Hapo sawa nimeelewa. Nilitaka kushangaa eti hakuna kuuzwa timu fulani.Vipengele vipo ila vinakuwa na gharama zake.
Mfano Mchezaji asiuzwe timu A ndani ya misimu 3, ikitokea akiuzwa tutalipwa asilimia 120 ya kiasi tulichowauzia mchezaji husika.
Sasa kipengele kama hichi kinasababisha mchezaji kuwa na gharama ya juu sana kuuzwa hiyo timu husika ila iwapo timu ikiamua inalipia tu hizo gharama.
Gharama zake unazijua? Kuvunjwa sio hoja, hoja ni gharama kiasi Gani unazotoa kumpata mchezaji Kama Feisal! Je atakulipa kulingana na gharama ulizotoa? Je kiwango chake kinaendana na gharama ulizotoa kumchukua? Je Kuna ulazima kiasi Gani kutumia nguvu kubwa na gharama kubwa kumpata Feisal? Kwa upande wa yanga wao wataitaji fungu lao kwa mujibu wa makubaliano ya kimkataba, kwaiyo Azam wao ndio watajua biashara imewalipa ama aijawalipa, Kama waliambiwa akiuzwa Tanzania watoe 800milioni basi itawabidi wazitoe watake wasitake ivyo suala sio kuuzwa suala ni faida Gani watapata!Hivyo vipengele vina gharama zake vikivunjwa. Watu wakimtaka watakaa chini waangalie namna ya kukikabili hicho kipengele kwa manufaa ya pande zote tatu, atakayeona kaonewa atashtaki kwenye mamlaka rasmi. Mpira si biashara ya utumwa.
Timu pia hazitakiwi kuhujumiwa. Kuwekeza kwa mchezaji si jambo jepesi lina gharama. Huwezi ibua kipaji ukakikuza ili umpe mpinzani wako akitumie hicho kipaji kukunyima maslahi. Mpira ni maslahi.Kwa mfano, ikitokea hicho kipengele cha kukataza mchezaji asiuzwe timu fulani kikavunjwa na mchezaji akauzwa, je, timu iliyoweka hicho kipengele ikienda CAS inaweza kushinda kesi?
Yaani nataka kujua hiki kipengele huwa kinatumika kweli Tanzania? Na kama kipo huwa kipo kama kilivyo au kina mazingira tofauti na tunavyosikia?
Najiuliza, hao CAS huwa wanashughulika na mashauri kama haya ya kukataza mchezaji asiuzwe timu fulani kwa sababu kufanya hivyo ni kuhujumu maslahi ya mchezaji husika!
Rs Berkane wao hawakuona hilo?Ni uelewa tu unakufanya ushindwe kuipata hii. Mchezaji anajipima, na timu inapima kama ana thamani hiyo. Huwezi kutoa hela kiasi chochote kwa yeyote tu, lazima awe na thamani hiyo au zaidi. Mfano umetolewa wa yule Mcameroon. Si kwamba hafai tena kuichezea Yanga, ila dau alilotaja alizidisha chumvi
Pamoja mkuuHapo sawa nimeelewa. Nilitaka kushangaa eti hakuna kuuzwa timu fulani.
Ni wewe tu hauja taka kushirikisha akili yako vipengere vipo sana tuHivi ni kweli humu Bongo huwa kuna timu zinaweka kipengele kwa mchezaji kutokuuzwa katika timu fulani? Kama kipo basi ni ajabu lingine katika soka la Tanzania.
Je, hata hiki kipengele huwa kipo hata nchi zilizoendelea?
Mkuu mbona hua unatukana watu kirahisi sana, una shida gani?Kwa Juha ( Imbecile ) kama Wewe, ila kwa Sisi Brainiacs na Wadau wa Soka tunamhitaji sana SSC.
Sasa hili si suala lako boss, ni suala la management ya timu inayotaka kumchukua. Wewe suala lako ni kusubiri atakachokifanya uwanjani ufurahie au ulie.Gharama zake unazijua? Kuvunjwa sio hoja, hoja ni gharama kiasi Gani unazotoa kumpata mchezaji Kama Feisal! Je atakulipa kulingana na gharama ulizotoa? Je kiwango chake kinaendana na gharama ulizotoa kumchukua? Je Kuna ulazima kiasi Gani kutumia nguvu kubwa na gharama kubwa kumpata Feisal? Kwa upande wa yanga wao wataitaji fungu lao kwa mujibu wa makubaliano ya kimkataba, kwaiyo Azam wao ndio watajua biashara imewalipa ama aijawalipa, Kama waliambiwa akiuzwa Tanzania watoe 800milioni basi itawabidi wazitoe watake wasitake ivyo suala sio kuuzwa suala ni faida Gani watapata!
Manchester united hua wanaweka kipengele mchezaji aliye kwako kwa mkopo siku mkikutana kwenye mechi asichezeHivi ni kweli humu Bongo huwa kuna timu zinaweka kipengele kwa mchezaji kutokuuzwa katika timu fulani? Kama kipo basi ni ajabu lingine katika soka la Tanzania.
Je, hata hiki kipengele huwa kipo hata nchi zilizoendelea?
hizo t3.6 sio za simba bwege mavi wewe!!!Huelewi kilichotokea kwa Manzoki. Try Again alishaeleza. Hivi Mo unamchukuliaje wakati mwenzio ana utajiri wa Trilioni 3.6 ?
View attachment 2783479
Wengi wao hawana Akili kama Ulivyo.Mkuu mbona hua unatukana watu kirahisi sana, una shida gani?
🤣 Mbona umepanic, ni wapi niliposema ni za Simba?hizo t3
hizo t3.6 sio za simba
Sasa kama Yanga walimuona Yikpe, unadhani kila mtu alimuona hivyo hivyo?Rs Berkane wao hawakuona hilo?
Mi nina akili ndo maana siwezi kumtukana mtu kirahisi kama unavofanya hapa. Badilika mkuu, kuwa mwepesi wa kutukana watu sio sifa nzuriWengi wao hawana Akili kama Ulivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inasemekana huko Mugeta kuna hali ya mawingu sa hii
Wewe ni nani wa Kunipangia? Ukijaa katika 18 zangu unapewa tu na wala Sikucheleweshi.Mi nina akili ndo maana siwezi kumtukana mtu kirahisi kama unavofanya hapa. Badilika mkuu, kuwa mwepesi wa kutukana watu sio sifa nzuri
600m hiyo timu ipo hapa bongo kwa feisal?Kila kitu kinaweza kikafanyika katika dirisha moja tu la January. Mbona wachezaji kibao wanasajiliwa halafu hapo hapo wanatolewa mkopo ndani ya dirisha hilo hilo? Hujui hayo?