Taasisi ya Kidini ya Spirit Word Ministry yafutiwa usajili

Kama we tu divesheni foo utaelewa Nini sasa.
Upo wapi uongo wa Biblia
 
kuna siku nilimuangalia huyu mwamba akihubiri na kujibu maswali sikumuelewa kabisa. alikuwa akisisitiza DHAMBI NI DHANA TU
Kuna mtu aliuliza mbona mwanae anayeitwa Grace anavaa visuruali vya kubana kanisa, akajibu kuwa huo ni ushamba wa kutojua nini kinaendelea ulimwenguni, akasema mbona wazungu wanavaa vinguo vifupi
kilikuwa kituo cha kuuza bidhaa za mwanaye zikiitwa Grace product za urembo na kukuksanya sadaka za wajinga
 
Hivi shoga huwa anazaa?
Atazaaje Sasa wakat washaua nguvu zake.
Wameshindwa kwenye uzazi wa mpango na mavidonge na sindano zao wameleta ushoga ili kupunguza idadi ya watu Duniani hasa waafrika nalo watafeli Kama walivyofeli kwenye uzazi wa mpango
 
Hamna ajuacho huyo na kwa kuwa alimkufuru Roho Mtakatifu, sasa kaparalyse yupo kitandani. Mungu adhihakiwi
 
Kwahiyo waumini waende wapi? Wengine walikua vibaka, je warudie zama zao?
Unajuaje kuwa wengine walikuwa vibaka?Halafuu,unataka serikali ifanyie kazi mambo ya kufikirika.Ikiwa hivyo mkuu,nothing will ever be done.

Sasa wewe ulitakaje,waachwe waendelee kuhamasisha ushoga?
 
Deep ipi zaidi ya upotoshi,anajiita Mpinga Kristo atakuwaje vizur Sasa, mafundisho yake yanauponda Ukristo.
Ni muhuni tu Hana hata shule ya dini kajikurupukia tu na mke wake wakajianzia kanisa linaitwa club,Sasa kanisa na club wapi na wapi
Akili kama zako huwezi kumwelewa yule mwamba, hasa wakiwa na jamaa mmoja(Oscar Obed).
Inahitaji uelewa wa hali ya juu sana, binafsi nimefatilia jinsi alivyokuwa akifundisha hasa miaka 3-5 iliyopita alikuwa akifundisha vizuri zaidi.

Alipo anza kuzungumzia ushoga na kubishana na torati waziwazi ndipo serikali ikawa macho zaidi, In short waliomfungia ni wale ambao wapo kinyume na mafundisho yake ambayo kimsingi niya KWELI kabisa tena ni UZIMA.
 
Kwa hapa nimeamini sasa serikali inataka kutokomeza huu ujinga.

Fukuza kabisa hizo takataka zikitaka kutoa mafunzo ziende kwa hao mabwana zao huko Merican
Una amini serikali inao uwezo wa kutokomeza ushoga, kwa taarifa yako kila wanapoweka juhudi zao za kijinga badala ya kupunguza wataongeza maradufu.
 
Atazaaje Sasa wakat washaua nguvu zake.
Wameshindwa kwenye uzazi wa mpango na mavidonge na sindano zao wameleta ushoga ili kupunguza idadi ya watu Duniani hasa waafrika nalo watafeli Kama walivyofeli kwenye uzazi wa mpango
Aliyekudanganya shoga hazalishii nani?? Afande Rama unamjua??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…