Hii ni kweli, pale UDOM ndo utajua wanawake ni wachafu mno na hawaaminiki, imagine Kuna Mume anamsomeesha mke wake pale college ya humanities, Mume Yuko mkoani but yule mwanamke akawa anatembea na kijana mdogo.Sindio maana nikakwambia studies zikazidi kuonekana kuwa ni biased kwasababu ya stereotypes. Kwakizazi hiki kuna wanawake kibao wamekimbia watoto wao na kuacha na baba yao ila mwanaume kamwe haripoti. Wengi wamevunja ndoa zao ili wakapate mali nyingi kwa wanaume wengine. Wanaume kibao wamesomesha watoto wao na pia wasiowao na hakuna aliyelalamika isipokuwa kuna ripoti zimeanza sasa. Wanawake wamefanya ufuska miaka ya teenage ni wengi mno hasa secondary na chuoni na mimi niliyekatika huu umri wakuoa, huwezi amini kila binti miaka 20 to 30 amezalishwa hivyo huoni wakuoa. Acha biasness, wanawake hawajiheshimu mno na hao wachache ni kwasababu umesema wewe ila ni wengi mno tena mno ndio maana ndoa unaona ni upumbavu tu. Wamama watu wazima tu wameanza kutafuta vijana wadogo sembuse wasichana hawa wadogo. Sijawahi onja pombe ila kila msichana unayeongea naye ameonja. Kibaya njoo hospitali uje uone gyneocological diseases zilivyoshamiri tena kwa wasichana wadogo sana hasa yatokanayo na ngono zembe. Nasema tena mwanamke simtakatifu, nilijua hivyo nilipokuwa mdogo ila nilivyokuwa nakuyaona ndio nazidi kuwadharau tu. Chuo tumalize wote, wewe ujione kilema nakuanza kutumia mwili kama mtaji halafu kesho useme huheshimiwi, si ujuha huo. Nani kakwambia wanawake hawashindi bar🤣🤣🤣. Stereotypes zitakuficha usione hayo yote.
Imagine that, Sasa mtu kama huyu anafaa kabisa hata kuanzisha companies kubwa kabisa naye?
Kama wakina Zuckerberg, Elon, Larry, Gates na Jerry hawakuona umuhimu wa kuwashirikisha macolleagues zao wa kike waliosoma nayo, wakawatafuta wenzao wa kiume, ujue Kuna shida sana.