Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Jioni hii nilikuwa nasikiliza habari za dira ya dunia nimemsikia muandishi wa habari David Nkya, akisema yupo kambi la wakimbizi la Mtendeli iliyopo Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma
Kwanza hilo kambi halipo, tulilifunga miaka mitatu iliyopita. Akaongeza uongo wake kuwa Tanzania ina makambi matatu ya wakimbizi wakati ni mawili tu.
Wiki iliyopita mtangazaji huyu huyu alisema Kambi la Nyarugusu limepoke wakimbizi zaidi ya 12,000 kutoka DR- Congo! Wakati uhalisia ni kwamba, Hadi Leo tarehe 1, wakimbizi tuliowapokea hawafiki hata 9,000.
Najiuliza tu, Hizi contents za uongo za BBC zinamnufaisha nani?
Kwanza hilo kambi halipo, tulilifunga miaka mitatu iliyopita. Akaongeza uongo wake kuwa Tanzania ina makambi matatu ya wakimbizi wakati ni mawili tu.
Wiki iliyopita mtangazaji huyu huyu alisema Kambi la Nyarugusu limepoke wakimbizi zaidi ya 12,000 kutoka DR- Congo! Wakati uhalisia ni kwamba, Hadi Leo tarehe 1, wakimbizi tuliowapokea hawafiki hata 9,000.
Najiuliza tu, Hizi contents za uongo za BBC zinamnufaisha nani?