Tetesi: Taarifa za ndani kabisa nilizopenyezewa zinasema huenda Feitoto akacheza Kariakoo isiyo na Mafuriko SC siku si nyingi

Kama Ayubu mnasema alinunuliwa 1+B, hatuwezi kushangaa kwa fei kununuliwa 600m πŸ˜€πŸ˜€...

Simba kumsajiri fei ni baada ya mkataba wake na Azam uishe ili kusiwe na vipengele vya Yanga.
 
Tatizo unadhani ukihitaji mchezaji na yeye anakuhitaji. Aziz Ki na Sopu hawakuwa machaguo, Adebayor waarabu walimpagawisha kwa fedha kama ambavyo walimpagawisha Msuva hapa juzi akaiacha Yanga. Usajili ni mutual agreement, sio hela tu
Si umesema Mo ni tajiri alishindwa kutoa hela kwa Adebayor?
 
Another rubbish posted
 
Another rubbish posted
Umemlipa Shilingi ngapi huyo aliyekuandikia kwa Kiingereza hivi kwani unajulikana kuwa hujui Kiingereza na mfano ni Kile Kiingereza chako Kibovu na Kilichokuaibisha cha Juzi ambacho nakiweka hapa chini tafadhali.......

"Otherwise these is absolutely rubbish" by damn Fool dr namugari

Mimi nina Wewe tu hadi Uombe Poo!!
 
Tunamzunguzia Adebayor au Yikpe? au umbumbumbu usha kua activated
Ni uelewa tu unakufanya ushindwe kuipata hii. Mchezaji anajipima, na timu inapima kama ana thamani hiyo. Huwezi kutoa hela kiasi chochote kwa yeyote tu, lazima awe na thamani hiyo au zaidi. Mfano umetolewa wa yule Mcameroon. Si kwamba hafai tena kuichezea Yanga, ila dau alilotaja alizidisha chumvi
 
Simba kumsajiri fei ni baada ya mkataba wake na Azam uishe ili kusiwe na vipengele vya Yanga.
Kama kipengele kiliizuia Azam kuiuzia Simba tu, basi anaweza akazunguka kidogo akauzwa timu nyingine na nyingine ikamuuza Simba. Kwani mambo ya Wasso kuaga kwenda Ubelgiji yalikuwaje?
 
Kama kipengele kiliizuia Azam kuiuzia Simba tu, basi anaweza akazunguka kidogo akauzwa timu nyingine na nyingine ikamuuza Simba. Kwani mambo ya Wasso kuaga kwenda Ubelgiji yalikuwaje?
Ni leo?
 
Kila kitu kinaweza kikafanyika katika dirisha moja tu la January. Mbona wachezaji kibao wanasajiliwa halafu hapo hapo wanatolewa mkopo ndani ya dirisha hilo hilo? Hujui hayo?
 
Hivi ni kweli humu Bongo huwa kuna timu zinaweka kipengele kwa mchezaji kutokuuzwa katika timu fulani? Kama kipo basi ni ajabu lingine katika soka la Tanzania.

Je, hata hiki kipengele huwa kipo hata nchi zilizoendelea?
 
Reactions: Tsh
Hivyo vipengele vina gharama zake vikivunjwa. Watu wakimtaka watakaa chini waangalie namna ya kukikabili hicho kipengele kwa manufaa ya pande zote tatu, atakayeona kaonewa atashtaki kwenye mamlaka rasmi. Mpira si biashara ya utumwa.
 
Hivi ni kweli humu Bongo huwa kuna timu zinaweka kipengele kwa mchezaji kutokuuzwa katika timu fulani? Kama kipo basi ni ajabu lingine katika soka la Tanzania.

Je, hata hiki kipengele huwa kipo hata nchi zilizoendelea?
Vipengele vipo ila vinakuwa na gharama zake.

Mfano Mchezaji asiuzwe timu A ndani ya misimu 3, ikitokea akiuzwa tutalipwa asilimia 120 ya kiasi tulichowauzia mchezaji husika.

Sasa kipengele kama hichi kinasababisha mchezaji kuwa na gharama ya juu sana kuuzwa hiyo timu husika ila iwapo timu ikiamua inalipia tu hizo gharama.
 
Hivyo vipengele vina gharama zake vikivunjwa. Watu wakimtaka watakaa chini waangalie namna ya kukikabili hicho kipengele kwa manufaa ya pande zote tatu, atakayeona kaonewa atashtaki kwenye mamlaka rasmi. Mpira si biashara ya utumwa.
Kwa mfano, ikitokea hicho kipengele cha kukataza mchezaji asiuzwe timu fulani kikavunjwa na mchezaji akauzwa, je, timu iliyoweka hicho kipengele ikienda CAS inaweza kushinda kesi?

Yaani nataka kujua hiki kipengele huwa kinatumika kweli Tanzania? Na kama kipo huwa kipo kama kilivyo au kina mazingira tofauti na tunavyosikia?

Najiuliza, hao CAS huwa wanashughulika na mashauri kama haya ya kukataza mchezaji asiuzwe timu fulani kwa sababu kufanya hivyo ni kuhujumu maslahi ya mchezaji husika!
 
Reactions: Tsh
Hivyo vipengele vina gharama zake vikivunjwa. Watu wakimtaka watakaa chini waangalie namna ya kukikabili hicho kipengele kwa manufaa ya pande zote tatu, atakayeona kaonewa atashtaki kwenye mamlaka rasmi. Mpira si biashara ya utumwa.
Kwa mfano, ikitokea hicho kipengele cha kukataza mchezaji asiuzwe timu fulani kikavunjwa na mchezaji akauzwa, je, timu iliyoweka hicho kipengele ikienda CAS inaweza kushinda kesi?

Yaani nataka kujua hiki kipengele huwa kinatumika kweli Tanzania? Na kama kipo huwa kipo kama kilivyo au kina mazingira tofauti na tunavyosikia?

Najiuliza, hao CAS huwa wanashughulika na mashauri kama haya ya kukataza mchezaji asiuzwe timu fulani kwa sababu kufanya hivyo ni kuhujumu maslahi ya mchezaji husika!
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…