Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Sindio maana nikakwambia studies zikazidi kuonekana kuwa ni biased kwasababu ya stereotypes. Kwakizazi hiki kuna wanawake kibao wamekimbia watoto wao na kuacha na baba yao ila mwanaume kamwe haripoti. Wengi wamevunja ndoa zao ili wakapate mali nyingi kwa wanaume wengine. Wanaume kibao wamesomesha watoto wao na pia wasiowao na hakuna aliyelalamika isipokuwa kuna ripoti zimeanza sasa. Wanawake wamefanya ufuska miaka ya teenage ni wengi mno hasa secondary na chuoni na mimi niliyekatika huu umri wakuoa, huwezi amini kila binti miaka 20 to 30 amezalishwa hivyo huoni wakuoa. Acha biasness, wanawake hawajiheshimu mno na hao wachache ni kwasababu umesema wewe ila ni wengi mno tena mno ndio maana ndoa unaona ni upumbavu tu. Wamama watu wazima tu wameanza kutafuta vijana wadogo sembuse wasichana hawa wadogo. Sijawahi onja pombe ila kila msichana unayeongea naye ameonja. Kibaya njoo hospitali uje uone gyneocological diseases zilivyoshamiri tena kwa wasichana wadogo sana hasa yatokanayo na ngono zembe. Nasema tena mwanamke simtakatifu, nilijua hivyo nilipokuwa mdogo ila nilivyokuwa nakuyaona ndio nazidi kuwadharau tu. Chuo tumalize wote, wewe ujione kilema nakuanza kutumia mwili kama mtaji halafu kesho useme huheshimiwi, si ujuha huo. Nani kakwambia wanawake hawashindi bar🤣🤣🤣. Stereotypes zitakuficha usione hayo yote.
Hii ni kweli, pale UDOM ndo utajua wanawake ni wachafu mno na hawaaminiki, imagine Kuna Mume anamsomeesha mke wake pale college ya humanities, Mume Yuko mkoani but yule mwanamke akawa anatembea na kijana mdogo.
Imagine that, Sasa mtu kama huyu anafaa kabisa hata kuanzisha companies kubwa kabisa naye?
Kama wakina Zuckerberg, Elon, Larry, Gates na Jerry hawakuona umuhimu wa kuwashirikisha macolleagues zao wa kike waliosoma nayo, wakawatafuta wenzao wa kiume, ujue Kuna shida sana.
 
Yaani ni ajabu sana,unipe namba yako mwanaume afu nikuangalie tu...aisee lazima tupigane miti...na kupigana miti ndo lishe tosha kaz utafanya kiufanisi kabisa ofisini au biasharani
Hahahaaaa!
To yeye nikupe namba yangu eeeh?
 
Naomba nikazie hapo juu kwa mfano ulio hai......juzi kati kuna dada mmoja nilikutana nae sehemu katika safari zangu katika mazungumzo yetu akaniambia yeye ni wale wajasiriamali wanaofanya biashara ya kuuza dawa za kampuni moja ( eternali) nikamuambia ukija huku nilipo utapata wateja wengi sana watu wanaumwa magonjwa sugu,.......juzi ananipigia simu eti anataka kuja nimtumie nauli😂😂😂😂😂😂 ..biashara ya kwake mwenyewe halafu eti nimtumie nauli.....kisa tu atakapofika huku atanipa mbususu sementi...
 
Nipe kifungu cha sheria au maandiko matakatifu kwamba KUTONGOZWA/KUTONGOZA ni dhambi
 
Naomba nikazie hapo juu kwa mfano ulio hai......juzi kati kuna dada mmoja nilikutana nae sehemu katika safari zangu katika mazungumzo yetu akaniambia yeye ni wale wajasiriamali wanaofanya biashara ya kuuza dawa za kampuni moja ( eternali) nikamuambia ukija huku nilipo utapata wateja wengi sana watu wanaumwa magonjwa sugu,.......juzi ananipigia simu eti anataka kuja nimtumie nauli😂😂😂😂😂😂 ..biashara ya kwake mwenyewe halafu eti nimtumie nauli.....kisa tu atakapofika huku atanipa mbususu sementi...
Ila we jamaa wewe 😂 😂
 
Kinachosabisha wanaume tuwatongoze hovyo ni kwa sababu wengi wenu hamjieshimu,
Wewe tumepeana namba Jana tu umeshaanza kulia shida za ajabu ajabu kwanini usitongozwe!
 
Mmesoma wengi bali hamjaelimika wote, wanawake wanatengeneza pesa zao ila kamwe hawapo tayari kutoa pesa zao kwakusaidiana na hata ukimkopa harudishi, wapo wachache sana. Vyeo ni dhamana tu, hakimdefine mtu, nahapo ndipo mnapojikweza ilihali ukiwa na mwanaume haupo tayari kulea famili hata kwa mwezi 1 kama huyo mwanaume katetereka. Ukiacha wa ofisini, hao wafanyabiashara ni wachache wenye legitimate business, wengi mtaji wa biashara ni mwanaume awe mme au danga lake na huedesha kwa pesa izoizo za hao wanaume ila hayupo kushare faida na mwanaume hata siku 1. Kitu kinachoshangaza dunia mpaka leo, mwanamke huthamini pesa kuliko mwili wake[emoji23][emoji23]. Atafanya ngono ili apunguze kodi na apate pesa nyingi zisizo halali. Wewe waache wanaume wafanyavyo, hamsaidiki wala kufaa kuwa business partners maana ni wabinafsi mno.
Bidhaa number moja ya mwanamke hua ni papuchi vingine ni ziada
 
Tatizo na nyie sijui huwa mkoje, mkikutana na wanaume wa aina hiyo, ambao wanatoa support au cooperation ya namna yoyote bila kuomba chochote in return, mnawachukulia maboya tu.
 
Na heshimu sana usingle wangu,thus siachi furasa yoyote mbele yangu.
 
Nimezungumzia mazingiza ya kikazi, biashara au social events!!!

Sizungumzii mpita njia tu!!! Ninachomaanisha tunapaswa kuwaheshimu wanawake kama tunavyowaheshimu wanaume..
Kama unajua ukiwapa namba watakutongoza,then usiwape....
 
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....

Pole Madam,

Naomba msamaha kwa niaba yao!

Ikikutokea mpe jibu zuri tu la kiutu uzima kua huna nafasi hiyo, zaidi ya hapo block namba.

Ila hayaepukiki makwazo ya hivyo maana ni kama utandawazi umetukokotea huko!
 
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Kukutongoza ni hiari yangu kama ilivyo hiyari yako kusema ndio au hapana
Mtusamehe tu wanaume ndivyo tulivyo usikwazike na mtongozo kwani ukinikatalia si basi yameisha au ugomvi?
Naweza kuomba nipewe mbunye na ukiwa hutaki unanijibu kiustaarabu tu kwamba NO then tunaendelea na biashara nyingine
 
Mwaka jana nilisafiri dar 2 Arusha kwenye siti ya bac nilikaa na mdadaa ,yule dada alinikuta mm ndio wakwanza kufika kwenye bac nikaa cty yngu drishan,
Alivyofka akanipa hai ,ukapita ukimya kdg ..nikaanza mchombeza chombeza mwishowee story sana mpk kufka sehemu ya msosi tukaongozana ,tukala nikaclear bili tukarudi kwenye bac na juice zetu za box za Azam
Bwana bwana mpk tunafka chuga cjamsemesha kuhusu namba wala nn ,mm nilikuwa nashukaa kabla ya stendi ,ili nikaribia kufika najiandaa ananda kushuka km mjuavyo basi ,mtt akaona isiwee tabu km mm cjamwomba namba kwann yy asiombee yangu ,bc nikampa mtt nambaa nikashuka zangu,kabla cjafka niendako ananiulizaa kwa sms unarudi lini dar[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1],,dem km huyo unamwachajee madam km c kumla tu
Aliwe tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom