Taarifa za uongo kutoka BBC

TCRA wapo bize kupambana na channels za pilau huku nchi ikichafuliwa na propaganda chafu
 
Huenda hizo ndio Data alizopewa na kwenye vitabu vya misaada (wapigaji) kuna pesa inayoletwa ili kuhudumia hizo Kambi tatu na hao wakimbizi zaidi ya 4000 ambao hawapo (pesa zinahudumia matumbo ya watu)
Hii inaingia akilini
 
Mwambie Mwenyewe Yupo humu, ukitwambia sisi tufanyeje?🤷‍♂️
 
Kazi ya BBC ni kulisha watu uongo sana ndo agenda zao izo tokea miaka ya nyuma uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…