Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Hii ni kweli, pale UDOM ndo utajua wanawake ni wachafu mno na hawaaminiki, imagine Kuna Mume anamsomeesha mke wake pale college ya humanities, Mume Yuko mkoani but yule mwanamke akawa anatembea na kijana mdogo.
Imagine that, Sasa mtu kama huyu anafaa kabisa hata kuanzisha companies kubwa kabisa naye?
Kama wakina Zuckerberg, Elon, Larry, Gates na Jerry hawakuona umuhimu wa kuwashirikisha macolleagues zao wa kike waliosoma nayo, wakawatafuta wenzao wa kiume, ujue Kuna shida sana.
 
Yaani ni ajabu sana,unipe namba yako mwanaume afu nikuangalie tu...aisee lazima tupigane miti...na kupigana miti ndo lishe tosha kaz utafanya kiufanisi kabisa ofisini au biasharani
Hahahaaaa!
To yeye nikupe namba yangu eeeh?
 
Naomba nikazie hapo juu kwa mfano ulio hai......juzi kati kuna dada mmoja nilikutana nae sehemu katika safari zangu katika mazungumzo yetu akaniambia yeye ni wale wajasiriamali wanaofanya biashara ya kuuza dawa za kampuni moja ( eternali) nikamuambia ukija huku nilipo utapata wateja wengi sana watu wanaumwa magonjwa sugu,.......juzi ananipigia simu eti anataka kuja nimtumie nauli😂😂😂😂😂😂 ..biashara ya kwake mwenyewe halafu eti nimtumie nauli.....kisa tu atakapofika huku atanipa mbususu sementi...
 
Nipe kifungu cha sheria au maandiko matakatifu kwamba KUTONGOZWA/KUTONGOZA ni dhambi
 
Ila we jamaa wewe 😂 😂
 
Kinachosabisha wanaume tuwatongoze hovyo ni kwa sababu wengi wenu hamjieshimu,
Wewe tumepeana namba Jana tu umeshaanza kulia shida za ajabu ajabu kwanini usitongozwe!
 
Bidhaa number moja ya mwanamke hua ni papuchi vingine ni ziada
 
Tatizo na nyie sijui huwa mkoje, mkikutana na wanaume wa aina hiyo, ambao wanatoa support au cooperation ya namna yoyote bila kuomba chochote in return, mnawachukulia maboya tu.
 
Na heshimu sana usingle wangu,thus siachi furasa yoyote mbele yangu.
 
Nimezungumzia mazingiza ya kikazi, biashara au social events!!!

Sizungumzii mpita njia tu!!! Ninachomaanisha tunapaswa kuwaheshimu wanawake kama tunavyowaheshimu wanaume..
Kama unajua ukiwapa namba watakutongoza,then usiwape....
 

Pole Madam,

Naomba msamaha kwa niaba yao!

Ikikutokea mpe jibu zuri tu la kiutu uzima kua huna nafasi hiyo, zaidi ya hapo block namba.

Ila hayaepukiki makwazo ya hivyo maana ni kama utandawazi umetukokotea huko!
 
Kukutongoza ni hiari yangu kama ilivyo hiyari yako kusema ndio au hapana
Mtusamehe tu wanaume ndivyo tulivyo usikwazike na mtongozo kwani ukinikatalia si basi yameisha au ugomvi?
Naweza kuomba nipewe mbunye na ukiwa hutaki unanijibu kiustaarabu tu kwamba NO then tunaendelea na biashara nyingine
 
Aliwe tu hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…