Taarifa za uongo kutoka BBC

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Jioni hii nilikuwa nasikiliza habari za dira ya dunia nimemsikia muandishi wa habari David Nkya, akisema yupo kambi la wakimbizi la Mtendeli iliyopo Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma

Kwanza hilo kambi halipo, tulilifunga miaka mitatu iliyopita. Akaongeza uongo wake kuwa Tanzania ina makambi matatu ya wakimbizi wakati ni mawili tu.

Wiki iliyopita mtangazaji huyu huyu alisema Kambi la Nyarugusu limepoke wakimbizi zaidi ya 12,000 kutoka DR- Congo! Wakati uhalisia ni kwamba, Hadi Leo tarehe 1, wakimbizi tuliowapokea hawafiki hata 9,000.

Najiuliza tu, Hizi contents za uongo za BBC zinamnufaisha nani?
 
waandikie email
 

Ashughulikiwe kwa kupotosha
 
Ni kweli hakuna kambi ya mtendeli. Nadhani atakuwa amekosea au kuchanganya na kambi ya nduta.
 

Mkuu Kwa nini usiombe u ripota huko BBC ili upeleke taarifa za kweli?
 
Hatuna uhakika kama ni wewe au David Nkya anasema ukweli.Kwanini unalazimisha tukuamini wewe tuu sio yeye?
 
BBC Swahili ni ugoro mtupu
 
Huenda hizo ndio Data alizopewa na kwenye vitabu vya misaada (wapigaji) kuna pesa inayoletwa ili kuhudumia hizo Kambi tatu na hao wakimbizi zaidi ya 4000 ambao hawapo (pesa zinahudumia matumbo ya watu)
 
Hivi hawezi kukamatwa huyu na kufungwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…