradi mingi kama sio yote unayoiona wilayani, pesa zinaenda kwake, kuanzia kununua chaki hadi kujenga barabara!